Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN yakemea vikali jinai za Saudi Arabia nchini Yemen

    UN yakemea vikali jinai za Saudi Arabia nchini Yemen

    Aug 28, 2018 07:45

    Mwenyekiti wa Kamati ya Haki za Watoto ya Umoja wa Mataifa amesema kuwa mashambulizi ya kinyama yanayofanywa na Saudi Arabia na waitifaki wake yameua watoto wengi nchini Yemen.

  • Kutokuwa halali vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Kutokuwa halali vikwazo vya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Aug 22, 2018 03:32

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu ametahadharisha kuhusianja na kuenea vita vya kiuchumi ulimwenguni na kusema kuwa, hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo tena Iran si halali kisheria, ya kidhalimu na ina madhara.

  • Ripota maalumu wa UN: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran si halali kisheria

    Ripota maalumu wa UN: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran si halali kisheria

    Aug 21, 2018 09:58

    Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa wa haki za binadamu na athari hasi za uchukuaji hatua za upande mmoja amesema hatua ya Marekani ya kuiwekea vikwazo tena Iran si halali kisheria, ya kidhalimu na ina madhara.

  • Ukosoaji wa Amnesty International kwa hatua ya Marekani na Ulaya ya kuiuzia silaha Saudi Arabia na Israel

    Ukosoaji wa Amnesty International kwa hatua ya Marekani na Ulaya ya kuiuzia silaha Saudi Arabia na Israel

    Aug 21, 2018 08:20

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeikosoa Marekani na madola ya Ulaya na kuyataka yasitishe kuiuzia silaha Saudi Arabia na utawala haramu wa Israel.

  • UN Yataka viongozi wa duinia kulinda watu walionaswa kwenye mizozo

    UN Yataka viongozi wa duinia kulinda watu walionaswa kwenye mizozo

    Aug 19, 2018 03:00

    Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa viongozi wa dunia kufanya kila wawezalo kulinda watu walionaswa kwenye mizozo.

  •  Michelle Bachelet aidhinishwa rasmi kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu UN

    Michelle Bachelet aidhinishwa rasmi kuwa Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu UN

    Aug 11, 2018 03:11

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limemuidhinisha rais wa zamani wa Chile Michelle Bachelet kuwa Kamishna Mkuu mpya wa Haki za Binadamu wa umoja huo.

  • UNHCR, UNDP zataka Myanmar iandae mazingira ya kurejea Waislamu Warohingya

    UNHCR, UNDP zataka Myanmar iandae mazingira ya kurejea Waislamu Warohingya

    Aug 08, 2018 23:54

    Mashirika ya misaada ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa yameitaka serikali ya Myanmar iandae mazingira ya kurejea katika jimbo la Rakhine Waislamu Warohingya wa nchi hiyo.

  • Indhari za kimataifa; Yemen katika maafa ya kibinadamu

    Indhari za kimataifa; Yemen katika maafa ya kibinadamu

    Aug 04, 2018 22:00

    Kufuatia kushtadi mashambulizi ya vikosi vamizi vya Saudi Arabia na waitifaki wake huko Yemen, taasisi za misaada ya kibinadamu za kimataifa zimetahadharisha kuhusu kutokea maafa ya kibinadamu nchini humo khususan katika bandari iliyokumbwa na mgogoro ya al Hudaydah.

  • UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Saudia

    UN yaeleza wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji wa haki za binadamu Saudia

    Jul 31, 2018 10:02

    Umoja wa Mataifa umeeleza wasiwasi wake kuhusu mwenendo wa kuendelea kukamatwa wapinzani wa serikali nchini Saudi Arabia.

  • Askari wa UN akiri kunajisi watoto wadogo Afrika

    Askari wa UN akiri kunajisi watoto wadogo Afrika

    Jul 30, 2018 02:39

    Askari mmoja wa zamani wa kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amekiri kwamba, aliwanajisi watoto na wanawake wa Kiafrika wakati alipokuwa akihudumia kikosi hicho mwaka 2004.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS