-
Palestina yateuliwa kuongoza Kundi la 77 la UN
Jul 27, 2018 03:36Palestina imeteuliwa kuwa mwenyekiti wa kiduru wa Kundi la 77 (G77) linalojihusisha na masuala ya uchumi wa nchi zinazostawi, ambazo zinaunda asilimia 80 ya idadi ya watu wote duniani.
-
UN: Wapiga kura wanatishiwa Zimbabwe kuelekea uchaguzi mkuu
Jul 24, 2018 11:54Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeelezea wasiwasi mkubwa ilionao kuhusu kukithiri visa vya wapiga kura kutishiwa maisha nchini Zimbabwe, baadhi yao wakilazimishwa kushiriki mikutano wa kisiasa, zikiwa zimesalia siku chache wananchi waelekee katika masanduku ya kupigia kura kuwachagua viongozi wao.
-
Djibouti yaitaka UN itatue mgogoro wa mpaka wake na Eritrea
Jul 20, 2018 09:27Serikali ya Djibouti imeutaka Umoja wa Mataifa uingilie kati na kusuluhisha mgogoro wa mpaka wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika na jirani yake Eritrea.
-
UN: Myanmar ingali inawatendea jinai Waislamu wa Rohingya
Jul 19, 2018 11:07Wachunguzi wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa wamesema Waislamu wa jamii ya Rohingya wangali wanafanyiwa jinai za kuogofya na wanajeshi wa Myanmar wakishirikiana na Mabudha wenye misimamo ya kufurutu ada.
-
Ansarullah: Tuko tayari kuikabidhi UN usimamizi wa al Hudaydah kwa sharti
Jul 18, 2018 02:52Harakati ya wananchi ya Ansarullah nchini Yemen imesema itakubali kukabidhi usimamizi wa bandari ya al Hudaydah kwa Umoja wa Mataifa, lakini kwa sharti.
-
UN: Mamia ya raia wameuawa nchini Mali mwaka huu pekee
Jul 17, 2018 23:04Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imesema mamia ya raia wameuawa nchini Mali mwaka huu pekee, katika makabiliano baina ya makundi hasimu ya waasi.
-
Umoja wa Mataifa wataka kuhitimishwa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza
Jul 16, 2018 03:11Mratibu Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Mashariki ya Kati ametoa wito wa kuhitimishwa mzingiro wa utawala ghasibu wa Israel dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza huko Palestina.
-
EU yafungua ubalozi wake wa Libya uliofungwa 2014
Jul 15, 2018 02:37Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Federica Mogherini ameitembelea Tripoli, mji mkuu wa Libya na kufungua upya ubalozi wa umoja huo uliohamishiwa Tunis, mji mkuu wa Tunisia mwaka 2014.
-
Saudia yaendeleza tuhuma zake dhidi ya Iran
Jul 10, 2018 23:56Serikali ya Saudi Arabia sambamba na kutuma barua kwenda Umoja wa Mataifa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imeituhumu nchi hii kwamba inakiuka haki yake ya kujitawala katika maji ya bahari ya nchi hiyo.
-
UN: Wahajiri 1,400 wamekufa maji tangu Januari mwaka huu
Jul 06, 2018 22:57Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema zaidi ya wahajiri 1,400 wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania tangu ulipoanza mwaka huu wa 2018 hadi sasa.