-
UN yawakosoa wanasiasa wanaohujumu Uislamu
Sep 06, 2016 11:54Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amewashambulia wanasiasa wanaohujumu Uislamu kama Donald Trump na mwenzake wa Uholanzi, Geert Wilders akisema kuwa ni walaghai na vidhabadhabina vya kisiasa.
-
Israel yakasirishwa na ukosoaji wa UN kuhusu ujenzi haramu wa vitongoji
Aug 30, 2016 10:54Utawala wa Kizayuni wa Israel umekasirishwa na ukosoaji wa hivi karibuni wa Umoja wa Mataifa kuhusu ujenzi haramu wa vitongoji unaofanywa na utawala huo ghasibu katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.
-
Takwa la Umoja wa Mataifa la kutolewa misaada kwa ajili ya wakimbizi barani Afrika
Aug 30, 2016 06:53Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNCHR amesisitiza kuwa, jamii ya kimataifa inapaswa kuonyesha radiamali kwa mgogoro wa wakimbizi uliotokana na vita vya ndani huko Sudan Kusini kama ilivyoonyesha kuhusiana na mgogoro wea wahajiri barani Ulaya.
-
UNDP yatahadharisha kuhusu usawa wa kijinsia Afrika
Aug 28, 2016 23:34Umoja wa Mataifa umezitolea wito nchi za Kiafrika kufanya jitihada za kujaza pengo la usawa wa kijinsia katika nchi hizo pengo ambalo kila mwaka husababisha hasara ya dola bilioni 95 kwa nguvu za kiuchumi.
-
WFP: Watu milioni 4.5 wanahitaji msaada wa chakula kaskazini mashariki mwa Nigeria
Aug 24, 2016 10:21Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa tangu mwezi Machi mwaka huu hadi sasa, idadi ya watu wanaohitaji msaada wa chakula kaskazini mashariki mwa Nigeria imeongezeka maradufu na kufikia milioni 4.5.
-
Serikali ya Libya yapigiwa kura ya kutokuwa na imani nayo
Aug 22, 2016 23:40Serikali ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imepata pigo kubwa baada ya wabunge katika bunge la nchi hiyo linalotambuliwa kimataifa kuikataa.
-
Ethiopia yatakiwa iruhusu uchunguzi huru kuhusiana na tuhuma za ukiukaji haki za binadamu Oromia
Aug 20, 2016 03:31Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Ethiopia itoe fursa kwa waangalizi huru kutembelea maeneo ya Oromia na Amhara kufuatia tuhuma za ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu ambao umeripotiwa kufanywa na vyombo vya usalama katika maeneo hayo.
-
Dunia yampongeza Rais wa Zambia licha ya uchaguzi tata
Aug 18, 2016 09:31Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ni miongoni mwa shakhsia na viongozi wa kwanza wa dunia kumpongeza Edgar Lungu kwa kushinda uchaguzi wa rais uliogubikwa na utata na ambao upinzani umeelekea mahakamani kupinga matokeo yake.
-
UN yazitaka India na Pakistan ziruhusu uchunguzi Kashmir
Aug 17, 2016 23:09Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza masikitiko ya umoja huo baada ya serikali za Pakistana na India kukataa kuwapa kibali maofisa wa UN kulitembelea eneo lenye mzozo la Kashmir, katika mpaka wa nchi mbili hizo.
-
UN yaitaka Bahrain ikomeshe ukandamizaji dhidi ya Mashia
Aug 16, 2016 10:53Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wameutaka utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain uache kuwakandamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia na kusisitiza kuwa dhulma hizo ni ukiukaji wa haki za msingi za binadamu.