Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Mataifa

  • Pigo jingine dhidi ya Marekani katika Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina

    Pigo jingine dhidi ya Marekani katika Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina

    Jun 14, 2018 23:50

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, katika fremu ya kuunga mkono taifa madhulumu la Palestina, limepitisha kwa wingi wa kura azimio la kulaani vikali jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina na kwa utaratibu huo, Marekani, kwa mara nyingine tena, imepata pigo na kugonga mwamba katika jitihada zake za kulaani Harakati ya Mapambanao ya Kiislamu ya Palestina, Hamas.

  • HAMAS yapongeza azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu wananchi wa Palestina

    HAMAS yapongeza azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu wananchi wa Palestina

    Jun 14, 2018 10:34

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imepongeza azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifra la kuwahami na kuwatetea wananchi wanaodhulumiwa wa Palestina.

  • Nchi 120 katika Umoja wa Mataifa zalaani mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina

    Nchi 120 katika Umoja wa Mataifa zalaani mauaji yanayofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina

    Jun 13, 2018 22:17

    Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limeidhinisha azimio linaloulaumu na kuulaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kufanya mauaji dhidi raia wa Kipalestina katika Ukanda wa Ghaza.

  • Qatar yaishtaki Imarati katika mahakama ya haki za binadamu ya UN

    Qatar yaishtaki Imarati katika mahakama ya haki za binadamu ya UN

    Jun 12, 2018 09:20

    Qatar imewasilisha faili la kesi dhidi ya Umoja wa Falme za Kiarabu, katika mahakama ya juu zaidi ya Umoja wa Mataifa, ikiituhumu Abu Dhabi kwamba imekiuka haki za binadamu za wananchi wa Qatar, huku mgogoro wa nchi hizo za Kiarabu ukielekea kutimiza mwaka mmoja.

  • Mpango wa amani wa UN nchini Yemen wataka kujumuishwa Ansarullah serikalini

    Mpango wa amani wa UN nchini Yemen wataka kujumuishwa Ansarullah serikalini

    Jun 09, 2018 03:45

    Inaarifiwa kuwa, Umoja wa Mataifa umeandaa mpango wa amani wa kutamatisha mashambulizi ya muungano wa kijeshi wa Saudi Arabia dhidi ya Yemen, baada ya jitihada za kidiplomasia kugonga mwamba.

  • UN: Watoto laki 5 eneo la Ziwa Chad wanakodolewa macho na mauti

    UN: Watoto laki 5 eneo la Ziwa Chad wanakodolewa macho na mauti

    Jun 09, 2018 03:42

    Umoja wa Mataifa umesema watoto karibu laki tano wanaoandamwa na utapiamlo wapo katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na njaa katika nchi za eneo la Ziwa Chad.

  • Palestina yaitaka UN ichunguze mauaji yanayofanywa na Israel huko Gaza

    Palestina yaitaka UN ichunguze mauaji yanayofanywa na Israel huko Gaza

    Jun 09, 2018 03:18

    Balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa ametoa mwito kwa Baraza Kuu la umoja huo kukumbatia azimio linalotaka kuchunguzwa jinai za kutisha zinazoendelea kufanywa na wanajeshi katili wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • UN: Saudia inakandamiza na kuwatesa wanaharakati na washukiwa wa ugaidi

    UN: Saudia inakandamiza na kuwatesa wanaharakati na washukiwa wa ugaidi

    Jun 07, 2018 10:55

    Ripoti ya Umoja wa Mataifa imeukosoa utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia kwa kuwakandamiza, kuwatesa na kuwadhalilisha wanaharakati na washukiwa wa ugaidi unaowazuilia.

  • UN: Marekani ikomeshe tabia ya ukatili ya kuwatenganisha watoto wa kihajiri na wazazi wao

    UN: Marekani ikomeshe tabia ya ukatili ya kuwatenganisha watoto wa kihajiri na wazazi wao

    Jun 06, 2018 09:45

    Msemaji wa Ofisi ya Kutetea Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa, ameitaka Marekani kukomesha ukiukaji wa haki za wahajiri wanaoingia katika nchi hiyo kinyume cha sheria sambamba na kufuata sheria zinazoruhusu watu wa familia moja miongoni mwa wahajiri kuwatembelea jamaa zao.

  • UN yaelezea wasi wasi wake kuhusu kushtadi kamatakamata Misri

    UN yaelezea wasi wasi wake kuhusu kushtadi kamatakamata Misri

    Jun 06, 2018 03:07

    Ofisi ya Kutetea Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeeleza juu ya wasi wasi mkubwa ilionao kutokana na kushtadi wimbi la kamatakamata nchini Misri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS