Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Mamluki wa kundi lenye silaha watiwa mbaroni CAR

    Mamluki wa kundi lenye silaha watiwa mbaroni CAR

    Aug 14, 2016 23:13

    Askari jeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa waliopo Jamhuri ya Afrika ya Kati wametangaza kutiwa mbaroni mamluki kadhaa wa kundi moja lenye silaha nchini humo.

  • Maandamano yashadidi nchini Ethiopia, Umoja wa Mataifa wataka kutumwa waangalizi wa kimataifa

    Maandamano yashadidi nchini Ethiopia, Umoja wa Mataifa wataka kutumwa waangalizi wa kimataifa

    Aug 11, 2016 03:36

    Maandamano dhidi ya serikali ya Ethiopia yanazidi kushadidi huku serikali ya nchi hiyo ikitumia vyombo vya usalama kuwakandamiza waandamanaji.

  • Israel yamtia mbaroni mwakilishi wa UN Ukanda wa Ghaza

    Israel yamtia mbaroni mwakilishi wa UN Ukanda wa Ghaza

    Aug 09, 2016 23:13

    Utawala wa Kizayuni umemtia mbaroni mwakilishi wa Umoja wa Mataifa katika Ukanda wa Ghaza kwa tuhuma za kuwa na ushirikiano na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas.

  • Mwakilishi wa UN asisitiza mgogoro wa Yemen kutatuliwa kwa njia ya mazungumzo

    Mwakilishi wa UN asisitiza mgogoro wa Yemen kutatuliwa kwa njia ya mazungumzo

    Aug 08, 2016 23:58

    Ismail Ould Sheikh Ahmed, mwakilishi wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Yemen amesisitizia kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo kwa njia ya mazungumzo.

  • UN yakaribisha hatua ya Juba kukubali kutumwa askari wa kikanda

    UN yakaribisha hatua ya Juba kukubali kutumwa askari wa kikanda

    Aug 08, 2016 03:19

    Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya Sudan Kusini kukubali pendekezo la kutumwa askari wa kieneo nchini humo kufuatia mapigano ya ndani kati ya askari watiifu kwa Rais Salva Kiir na wafuasi wa aliyekuwa makamu wake, Riek Machar.

  • Maelfu ya raia wamekuwa wakimbizi kaskazini mwa Kongo

    Maelfu ya raia wamekuwa wakimbizi kaskazini mwa Kongo

    Aug 07, 2016 22:27

    Ofisi ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa, raia zaidi ya elfu 20 katika wilaya ya Tshopo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kaskazini mwa nchi hiyo wamekuwa wakimbizi.

  • Iran yaikosoa Magharibi kwa uingiliaji wa masuala ya ndani ya nchi

    Iran yaikosoa Magharibi kwa uingiliaji wa masuala ya ndani ya nchi

    Aug 06, 2016 03:25

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Iran amekosoa hatua ya nchi za Magharibi ya kuipaka matope Jamhuri ya Kiislamu kwa hatua yake ya kutekeleza hukumu ya kifo dhidi ya magaidi hapa nchini.

  • UN: Maafisa usalama Sudan Kusini wameua na kubaka

    UN: Maafisa usalama Sudan Kusini wameua na kubaka

    Aug 04, 2016 10:37

    Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Sudan Kusini kuwachukulia hatua za kisheria maafisa usalama walioua raia na kunajisi wanawake na mabinti wadogo katika machafuko ya mwezi uliopita katika mji mkuu Juba.

  • Wanafunzi Waislamu Ulaya walaani mauaji ya watoto Yemen

    Wanafunzi Waislamu Ulaya walaani mauaji ya watoto Yemen

    Aug 03, 2016 02:55

    Muungano wa vyama vya wanafunzi wa Kiislamu barani Ulaya umemuandikia barua Ban Ki-moon, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ukitaka hatua za makusudi zichukuliwe kukomesha mauaji ya raia wasio na hatia na hususan watoto wadogo nchini Yemen.

  • Sudan Kusini kuzishawishi UN na IGAD zikubali mabadiliko ya uongozi

    Sudan Kusini kuzishawishi UN na IGAD zikubali mabadiliko ya uongozi

    Jul 31, 2016 11:49

    Serikali ya umoja wa kitaifa ya Sudan Kusini imemteua Makamu mpya wa Rais aliyechukua nafasi ya Riek Machar kuufafanulia Umoja wa Mataifa sababu za kufanyika mabadiliko ya uongozi ndani ya chama cha upinzani cha SPLM-IO.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS