Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • UN, EU zaitaka Israel isibomoe kijiji cha Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    UN, EU zaitaka Israel isibomoe kijiji cha Wapalestina Ukingo wa Magharibi

    Jul 05, 2018 09:38

    Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya zimeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe mpango wake wa kubomoa kijiji cha Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • UN: Zaidi ya raia 121,000 wamekuwa wakimbizi kufuatia mashambulizi ya muungano wa Saudia huko Al Hudaydah

    UN: Zaidi ya raia 121,000 wamekuwa wakimbizi kufuatia mashambulizi ya muungano wa Saudia huko Al Hudaydah

    Jul 05, 2018 09:27

    Umoja wa Mataifa umeripoti kuwa raia zaidi ya laki moja na elfu ishirini na moja wamelazimika kuwa wakimbizi kufuatia mashambulizi ya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia na mapigano yanayojiri katika mji wa bandari wa Al Hudaydah nchini Yemen.

  • Waislamu Warohingya 11,432 wamekimbia ukandamizaji Myanmar mwaka 2018

    Waislamu Warohingya 11,432 wamekimbia ukandamizaji Myanmar mwaka 2018

    Jul 04, 2018 23:09

    Waislamu Warohingya wasiopungua 11,432 wamekimbia ukandamizaji wanaotendewa nchini Myanmar na kupata hifadhi katika nchi jirani ya Bangladesh.

  • Bajeti ya vikosi vya kusimamia amani vya Umoja wa Mataifa yapasishwa

    Bajeti ya vikosi vya kusimamia amani vya Umoja wa Mataifa yapasishwa

    Jul 02, 2018 09:25

    Nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa zimeafiki na kupasisha bajeti ya vikosi vya kusimamia amani vya umoja huo katika maeneo mbalimbali ulimwenguni.

  • Answarullah: Sio kweli kwamba tumekubali kuukabidhi Umoja wa Mataifa bandari ya Al Hudaydah

    Answarullah: Sio kweli kwamba tumekubali kuukabidhi Umoja wa Mataifa bandari ya Al Hudaydah

    Jun 28, 2018 09:11

    Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen imekadhibisha baadhi ya habari za vyombo vya habari vya nchi za Magharibi kwamba imekubali kukabidhi usimamizi wa bandari ya Al Hudaydah kwa Umoja wa Mataifa.

  • Bashar al Ja'far: Nchi za Magharibi na Umoja wa Mataifa zimesahahu kupambana na ugaidi

    Bashar al Ja'far: Nchi za Magharibi na Umoja wa Mataifa zimesahahu kupambana na ugaidi

    Jun 28, 2018 03:19

    Mwakilishi wa Kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa ametetea oparesheni zinazofanywa na jeshi la nchi yake dhidi ya magaidi kusini mwa nchi na kueleza kuwa nchi za Magharibi na Umoja wa Mataifa zimesahau kupambana dhidi ya ugaidi.

  • UN: Jeshi la Mali liliua raia12 katika ulipizaji kisasi

    UN: Jeshi la Mali liliua raia12 katika ulipizaji kisasi

    Jun 27, 2018 09:50

    Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali MINUSMA kimesema wanajeshi wa serikali ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika waliuawa raia 12 katika operesheni ya kulipiza kisasi mwezi uliopita, baada ya mwenzao kuuawa katika mazingira ya kutatanisha.

  • Msafara wa walinda amani wa UN wavamiwa Sudan Kusini, askari auawa

    Msafara wa walinda amani wa UN wavamiwa Sudan Kusini, askari auawa

    Jun 26, 2018 10:39

    Askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini ameuawa mapema leo Jumanne baada ya msafara wa magari ya mashirika ya kutoa misaada ya kibinadamu kuviziwa na kushambuliwa na genge la wabeba silaha magharibi mwa nchi hiyo.

  • Yemen yakosoa kimya cha Umoja wa Mataifa kuhusu jinai za muungano unaoongozwa na Saudia

    Yemen yakosoa kimya cha Umoja wa Mataifa kuhusu jinai za muungano unaoongozwa na Saudia

    Jun 25, 2018 02:49

    Abdulsalam Jaber Msemaji wa Serikali ya Uokozi wa Kitaifa Yemen amelaaani vikali kimya cha Umoja wa Mataifa na taasisi zake kuhusu jinai za muungano wa Saudia dhidi ya Yemen.

  • Putin na udharura wa UN kuwa na nafasi muhimu katika medani ya kimataifa

    Putin na udharura wa UN kuwa na nafasi muhimu katika medani ya kimataifa

    Jun 22, 2018 02:39

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema Umoja wa Mataifa unapaswa kuwa na nafasi kuu na ya mbele zaidi katika masuala ya kimataifa. Putin amesema hayo katika mazungumzo yake na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres mjini Moscow.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS