Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yawakosoa wanasiasa wanaohujumu Uislamu

    UN yawakosoa wanasiasa wanaohujumu Uislamu

    Sep 06, 2016 11:54

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amewashambulia wanasiasa wanaohujumu Uislamu kama Donald Trump na mwenzake wa Uholanzi, Geert Wilders akisema kuwa ni walaghai na vidhabadhabina vya kisiasa.

  • Israel yakasirishwa na ukosoaji wa UN kuhusu ujenzi haramu wa vitongoji

    Israel yakasirishwa na ukosoaji wa UN kuhusu ujenzi haramu wa vitongoji

    Aug 30, 2016 10:54

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umekasirishwa na ukosoaji wa hivi karibuni wa Umoja wa Mataifa kuhusu ujenzi haramu wa vitongoji unaofanywa na utawala huo ghasibu katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.

  • Takwa la Umoja wa Mataifa la kutolewa misaada kwa ajili ya wakimbizi barani Afrika

    Takwa la Umoja wa Mataifa la kutolewa misaada kwa ajili ya wakimbizi barani Afrika

    Aug 30, 2016 06:53

    Mkuu wa Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNCHR amesisitiza kuwa, jamii ya kimataifa inapaswa kuonyesha radiamali kwa mgogoro wa wakimbizi uliotokana na vita vya ndani huko Sudan Kusini kama ilivyoonyesha kuhusiana na mgogoro wea wahajiri barani Ulaya.

  • UNDP yatahadharisha kuhusu usawa wa kijinsia Afrika

    UNDP yatahadharisha kuhusu usawa wa kijinsia Afrika

    Aug 28, 2016 23:34

    Umoja wa Mataifa umezitolea wito nchi za Kiafrika kufanya jitihada za kujaza pengo la usawa wa kijinsia katika nchi hizo pengo ambalo kila mwaka husababisha hasara ya dola bilioni 95 kwa nguvu za kiuchumi.

  • WFP: Watu milioni 4.5 wanahitaji msaada wa chakula kaskazini mashariki mwa Nigeria

    WFP: Watu milioni 4.5 wanahitaji msaada wa chakula kaskazini mashariki mwa Nigeria

    Aug 24, 2016 10:21

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa tangu mwezi Machi mwaka huu hadi sasa, idadi ya watu wanaohitaji msaada wa chakula kaskazini mashariki mwa Nigeria imeongezeka maradufu na kufikia milioni 4.5.

  • Serikali ya Libya yapigiwa kura ya kutokuwa na imani nayo

    Serikali ya Libya yapigiwa kura ya kutokuwa na imani nayo

    Aug 22, 2016 23:40

    Serikali ya Libya inayoungwa mkono na Umoja wa Mataifa imepata pigo kubwa baada ya wabunge katika bunge la nchi hiyo linalotambuliwa kimataifa kuikataa.

  • Ethiopia yatakiwa iruhusu uchunguzi huru kuhusiana na tuhuma za ukiukaji haki za binadamu Oromia

    Ethiopia yatakiwa iruhusu uchunguzi huru kuhusiana na tuhuma za ukiukaji haki za binadamu Oromia

    Aug 20, 2016 03:31

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameitaka serikali ya Ethiopia itoe fursa kwa waangalizi huru kutembelea maeneo ya Oromia na Amhara kufuatia tuhuma za ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu ambao umeripotiwa kufanywa na vyombo vya usalama katika maeneo hayo.

  • Dunia yampongeza Rais wa Zambia licha ya uchaguzi tata

    Dunia yampongeza Rais wa Zambia licha ya uchaguzi tata

    Aug 18, 2016 09:31

    Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ni miongoni mwa shakhsia na viongozi wa kwanza wa dunia kumpongeza Edgar Lungu kwa kushinda uchaguzi wa rais uliogubikwa na utata na ambao upinzani umeelekea mahakamani kupinga matokeo yake.

  • UN yazitaka India na Pakistan ziruhusu uchunguzi Kashmir

    UN yazitaka India na Pakistan ziruhusu uchunguzi Kashmir

    Aug 17, 2016 23:09

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza masikitiko ya umoja huo baada ya serikali za Pakistana na India kukataa kuwapa kibali maofisa wa UN kulitembelea eneo lenye mzozo la Kashmir, katika mpaka wa nchi mbili hizo.

  • UN yaitaka Bahrain ikomeshe ukandamizaji dhidi ya Mashia

    UN yaitaka Bahrain ikomeshe ukandamizaji dhidi ya Mashia

    Aug 16, 2016 10:53

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wameutaka utawala wa Aal-Khalifa wa Bahrain uache kuwakandamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia na kusisitiza kuwa dhulma hizo ni ukiukaji wa haki za msingi za binadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS