-
Mjumbe wa UN: Libya ina "hali mbaya sana" kwa kuendelea kuwepo wapiganaji 20,000 wa kigeni
Dec 03, 2020 03:59Mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametahadharisha kuwa, kuwepo wapiganaji na mamluki wasiopungua 20,000 wa kigeni nchini humo kunaifanya "hali iwe mbaya sana" huku silaha zikiendelea kumiminika pia katika nchi hiyo ya Afrika Kaskazini iliyoharibiwa vibaya na vita.
-
Umoja wa Mataifa wataka kusitishwa mivutano huko al Hudaydah, Yemen
Dec 01, 2020 00:54Mkuu wa Timu ya Uangalizi ya Umoja wa Mataifa huko Yemen ametaka kutekelezwa usitishaji vita katika mji wa al Hudaydah magharibi mwa nchi hiyo sambamba na kusitishwa mivutano katika eneo hilo.
-
Burundi yataka kufungwa ofisi ya mjumbe maalumu wa UN nchini humo
Nov 20, 2020 23:14Serikali ya Burundi imesema haikaribishi tena kuwepo na Ofisi ya Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini humo, na kwamba taifa hilo lina amani baada ya kushuhudia mgogoro wa kisiasa kwa miaka kadhaa.
-
Umoja wa Mataifa wapasisha azimio la haki ya Wapalestina ya kujiainisha hatima yao
Nov 20, 2020 04:17Umoja wa Mataifa umepasisha azimio linalotilia mkazo haki walionayo Wapalestina ya kujiainishia hatima na mustakabali wao.
-
UN: Watu 3,700 wanapoteza maisha kila siku katika ajali za barabarani
Nov 15, 2020 23:34Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu kuongezeka idadi ya vifo vinavyosababishwa na ajali za barabarani duniani na kubainisha kuwa, watu 3,700 wanaaga dunia kila siku katika ajali hizo.
-
UN yazipongeza pande hasimu Libya kwa kuafikiana kufanyika uchaguzi
Nov 12, 2020 04:00Umoja wa Mataifa umepongeza hatua ya pande hasimu za kisiasa nchini Libya kukubaliana kuitisha uchaguzi mkuu nchini humo katika kipindi cha miezi 18 ijayo.
-
Kabuga afikishwa katika Mahakama ya Umoja wa Mataifa, asema hana hatia
Nov 12, 2020 00:51Mshukiwa wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda, Felicien Kabuga jana Jumatano alifikishwa katika Mahakama ya Umoja wa Mataifa nchini Tanzania ambapo alisisitiza kuwa hana hatia katika mashitaka ya jinai yanayomkabili.
-
Hotuba ya Zarif kwa mnasaba wa miaka 75 ya kuasisiwa UN; kubainisha wasiwasi na matumaini
Oct 28, 2020 00:51Umoja wa Mataifa uliasisiwa miaka 75 iliyopita ukiwa na malengo mawili. Mosi kulinda na kuimarisha amani duniani.
-
Mwito wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuelekea uchaguzi mkuu wa Tanzania
Oct 27, 2020 09:24Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), António Guterres ametaka mchakato mzima wa uchaguzi nchini Tanzania kuwa huru na haki.
-
UN yatangaza kuanza kutekelezwa mkataba wa kuzuia silaha za nyuklia
Oct 25, 2020 04:33Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa nchi nyingine 50 zimepasisha utekelezaji wa mkataba unaopiga marufuku silaha za nyuklia.