-
UN: Tishio la Boko Haram Nigeria lasababisha watu 30 elfu kutoroka nchi
Jan 29, 2019 12:41Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya 30,000 wamekimbia makazi yao katika mji wa Rann kaskazini mwa Nigeria na kuingia katika nchi jirani ya Cameroon kutokana na wasiwasi wa kushambuliwa na wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram.
-
UN yachimbua makaburi 50 ya halaiki magharibi mwa Kongo DR
Jan 27, 2019 04:10Timu ya wataalamu wa Ofisi ya Pamoja ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa (UNJHRO) imefukua zaidi ya makaburi 50 ya umati magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo baada ya kuripotiwa wimbi la mauaji yaliyotokea mwezi uliopita katika eneo hilo.
-
Mkuu wa jeshi la Myanmar akabiliwa na mashitaka ya mauaji ya kimbari
Jan 26, 2019 04:36Mjumbe wa Umoja wa Mataifa nchini Myanmar amesema kuna udharura wa kumfungulia mashitaka ya jinai mkuu wa jeshi la Myanmar kwa kuongoza wimbi la mauaji dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya magharibi mwa nchi hiyo sambamba na kubakwa wanawake Waislamu wa jamii hiyo inayokandamizwa.
-
UN yataka uchunguzi wa mauaji ya askari wa kulinda amani Mali ufanyike
Jan 26, 2019 04:25Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa mwito wa kufanyika uchunguzi wa mauaji ya askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha UN nchini Mali (MINUSMA), waliopoteza maisha baada ya gari lao kukanyaga bomu la kutegwa ardhini jana Ijumaa.
-
UN: Jamii ya kimataifa ishirikiane na Iran katika kupambana na madawa ya kulevya
Jan 17, 2019 12:46Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya kukabiliana na Mihadarati na Uhalifu (UNODC) ya hapa mjini Tehran amesema, kuna udharura wa dunia kuwa na mshikamano na Iran katika kupambana na mihadarati.
-
UN: Watu karibu 900 wameuawa katika mapigano ya kikabila DRC
Jan 17, 2019 04:21Umoja wa Mataifa umesema watu zaidi ya 890 wameuawa katika ghasia za kikabila zilizotokea huko kaskazini magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo mwezi uliopita wa Disemba 2018.
-
Baraza la Usalama UN lazitaka pande zote Kongo DR ziheshimu matokeo ya uchaguzi
Jan 16, 2019 04:26Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limezitaka pande zote nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ziheshimu matokeo ya uchaguzi yaliyotangazwa na tume ya uchaguzi ya nchi hiyo.
-
Theluthi moja ya wafanyakazi wa UN wamenyanyaswa kingono katika miaka miwili iliyopita
Jan 16, 2019 03:51Theluthi moja ya wafanyakazi na wakandarasi wa Umoja wa Mataifa wamefanyiwa vitendo vya unyanyasaji wa kingono katika kipindi cha miaka miwili iliyopita.
-
AU na UN zafufua mazungumzo ya amani Jamhuri ya Afrika ya Kati
Jan 09, 2019 13:28Maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Mataifa wako katika Jamhuri ya Afrika ya Kati kwa lengo la kuhuisha mchakato wa mazungumzo ya amani uliokwama tangu Julai mwaka 2017.
-
Kuanza kazi mjumbe maalumu mpya wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria
Jan 09, 2019 04:05Geir Pedersen, mwanadiplomasia mkongwe wa Norway ambaye hivi karibuni aliteuliwa kuchukua mikoba ya Staffan de Mistura aliyekuwa mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria, Jumatatu ya juzi alianza rasmi kazi yake hiyo.