Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN: Mazungumzo baina ya Iran na Saudi Arabia ni

    UN: Mazungumzo baina ya Iran na Saudi Arabia ni "muhimu sana"

    Oct 08, 2021 03:59

    Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema, mazungumzo kati ya Iran na Saudi Arabia ni "muhimu sana".

  • Serikali ya Ethiopia yatoa amri ya kutimuliwa maafisa 7 wa UN kwa

    Serikali ya Ethiopia yatoa amri ya kutimuliwa maafisa 7 wa UN kwa "kuingilia" masuala ya ndani ya nchi hiyo

    Sep 30, 2021 22:57

    Serikali ya Ethiopia imeamuru maafisa saba waandamizi wa Umoja wa Mataifa waondolewe nchini humo kwa kile ilichokiita kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • Kuwait: Palestina ingali maudhui kuu na ya msingi katika ulimwengu wa Kiislamu

    Kuwait: Palestina ingali maudhui kuu na ya msingi katika ulimwengu wa Kiislamu

    Sep 26, 2021 01:05

    Waziri Mkuu wa Kuwait amesema kuwa, Palestina ingali maudhui kuu na ya asili katika ulimwengu wa Kiislamu.

  • Rais Samia awaomba Watanzania ushirikiano katika kutekeleza ahadi zake UN

    Rais Samia awaomba Watanzania ushirikiano katika kutekeleza ahadi zake UN

    Sep 25, 2021 11:48

    Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameomba ushirikiano wa Watanzania ili kuyatekeleza kwa vitendo yale aliyoahidi katika mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York huko Marekani.

  • Sisitizo la Umoja wa Mataifa juu ya kukiuka sheria vikwazo vya upande mmoja vya Marekani

    Sisitizo la Umoja wa Mataifa juu ya kukiuka sheria vikwazo vya upande mmoja vya Marekani

    Sep 20, 2021 22:09

    Alena Douhan, ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu taathira hasi za vikwazo vya upande mmoja dhidi ya haki za binadamu amesisitiza kwamba vikwazo vya upande mmoja vya Marekani vinakiuka wazi sheria za kimataifa.

  • Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhusu kupotea maelfu ya wahajiri waliorejeshwa Libya

    Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa kuhusu kupotea maelfu ya wahajiri waliorejeshwa Libya

    Sep 19, 2021 02:09

    Afisa mmoja wa Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa amebainisha kutiwa wasiwasi na kupotea maelfu ya wahajiri ambao walikatizwa safari yao kuelekea Ulaya na kisha kurejeshwa Libya.

  • Katibu Mkuu wa UN: Tuna deni kubwa kwa wananchi wa Afghanistan

    Katibu Mkuu wa UN: Tuna deni kubwa kwa wananchi wa Afghanistan

    Sep 14, 2021 03:41

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema kuhusu mustakabali wa kibinadamu nchini Afghanistan ya kwamba suala muhimu si kile ambacho watapatiwa wananchi wa taifa hilo bali deni la jamii ya kimataifa kwa wananchi wao.

  • Umoja wa Mataifa wakosolewa kwa kuupendelea muungano vamizi wa Saudia

    Umoja wa Mataifa wakosolewa kwa kuupendelea muungano vamizi wa Saudia

    Sep 12, 2021 03:15

    Viongozi wa Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen wamekosoa vikali kile walichokitaja kuwa, hatua za Umoja wa Mataifa za kuupendelea muungano vamizi unaoongozwa na utawala wa Saudi Arabia.

  • Umoja wa Mataifa: Nusu ya raia wa Afghanistan wanahitajia misaada ya kibinadamu

    Umoja wa Mataifa: Nusu ya raia wa Afghanistan wanahitajia misaada ya kibinadamu

    Sep 08, 2021 07:19

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa katika Masuala ya Kibinadamu amesema kuwa, nusu ya wananchi wa Afghanistan wanahitajia misaada ya kibinadamu.

  • Umoja wa Mataifa: Huduma muhimu nchini Afghanistan zimo katika hali ya kusambaratika

    Umoja wa Mataifa: Huduma muhimu nchini Afghanistan zimo katika hali ya kusambaratika

    Sep 07, 2021 22:08

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya uratibu wa misaada ya kibinadamu, (OCHA) imetangaza kuwa, mamilioni ya wananchi wa Afghanistan wanahitajia misaada ya chakula pamoja na huduma za kiafya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS