Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yaafiki kutumwa askari polisi nchini Burundi

    UN yaafiki kutumwa askari polisi nchini Burundi

    Jul 30, 2016 03:43

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limepasisha pendekezo la Ufaransa la kutumwa askari polisi zaidi ya 200 wa umoja huo nchini Burundi kwa lengo la kuhitimisha machafuko ya zaidi ya mwaka mmoja nchini humo.

  • Mashirika ya misaada Sudan Kusini yaitaka UN kuwasaidi walioathiriwa na vita

    Mashirika ya misaada Sudan Kusini yaitaka UN kuwasaidi walioathiriwa na vita

    Jul 29, 2016 22:09

    Mashirika ya misaada ya kibinadamu yanayohudumu Sudan Kusini yameutaka Umoja wa Mataifa uandae uwanja mzuri wa kuwasaidia raia walioathiriwa na vita vya ndani nchini humo.

  • UN yatoa wito wa kupambana na Boko Haram

    UN yatoa wito wa kupambana na Boko Haram

    Jul 29, 2016 12:08

    Afisa wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa ameitolea wito kwa jamii ya kimataifa kuunga mkono pakubwa mapambano dhidi ya kundi la Boko Haram.

  • UN: Wakenya 42,000 walikuwa wakimbizi 'bandia' Dadaab

    UN: Wakenya 42,000 walikuwa wakimbizi 'bandia' Dadaab

    Jul 27, 2016 03:24

    Umoja wa Mataifa unakadiria kuwa, Wakenya 42,000 wamekuwa wakijifanya wakimbizi katika kambi ya Dadaab kwa shabaha ya kufaidika na misaada ya kibinadamu.

  • UN: Mzunguko wa pesa haramu watishia uchumi wa Afrika

    UN: Mzunguko wa pesa haramu watishia uchumi wa Afrika

    Jul 26, 2016 22:12

    Kamisheni ya Uchumi wa Afrika ya Umoja wa Mataifa (UNECA) imetahadharisha kuwa, mzunguko wa pesa haramu katika akthari ya nchi za Afrika unatishia ukuaji wa uchumi wa bara hilo.

  • Radiamali ya UN kwa vitendo vya kichokozi na  kujitanua vya Israel

    Radiamali ya UN kwa vitendo vya kichokozi na kujitanua vya Israel

    Jul 26, 2016 03:23

    Umoja wa Mataifa na viongozi wa Palestina wamelaani vikali mipango ya Israel ya kupanua ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu.

  • Radiamali ya Umoja wa Mataifa kwa shambulizi la Munich, Ujerumani

    Radiamali ya Umoja wa Mataifa kwa shambulizi la Munich, Ujerumani

    Jul 23, 2016 02:27

    Umoja wa Mataifa umelaani shambulio la ufyatuaji risasi lililotokea katika jumba la biashara katika mji wa Munich nchini Ujerumani.

  • UN yazikosoa nchi za Ulaya kwa kuondoa majeshi yao Sudan Kusini

    UN yazikosoa nchi za Ulaya kwa kuondoa majeshi yao Sudan Kusini

    Jul 21, 2016 01:12

    Umoja wa Mataifa umezikosoa nchi tatu za Ulaya kwa kuondoa askari wao katika nchi iliyotumbukia tena katika mapigano ya ndani ya Sudan Kusini.

  •  MONUSCO: Uganda na Congo zishirikiane kuwamaliza waasi

    MONUSCO: Uganda na Congo zishirikiane kuwamaliza waasi

    Jul 19, 2016 03:10

    Ujumbe wa Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (MONUSCO) umetoa wito wa kufanyika mashambulizi ya pamoja ya nchi za Uganda na Congo dhidi ya waasi The Allied Democratic Forces (ADF) wanaodhaniwa kufanya mauaji ya raia huko mashariki mwa Congo.

  • Marekani yakiri, Iran imetekeleza JCPOA

    Marekani yakiri, Iran imetekeleza JCPOA

    Jul 19, 2016 03:09

    Balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa amekiri kwamba, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hadi sasa imetekeleza vipengee vyote vya makubaliano ya nyuklia maaufu kwa kifupi JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS