-
UN, EU zaitaka Israel isibomoe kijiji cha Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Jul 05, 2018 09:38Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya zimeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe mpango wake wa kubomoa kijiji cha Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
UN: Zaidi ya raia 121,000 wamekuwa wakimbizi kufuatia mashambulizi ya muungano wa Saudia huko Al Hudaydah
Jul 05, 2018 09:27Umoja wa Mataifa umeripoti kuwa raia zaidi ya laki moja na elfu ishirini na moja wamelazimika kuwa wakimbizi kufuatia mashambulizi ya muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia na mapigano yanayojiri katika mji wa bandari wa Al Hudaydah nchini Yemen.
-
Waislamu Warohingya 11,432 wamekimbia ukandamizaji Myanmar mwaka 2018
Jul 04, 2018 23:09Waislamu Warohingya wasiopungua 11,432 wamekimbia ukandamizaji wanaotendewa nchini Myanmar na kupata hifadhi katika nchi jirani ya Bangladesh.
-
Bajeti ya vikosi vya kusimamia amani vya Umoja wa Mataifa yapasishwa
Jul 02, 2018 09:25Nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa zimeafiki na kupasisha bajeti ya vikosi vya kusimamia amani vya umoja huo katika maeneo mbalimbali ulimwenguni.
-
Answarullah: Sio kweli kwamba tumekubali kuukabidhi Umoja wa Mataifa bandari ya Al Hudaydah
Jun 28, 2018 09:11Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen imekadhibisha baadhi ya habari za vyombo vya habari vya nchi za Magharibi kwamba imekubali kukabidhi usimamizi wa bandari ya Al Hudaydah kwa Umoja wa Mataifa.
-
Bashar al Ja'far: Nchi za Magharibi na Umoja wa Mataifa zimesahahu kupambana na ugaidi
Jun 28, 2018 03:19Mwakilishi wa Kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa ametetea oparesheni zinazofanywa na jeshi la nchi yake dhidi ya magaidi kusini mwa nchi na kueleza kuwa nchi za Magharibi na Umoja wa Mataifa zimesahau kupambana dhidi ya ugaidi.
-
UN: Jeshi la Mali liliua raia12 katika ulipizaji kisasi
Jun 27, 2018 09:50Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Mali MINUSMA kimesema wanajeshi wa serikali ya nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika waliuawa raia 12 katika operesheni ya kulipiza kisasi mwezi uliopita, baada ya mwenzao kuuawa katika mazingira ya kutatanisha.
-
Msafara wa walinda amani wa UN wavamiwa Sudan Kusini, askari auawa
Jun 26, 2018 10:39Askari wa Kikosi cha Kulinda Amani cha Umoja wa Mataifa nchini Sudan Kusini ameuawa mapema leo Jumanne baada ya msafara wa magari ya mashirika ya kutoa misaada ya kibinadamu kuviziwa na kushambuliwa na genge la wabeba silaha magharibi mwa nchi hiyo.
-
Yemen yakosoa kimya cha Umoja wa Mataifa kuhusu jinai za muungano unaoongozwa na Saudia
Jun 25, 2018 02:49Abdulsalam Jaber Msemaji wa Serikali ya Uokozi wa Kitaifa Yemen amelaaani vikali kimya cha Umoja wa Mataifa na taasisi zake kuhusu jinai za muungano wa Saudia dhidi ya Yemen.
-
Putin na udharura wa UN kuwa na nafasi muhimu katika medani ya kimataifa
Jun 22, 2018 02:39Rais Vladimir Putin wa Russia amesema Umoja wa Mataifa unapaswa kuwa na nafasi kuu na ya mbele zaidi katika masuala ya kimataifa. Putin amesema hayo katika mazungumzo yake na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres mjini Moscow.