-
Ansarullah: Tuko tayari kuikabidhi UN usimamizi wa al Hudaydah kwa sharti
Jul 18, 2018 02:52Harakati ya wananchi ya Ansarullah nchini Yemen imesema itakubali kukabidhi usimamizi wa bandari ya al Hudaydah kwa Umoja wa Mataifa, lakini kwa sharti.
-
UN: Mamia ya raia wameuawa nchini Mali mwaka huu pekee
Jul 17, 2018 23:04Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imesema mamia ya raia wameuawa nchini Mali mwaka huu pekee, katika makabiliano baina ya makundi hasimu ya waasi.
-
Umoja wa Mataifa wataka kuhitimishwa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza
Jul 16, 2018 03:11Mratibu Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Mashariki ya Kati ametoa wito wa kuhitimishwa mzingiro wa utawala ghasibu wa Israel dhidi ya eneo la Ukanda wa Gaza huko Palestina.
-
EU yafungua ubalozi wake wa Libya uliofungwa 2014
Jul 15, 2018 02:37Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya, Federica Mogherini ameitembelea Tripoli, mji mkuu wa Libya na kufungua upya ubalozi wa umoja huo uliohamishiwa Tunis, mji mkuu wa Tunisia mwaka 2014.
-
Saudia yaendeleza tuhuma zake dhidi ya Iran
Jul 10, 2018 23:56Serikali ya Saudi Arabia sambamba na kutuma barua kwenda Umoja wa Mataifa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imeituhumu nchi hii kwamba inakiuka haki yake ya kujitawala katika maji ya bahari ya nchi hiyo.
-
UN: Wahajiri 1,400 wamekufa maji tangu Januari mwaka huu
Jul 06, 2018 22:57Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema zaidi ya wahajiri 1,400 wamefariki dunia katika Bahari ya Mediterania tangu ulipoanza mwaka huu wa 2018 hadi sasa.
-
UN, EU zaitaka Israel isibomoe kijiji cha Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Jul 05, 2018 09:38Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya zimeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe mpango wake wa kubomoa kijiji cha Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
UN: Zaidi ya raia 121,000 wamekuwa wakimbizi kufuatia mashambulizi ya muungano wa Saudia huko Al Hudaydah
Jul 05, 2018 09:27Umoja wa Mataifa umeripoti kuwa raia zaidi ya laki moja na elfu ishirini na moja wamelazimika kuwa wakimbizi kufuatia mashambulizi ya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia na mapigano yanayojiri katika mji wa bandari wa Al Hudaydah nchini Yemen.
-
Waislamu Warohingya 11,432 wamekimbia ukandamizaji Myanmar mwaka 2018
Jul 04, 2018 23:09Waislamu Warohingya wasiopungua 11,432 wamekimbia ukandamizaji wanaotendewa nchini Myanmar na kupata hifadhi katika nchi jirani ya Bangladesh.
-
Bajeti ya vikosi vya kusimamia amani vya Umoja wa Mataifa yapasishwa
Jul 02, 2018 09:25Nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa zimeafiki na kupasisha bajeti ya vikosi vya kusimamia amani vya umoja huo katika maeneo mbalimbali ulimwenguni.