Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Watoto 19 wa Yemen ni miongoni mwa waliouawa katika shambulizi la anga la Saudia

    Watoto 19 wa Yemen ni miongoni mwa waliouawa katika shambulizi la anga la Saudia

    Feb 20, 2020 23:12

    Umoja wa Mataifa umesema watoto 19 ni miongoni mwa makumi ya watu waliouawa katika shambulizi la anga la hivi karibuni la muungano vamizi wa kijeshi wa Saudi Arabia dhidi ya Yemen.

  • Guterres ataka kutekelezwa azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro wa Kashmir

    Guterres ataka kutekelezwa azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro wa Kashmir

    Feb 20, 2020 08:23

    Katika siku ya mwisho ya safari yake nchini Pakistan, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekumbusha kadhia ya eneo la Kashmir na kuitaka serikali ya India iheshimu azimio la baraza la Usalama la umoja huo kuhusiana na Kashmir.

  • Russia yaitisha kikao cha dharura cha UN kujadili hatua ya Marekani ya kumnyima viza mjumbe wake

    Russia yaitisha kikao cha dharura cha UN kujadili hatua ya Marekani ya kumnyima viza mjumbe wake

    Feb 20, 2020 03:48

    Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kufanyika kikao cha dharura cha umoja huo kwa ajili ya kujadili tabia ya Marekani ya kuwanyima viza ya kuingia nchini humo wawakilishi na wajumbe wa nchi mbalimbali kwa ajili ya kushiriki katika mikutano na vikao vya mashirika ya Umoja wa Mataifa.

  • Umoja wa Mataifa wataka kufanyike uchunguzi kuhusu mauaji ya hivi karibuni nchini Cameroon

    Umoja wa Mataifa wataka kufanyike uchunguzi kuhusu mauaji ya hivi karibuni nchini Cameroon

    Feb 19, 2020 07:15

    Umoja wa Mataifa umeitaka serikali ya Cameroon ifanye uchunguzi kuhusiana na mauaji ya hivi karibuni katika jimbo linalozungumza Kiingereza katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika ambapo watu wasioungua 22 waliuawa kikatili wakiwemo watoto wadogo na wanawake wawili wajawazito.

  • Serikali ya Libya yasimamisha mazungumzo ya amani baada ya Haftar kushambulia bandari

    Serikali ya Libya yasimamisha mazungumzo ya amani baada ya Haftar kushambulia bandari

    Feb 19, 2020 00:25

    Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa ya Libya (GNA) inayotambuliwa rasmi na Umoja wa Mataifa imetangaza kuwa haitaendelea kushiriki mkutano wa amani wa UN mjini Geneva, baada ya kukiukwa makubaliano dhaifu ya usitishaji vita.

  • Umoja wa Mataifa wakosoa ukiukwaji wa vikwazo vya silaha  dhidi ya Libya

    Umoja wa Mataifa wakosoa ukiukwaji wa vikwazo vya silaha dhidi ya Libya

    Feb 17, 2020 00:02

    Afisa wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Libya amekosoa ukiukwaji wa vikwazo vya siliha viliyowekwa na umoja huo dhidi ya Libya.

  •  Katibu Mkuu wa UN:  Radio ni chombo muhimu kinachounganisha jamii

    Katibu Mkuu wa UN: Radio ni chombo muhimu kinachounganisha jamii

    Feb 14, 2020 08:41

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema Radio inasalia kuwa chombo muhimu katika jamii kinachowaleta watu pamoja.

  • UN yayaweka kwenye orodha nyeusi mashirika yanayounga mkono ukaliaji ardhi kwa mabavu wa Israel

    UN yayaweka kwenye orodha nyeusi mashirika yanayounga mkono ukaliaji ardhi kwa mabavu wa Israel

    Feb 13, 2020 03:55

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imetoa orodha nyeusi inayohusisha mashirika na makampuni yenye uhusiano wa kibiashara na vitongoji haramu vya utawala wa Kizayuni wa Israel vilivyojengwa katika ardhi za Palestina.

  • Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina

    Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina

    Feb 05, 2020 04:23

    Baraza la Usalama lalaani Mpango wa Israel wa kuteka ardhi za Palestina

  • UN: Tunahitaji dola milioni 76 kupambana na nzige waliovamia Afrika Mashariki

    UN: Tunahitaji dola milioni 76 kupambana na nzige waliovamia Afrika Mashariki

    Jan 30, 2020 23:12

    Umoja wa Mataifa umesema unahitaji dola milioni 76 haraka iwezekanavyo za kudhibiti mlipuko wa nzige wa jangwani waliovamia baadhi ya nchi za Afrika Mashariki.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS