Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yayaweka kwenye orodha nyeusi mashirika yanayounga mkono ukaliaji ardhi kwa mabavu wa Israel

    UN yayaweka kwenye orodha nyeusi mashirika yanayounga mkono ukaliaji ardhi kwa mabavu wa Israel

    Feb 13, 2020 03:55

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetoa orodha nyeusi inayohusisha mashirika na makampuni yenye uhusiano wa kibiashara na vitongoji haramu vya utawala wa Kizayuni wa Israel vilivyojengwa katika ardhi za Palestina.

  • Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina

    Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina

    Feb 05, 2020 04:23

    Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina

  • UN: Tunahitaji dola milioni 76 kupambana na nzige waliovamia Afrika Mashariki

    UN: Tunahitaji dola milioni 76 kupambana na nzige waliovamia Afrika Mashariki

    Jan 30, 2020 23:12

    Umoja wa Mataifa umesema unahitaji dola milioni 76 haraka iwezekanavyo za kudhibiti mlipuko wa nzige wa jangwani waliovamia baadhi ya nchi za Afrika Mashariki.

  • UN: Watoto ndio wahanga wakuu wa mapigano eneo la Sahel

    UN: Watoto ndio wahanga wakuu wa mapigano eneo la Sahel

    Jan 28, 2020 08:18

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mamia ya watoto waliuawa mwaka jana katika mapigano na ghasia zinazoendelea kushuhudiwa katika eneo la Sahel la barani Afrika.

  • Ukosoaji wa Umoja wa Mataifa kuhusu uwepo usio wa kijesheria wa majeshi ya kigeni nchini Syria

    Ukosoaji wa Umoja wa Mataifa kuhusu uwepo usio wa kijesheria wa majeshi ya kigeni nchini Syria

    Jan 27, 2020 00:51

    Marekani imekuwepo kijeshi na kinyume cha sheria nchini Syria tangu mwaka 2014 kwa kisingizio cha kupambana na kundi la Daesh (ISIS), ambapo licha ya madai ya Rais Donand Trump ya kuwaondoa askari wa nchi yake kutoka taifa hilo la Kiarabu, lakini hadi leo askari hao wameendelea kuwepo sambamba na kupora mafuta ya Syria.

  • UN: Wasudan Kusini wanaunda idadi kubwa ya wakimbizi Ethiopia

    UN: Wasudan Kusini wanaunda idadi kubwa ya wakimbizi Ethiopia

    Jan 26, 2020 09:28

    Umoja wa Mataifa umesema raia wa Sudan Kusini ndio wanaounda idadi kubwa ya wakimbizi nchini Ethiopia.

  • Mgogoro wa elimu waishtua UN, watoto milioni 258 hawaendi shule

    Mgogoro wa elimu waishtua UN, watoto milioni 258 hawaendi shule

    Jan 25, 2020 04:08

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuna mgogoro mkubwa wa elimu duniani hivi sasa, na kwamba watoto zaidi ya milioni 258 walio chini ya umri wa miaka 17 hawaendi shule.

  • UN: Mazungumzo ya amani Somalia ni ishara nzuri

    UN: Mazungumzo ya amani Somalia ni ishara nzuri

    Jan 09, 2020 21:05

    Mwakilishi maalum wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia ambaye pia ni mkuu wa mpango wa umoja huo nchini humo UNSOM jana aliliutembelea mji wa Hargesa, makao makuu ya eneo lililojitangazia uhuru la Somaliland nchini Somalia na kukutana na viongozi wa eneo hilo kujadili uchaguzi na maendeleo.

  • Umoja wa Mataifa walaani mashambulizi ya Haftar dhidi ya raia huko Libya

    Umoja wa Mataifa walaani mashambulizi ya Haftar dhidi ya raia huko Libya

    Dec 29, 2019 23:44

    Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya ametoa taarifa jana usiku akilaani mashambulizi ya anga yanayofanywa na kundi kwa jina la jeshi la kitaifa la Libya dhidi ya raia wa nchi hiyo chini ya uongozi wa Khalifa Haftar.

  • Russia yamkosoa Guterres kwa kufumbia macho ukiukaji sheria unaofanywa na Marekani

    Russia yamkosoa Guterres kwa kufumbia macho ukiukaji sheria unaofanywa na Marekani

    Dec 26, 2019 22:54

    Kwa kuzingatia kuwa Marekani ndiko yaliko makao makuu ya Umoja wa Mataifa, nchi hiyo ya kibeberu daima imekuwa ikiwawekea vikwazo wanadiplomasia na maafisa wa ngazi za juu wa nchi zinazopinga siasa za Washington, wanaoazimia kusafiri nchini humo kwa ajili ya kutekeleza majukumu yao ya kikazi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS