-
UN yatahadharisha kuhusu uchafuzi wa hali ya hewa duniani
Jun 21, 2018 03:45Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuhusu ongezeko la uchafuzi wa hali ya hewa na hatari zake kwa viumbe kote duniani.
-
UN: Kulindwa JCPOA kuna umuhimu kwa usalama wa dunia
Jun 20, 2018 02:59Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kulindwa makubaliano ya nyuklia ya Iran ni jambo lenye udharura mkubwa hususan katika kudhamini usalama wa dunia.
-
UN: Wayemeni 26,000 wamelazimika kuyahama makazi yao baada ya muungano wa Saudia kushambulia Al-Hudaydah
Jun 19, 2018 03:27Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa watu 26,000 wakazi wa mji wa bandari wa Al-Hudaydah magharibi mwa Yemen wamelazimika kuzihama nyumba na makazi yao baada ya muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia kushambulia eneo hilo.
-
Ndege za Saudia zadondosha mabomu Hudaydah Yemen wakati wa Sala ya Idul Fitri
Jun 15, 2018 10:59Ndege za kivita za muungano unaoongozwa na Saudia zimedondosha mabomu katika maeneo ya mji wa bandarini ya Hudaydah nchini Yemen wakati wakaazi wa mji huo wakiwa wamekusanyika kwa ajili ya Sala ya Idul Fitr mapema leo asubuhi.
-
Pigo jingine dhidi ya Marekani katika Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina
Jun 14, 2018 23:50Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, katika fremu ya kuunga mkono taifa madhulumu la Palestina, limepitisha kwa wingi wa kura azimio la kulaani vikali jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina na kwa utaratibu huo, Marekani, kwa mara nyingine tena, imepata pigo na kugonga mwamba katika jitihada zake za kulaani Harakati ya Mapambanao ya Kiislamu ya Palestina, Hamas.
-
HAMAS yapongeza azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu wananchi wa Palestina
Jun 14, 2018 10:34Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imepongeza azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifra la kuwahami na kuwatetea wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.
-
Nchi 120 katika Umoja wa Mataifa zalaani mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina
Jun 13, 2018 22:17Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeidhinisha azimio linaloulaumu na kuulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kufanya mauaji dhidi raia wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza.
-
Qatar yaishtaki Imarati katika mahakama ya haki za binadamu ya UN
Jun 12, 2018 09:20Qatar imewasilisha faili la kesi dhidi ya Umoja wa Falme za Kiarabu, katika mahakama ya juu zaidi ya Umoja wa Mataifa, ikiituhumu Abu Dhabi kwamba imekiuka haki za binadamu za wananchi wa Qatar, huku mgogoro wa nchi hizo za Kiarabu ukielekea kutimiza mwaka mmoja.
-
Mpango wa amani wa UN nchini Yemen wataka kujumuishwa Ansarullah serikalini
Jun 09, 2018 03:45Inaarifiwa kuwa, Umoja wa Mataifa umeandaa mpango wa amani wa kutamatisha mashambulizi ya muungano wa kijeshi wa Saudi Arabia dhidi ya Yemen, baada ya jitihada za kidiplomasia kugonga mwamba.
-
UN: Watoto laki 5 eneo la Ziwa Chad wanakodolewa macho na mauti
Jun 09, 2018 03:42Umoja wa Mataifa umesema watoto karibu laki tano wanaoandamwa na utapiamlo wapo katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa katika nchi za eneo la Ziwa Chad.