Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yaonya kuhusu kutofuatiliwa kisheria wanaojihusisha na magendo ya binadamu

    UN yaonya kuhusu kutofuatiliwa kisheria wanaojihusisha na magendo ya binadamu

    Jan 07, 2019 10:47

    Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhuusiana na kutofuatiliwa kisheria watuu wanaojihusisha na biashara ya magendo ya binadamu.

  • UN yalaani ghasia zilizopelekea raia 40 kuuawa Burkina Faso

    UN yalaani ghasia zilizopelekea raia 40 kuuawa Burkina Faso

    Jan 06, 2019 09:47

    Zaidi ya raia 40 wameripotiwa kuuawa wiki hii wakati wa mapigano ya kikabila kaskazini mwa Burkina Faso hali ambayo imesababisha Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres kutoa taarifa kulaani ghasia hizo.

  • Sisitizo la Umoja wa Mataifa la kuachiwa huru Nabeel Rajab

    Sisitizo la Umoja wa Mataifa la kuachiwa huru Nabeel Rajab

    Jan 05, 2019 09:25

    Farhan Haq msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amelaani namna utawala wa Aal Khalifa unavyokiuka uhuru wa kiraia huko Bahrain na kutaka kuachiwa huru haraka iwezekanavyo Nabeel Rajab Mkuu wa Kituo cha Haki za Binadamu cha nchini humo.

  • Somalia yakataa ombi la kuangalia upya uamuzi wa kumfukuza mjumbe wa UN

    Somalia yakataa ombi la kuangalia upya uamuzi wa kumfukuza mjumbe wa UN

    Jan 05, 2019 04:14

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya kufukuzwa nchini Somalia, Nicholas Haysom, mjumbe maalumu wa umoja huo katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika, lakini amesisitiza kuwa nafasi hiyo itajazwa katika siku chache zijazo.

  • Somaliland yalalamikia hatua ya Somalia kumtimua mjumbe wa UN

    Somaliland yalalamikia hatua ya Somalia kumtimua mjumbe wa UN

    Jan 03, 2019 23:20

    Jamhuri iliyojitangazia uhuru ya Somaliland nchini Somalia imekosoa vikali hatua ya serikali ya Mogadishu ambayo Jumanne iliyopita ilimfukuza nchini humo Nicholas Haysom, mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa, kutokana na kile ilichokitaja kama mienendo yake mibaya na kuingilia kwake waziwazi mambo ya ndani ya nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • UNHCR: Vifo vya wahajiri katika Bahari ya Mediterania vimepungua

    UNHCR: Vifo vya wahajiri katika Bahari ya Mediterania vimepungua

    Jan 03, 2019 11:42

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema wahajiri wapatao 2,262 walifariki dunia katika Bahari ya Mediterania mwaka uliomalizika wa 2018, na kwamba idadi ya wahajiri wanaokufa maji katika safari hizo hatarishi imepungua kwa zaidi ya asilimia 25.

  • Umoja wa Mataifa wataka kufanyike uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji Sudan

    Umoja wa Mataifa wataka kufanyike uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji Sudan

    Dec 29, 2018 12:53

    Umoja wa Mataifa umelezea kusikitishwa sana na machafuko pamoja na mauaji ya waandamanaji nchini Sudan na umewataka viongozi wa nchi hiyo wafanye uchunguzi unaotakiwa wa kubaini kwa nini waandamanaji wanauawa.

  • Katibu Mkuu wa UN ataka uchaguzi huru na wa haki Kongo DR

    Katibu Mkuu wa UN ataka uchaguzi huru na wa haki Kongo DR

    Dec 29, 2018 04:45

    Huku wananchi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo waliotimiza masharti ya kupiga kura wakitazamiwa kuelekea katika masanduku ya kupigia kura kumchangua kiongozi atakayerithi mikoba ya Rais Joseph Kabila Jumapili ya kesho, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa pande zote husika za kisiasa kuhakikisha kuwa zoezi hilo linafanyika kwa uhuru na amani.

  • Palestina yaomba uanachama wa kudumu katika Umoja wa Mataifa

    Palestina yaomba uanachama wa kudumu katika Umoja wa Mataifa

    Dec 26, 2018 22:58

    Riyad al Maliki, Waziri wa Mambo ya Nje wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, Rais Mahmoud Abbas wa mamlaka hiyo mwezi ujao wa Januari ataelekea mjini New York Marekani kuwasilisha rasmi ombi la serikali ya Palestina kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa la kuwa mwanachama wa kudumu wa umoja huo.

  • Mahmoud Abbas: Trump anapaswa aheshimu maazimio ya Umoja wa Mataifa

    Mahmoud Abbas: Trump anapaswa aheshimu maazimio ya Umoja wa Mataifa

    Dec 25, 2018 11:18

    Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina ameitaka serikali ya Marekani iheshimu maazimio ya Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS