Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Palestina yaitaka UN ichunguze mauaji yanayofanywa na Israel huko Gaza

    Palestina yaitaka UN ichunguze mauaji yanayofanywa na Israel huko Gaza

    Jun 09, 2018 03:18

    Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa Baraza Kuu la umoja huo kukumbatia azimio linalotaka kuchunguzwa jinai za kutisha zinazoendelea kufanywa na wanajeshi katili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • UN: Saudia inakandamiza na kuwatesa wanaharakati na washukiwa wa ugaidi

    UN: Saudia inakandamiza na kuwatesa wanaharakati na washukiwa wa ugaidi

    Jun 07, 2018 10:55

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa imeukosoa utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia kwa kuwakandamiza, kuwatesa na kuwadhalilisha wanaharakati na washukiwa wa ugaidi unaowazuilia.

  • UN: Marekani ikomeshe tabia ya ukatili ya kuwatenganisha watoto wa kihajiri na wazazi wao

    UN: Marekani ikomeshe tabia ya ukatili ya kuwatenganisha watoto wa kihajiri na wazazi wao

    Jun 06, 2018 09:45

    Msemaji wa Ofisi ya Kutetea Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa, ameitaka Marekani kukomesha ukiukaji wa haki za wahajiri wanaoingia katika nchi hiyo kinyume cha sheria sambamba na kufuata sheria zinazoruhusu watu wa familia moja miongoni mwa wahajiri kuwatembelea jamaa zao.

  • UN yaelezea wasi wasi wake kuhusu kushtadi kamatakamata Misri

    UN yaelezea wasi wasi wake kuhusu kushtadi kamatakamata Misri

    Jun 06, 2018 03:07

    Ofisi ya Kutetea Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeeleza juu ya wasi wasi mkubwa ilionao kutokana na kushtadi wimbi la kamatakamata nchini Misri.

  • Plastiki zapigwa vita katika Siku ya Mazingira Duniani

    Plastiki zapigwa vita katika Siku ya Mazingira Duniani

    Jun 05, 2018 02:56

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kukataa matumizi ya plastiki zinazotumika mara moja na kutupwa.

  • (Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds): Dhulma wanayofanyiwa Wapalestina na madai ya haki za binadamu ya Marekani

    (Hatua kwa hatua kuelekea Siku ya Kimataifa ya Quds): Dhulma wanayofanyiwa Wapalestina na madai ya haki za binadamu ya Marekani

    Jun 03, 2018 02:11

    Vitendo vilivyo dhidi ya ubinadamu ambavyo Israel inawafanyia wananchi madhulumu wa Palestina ni miongoni mwa mambo ambayo mara kwa mara yamekuwa yakifanywa ajenda za Baraza la Haki za Binadamu la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa; hata hivyo mara zote Marekani imekuwa ikiingilia kati na kuzuia kupasishwa maazimio ya kimataifa ya kulaani jinai hizo za Israel.

  • Mjumbe wa UN: Trump ni chanzo cha kutokuwepo usawa wa kiuchumi nchini Marekani

    Mjumbe wa UN: Trump ni chanzo cha kutokuwepo usawa wa kiuchumi nchini Marekani

    Jun 02, 2018 22:12

    Philip Alston, Ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya umasikini amesema kuwa, siasa na hatua za Rais Donald Trump wa Marekani, zimesababisha kuongezeka dhulma ya kiuchumi nchini humo.

  • Baraza la Usalama la UN: Haiwezekani kuupuuza mzingiro wa miaka 10 dhidi ya Gaza

    Baraza la Usalama la UN: Haiwezekani kuupuuza mzingiro wa miaka 10 dhidi ya Gaza

    May 31, 2018 03:01

    Wawakilishi wa nchi wanachama wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wamesema muongo mzima wa mzingiro dhidi ya Ukanda wa Gaza na jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni ni mambo ambayo hayawezi kupuuzwa.

  • Katibu Mkuu wa UN asisistiza kuhusu umuhimu wa askari wa kulinda amani

    Katibu Mkuu wa UN asisistiza kuhusu umuhimu wa askari wa kulinda amani

    May 29, 2018 09:27

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa ulinzi wa amani wa Umoja wa Mataifa ni thibitisho la uwekezaji katika amani, usalama na ustawi duniani.

  • UN yatiwa wasi wasi na hali ya wanaharakati wanawake wanaozuiliwa Saudia

    UN yatiwa wasi wasi na hali ya wanaharakati wanawake wanaozuiliwa Saudia

    May 29, 2018 09:23

    Ofisi ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeeleza juu ya wasi wasi mkubwa ilionao kuhusu hali ya wanaharakati wanawake wanaozuiliwa chini ya mazingira ya kutisha nchini Saudi Arabia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS