• Mustafa Ali: UN inabeba dhima ya masaibu yanayowapata watoto Yemen

    Mustafa Ali: UN inabeba dhima ya masaibu yanayowapata watoto Yemen

    Jul 18, 2016 09:47

    Mkuu wa Jumuiya ya Watoto nchini Yemen amesema kuwa, Umoja wa Mataifa, Baraza la Usalama la umoja huo na asasi za kimataifa zinabeba dhima ya hali mbaya ya kibinadamu nchini Yemen hususan masaibu yanayowapata watoto wa nchi hiyo.

  • Mkutano wa UNCTAD wafunguliwa Nairobi, Kenya

    Mkutano wa UNCTAD wafunguliwa Nairobi, Kenya

    Jul 18, 2016 00:33

    Mkutano wa 14 Umoja wa Mataifa wa Biashara na Maendeleo (UNCTAD) uliofunguliwa jana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya mjini Nairobi umeanza kwa kutolewa wito wa kuwepo ushirikiano zaidi kati ya nchi za dunia.

  • Wapalestina washiriki mkutano wa ustawi wa biashara wa mjini Nairobi

    Wapalestina washiriki mkutano wa ustawi wa biashara wa mjini Nairobi

    Jul 17, 2016 11:23

    Duru za Palestina zimetangaza kuwa, ujumbe wa kiuchumi wa Wapalestina unashiriki katika Mkutano wa 14 wa Biashara na Maendeleo wa Umoja wa Mataifa (UNCTAD) unaofanyika mjini Nairobi Kenya.

  • UN yataka kuanza mazungumzo ya kitaifa Kongo

    UN yataka kuanza mazungumzo ya kitaifa Kongo

    Jul 16, 2016 00:05

    Mkuu wa kikosi cha kimataifa cha kulinda amani katika Jamhuri yqa Kidemokrasia ya Kongo ametilia mkazo udharura wa kufanyika mazungumzo ya kitaifa kwa ajili ya kuzuia kushadidi mgogoro nchini humo.

  • Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Sudan Kusini

    Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Sudan Kusini

    Jul 11, 2016 08:28

    Wanachama 15 wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wametoa taarifa wakitaka kuhitimishwa mapigano katika mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba.

  •  Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na mapigano yanayoendelea Sudan Kusini

    Umoja wa Mataifa watiwa wasiwasi na mapigano yanayoendelea Sudan Kusini

    Jul 09, 2016 11:31

    Mapigano yaliyoshtadi katika siku kadhaa zilizopita huko Sudan Kusini yamemfanya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kueleza wasiwasi wake kutokana na machafuko yanayoendelea huko Juba mji mkuu wa nchi hiyo.

  • Kenya yakanusha ripoti ya UN ya kuua raia 29 Somalia

    Kenya yakanusha ripoti ya UN ya kuua raia 29 Somalia

    Jul 08, 2016 23:51

    Kenya imekanusha vikali ripoti ya Umoja wa Mataifa inayodai kuwa Jeshi la Ulinzi la nchi hiyo KDF liliua raia wapatao 29 katika hujuma ya anga iliyolifanya baada ya wanamgambo wa al-Shabaab kuvamia kambi ya jeshi hilo katika eneo la El-Adde nchini Somalia Januari mwaka huu na kuua idadi kubwa ya askari wa Kenya waliokuwa chini ya kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM).

  • UN yalaani mauaji ya wakili wa haki za binadamu Kenya

    UN yalaani mauaji ya wakili wa haki za binadamu Kenya

    Jul 06, 2016 00:02

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imelaani vikali mauaji ya wakili wa haki za binadamu nchini Kenya Bwana Willie Kimani, mteja wake Josphat Mwenda, na dereva wao wa taxi Joseph Muiruri, yaliyofanyika Juni 23.

  • Sudan: Kuongezwa muda vikosi vya UNAMID ni mkinzano

    Sudan: Kuongezwa muda vikosi vya UNAMID ni mkinzano

    Jul 01, 2016 03:29

    Kwa mara nyingine tena serikali ya Sudan imekosoa vikali hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuongeza muda wa kuhudumu vikosi vya kimataifa vya kusimamia amani huko Daruf UNAMID kwa mwaka mmoja zaidi.

  • UN yaongeza askari 2,500 wa kulinda amani nchini Mali

    UN yaongeza askari 2,500 wa kulinda amani nchini Mali

    Jun 30, 2016 02:53

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeafiki kuongezwa askari 2,500 wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali MINUSMA ambapo kikosi hicho sasa kitakuwa na jumla ya askari jeshi 13,289 na askari polisi 1,920.