Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • DiCarlo: Vikwazo vya UN vimekuwa kibogoyo, havina tena taathira

    DiCarlo: Vikwazo vya UN vimekuwa kibogoyo, havina tena taathira

    Feb 10, 2022 05:29

    Wakati Umoja wa Mataifa ukiendelea kutumia vikwazo kama sera ya kuziadhibu nchi mbalimbali duniani, Naibu Katibu Mkuu wa umoja huo katika Masuala ya Siasa na Kujenga Amani, Rosemary Anne DiCarlo amekiri kwamba utumiaji wa vikwazo hauna tena taathira kama ilivyokuwa hapo awali.

  • Tahadhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu hali mbaya eneo la Pembe ya Afrika

    Tahadhari ya Umoja wa Mataifa kuhusu hali mbaya eneo la Pembe ya Afrika

    Feb 09, 2022 23:27

    Huku mizozo ya kisiasa na kijamii ikiendelea katika ukanda wa Afrika Mashariki, nchi nyingi za kanda hiyo zinakabiliwa na ukame mkubwa; na ambamba na hayo Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) limetangaza kuwa ukame umesababisha takriban watu milioni 13 katika Pembe ya Afrika kukumbwa na njaa.

  • Guterres apuuza mashinikizo ya US ya kutaka asusie Olimpiki China

    Guterres apuuza mashinikizo ya US ya kutaka asusie Olimpiki China

    Feb 03, 2022 09:12

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amepuuzilia mbali mwito wa Balozi wa Marekani katika umoja huo wa kumtaka asusie hafla ya ufunguzi wa Michezo ya Olimpiki ya msimu wa baridi kali nchini China.

  • UN yaitaka jamii ya kimataifa izidi kulishinikiza jeshi Myanmar likomeshe ukatili

    UN yaitaka jamii ya kimataifa izidi kulishinikiza jeshi Myanmar likomeshe ukatili

    Jan 29, 2022 04:35

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet ameitaka jamii ya kimataifa izidishe mashinikizo kwa jeshi la Myanmar ili likomeshe kampeni yake ya ukatili na ukandamizaji dhidi ya watu wa Myanmar na kusisitiza kurejeshwa mara moja utawala wa kiraia nchini humo.

  • UN yalaani mashambulizi ya Saudia dhidi ya jela ya Yemen, makumi ya mahabusu wameuawa

    UN yalaani mashambulizi ya Saudia dhidi ya jela ya Yemen, makumi ya mahabusu wameuawa

    Jan 22, 2022 04:38

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani mashambulizi ya ndege za kivita za Saudi Arabia dhidi ya jela ya wafungwa katika mkoa wa Sa'ada nchini Yemen.

  • Umoja wa Mataifa: Kunahitajika dola bilioni 3.9 kwa ajili ya kuwasaidia Wayamen

    Umoja wa Mataifa: Kunahitajika dola bilioni 3.9 kwa ajili ya kuwasaidia Wayamen

    Jan 13, 2022 08:07

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika uratibu wa masuala ya kibinadamu (OCHA) ametangaza kuwa, kunahitajika dola bilioni 3.9 kwa ajili ya kuwasaidia mamilioni ya wananchi wa Yemn wanaohitahia misaada ya kibinadamu.

  • Wataalamu wa UN waitaka Marekani ifunge gereza la Guantamano

    Wataalamu wa UN waitaka Marekani ifunge gereza la Guantamano

    Jan 11, 2022 04:19

    Wataalamu wa Umoja wa Mataifa wameutaka utawala wa Rais Joe Biden wa Marekani utekeleze ahadi yake ya kufunga jela ya kutisha ya Guantanamo Bay iliyoko nchini Cuba.

  • UN yasitisha misaada ya kibinadamu katika eneo la Tigray, Ethiopia

    UN yasitisha misaada ya kibinadamu katika eneo la Tigray, Ethiopia

    Jan 10, 2022 03:10

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa umesitisha operesheni za kupeleka misaada ya kibinadamu katika jimbo la Tigray baada ya ndege za kijeshi za Ethiopia kushambulia kambi ya wakimbizi katika eneo hilo.

  • Wanataaluma wa Sudan wapinga mazungumzo ya UN

    Wanataaluma wa Sudan wapinga mazungumzo ya UN

    Jan 09, 2022 09:57

    Chama cha Wanataaluma cha Sudan ambacho kiliongoza maandamano ya wananchi yaliyopelekea kung'olewa madarakani utawala wa aliyekuwa rais wa nchi hiyo, Omar al Bashir, kimetangaza kuwa hakiungi mkono mazungumzo yaliyoitishwa na Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kujaribu kuupatia ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini humo.

  • Umoja wa Mataifa waunga mkono kufanyika uchaguzi wa Libya katika wakati mwafaka

    Umoja wa Mataifa waunga mkono kufanyika uchaguzi wa Libya katika wakati mwafaka

    Dec 24, 2021 08:08

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amehimiza kufanyika uchaguzi mkuu wa Bunge na Rais katika tarehe mwafaka nchini Libya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS