-
CPJ yakiri: Kuna mbinyo wa vyombo vya habari katika nchi za Umoja wa Ulaya
Apr 29, 2023 08:19Licha ya kuwepo madai na propaganda kubwa za nchi za Ulaya kuhusu uhuru wa vyombo vya habari na kwamba nchi hizo zinatetea uhuru wa kujieleza, lakini iripoti mbalimbali zinaendelea kuweka wazi mbinyo wa vyombo vya habari ndani ya nchi za umoja huo.
-
Umoja wa Ulaya na mchango wake katika uhalifu dhidi ya ubinadamu nchini Libya
Mar 29, 2023 22:45Wakati wimbi kubwa la wakimbizi linaendelea kumiminika Libya wakiwa na matumaini ya kuvuka bahari na kufika Ulaya, nchi hiyo ya Afrika sasa imekuwa Jahanamu kwa wakimbizi na wahamiaji, kiasi kwamba wengi wao wananyanyaswa kimwili na kiakili na hata kuuawa.
-
UN yaituhumu EU kuunga mkono jinai dhidi ya binadamu Libya
Mar 28, 2023 03:55Jopo la uchunguzi la Umoja wa Mataifa limesema kwamba, kuna ushahidi unaoonyesha kuwa jinai dhidi ya binadamu zimefanywa dhidi wa wananchi wa Libya na wahajiri waliokwama katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika, wakiwemo wanawake wanaolazimishwa kuingia kwenye utumwa wa kingono.
-
Maandamano dhidi ya vita katika nchi za Ulaya
Feb 27, 2023 08:14Sambamba na kuendelea vita nchini Ukraine na hali mbaya ya kiuchumi na kijamii katika nchi mbalimbali za Ulaya, wananchi barani humo wamefanya maandamano katika nchi kadhaa wakipinga sera za nchi za Magharibi na kuingilia kati vita vya Ukraine.
-
EU yaidhinisha kifurushi cha 10 cha vikwazo dhidi ya Russia kwa sababu ya vita vya Ukraine
Feb 24, 2023 23:50Nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya zimeidhinisha kifurushi cha 10 cha vikwazo dhidi ya Russia kwa sababu ya vita vya Ukraine.
-
Wallace: Vikwazo vya EU dhidi ya Russia vinahudumia maslahi ya Marekani
Feb 24, 2023 23:12Mbunge wa Bunge la Ulaya amevitaja vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia kuwa huduma kwa maslahi ya Marekani na uwendawazimu usio na kifani kwa niaba ya watu wa Ulaya.
-
Iran inajiandaa kujibu mapigo ya kuwekewa vikwazo na Umoja wa Ulaya
Feb 21, 2023 00:09Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema ndani ya siku chache zijazo itatoa jibu la vikwazo vya hivi karibuni vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya dhidi ya shakhsia 32 na taasisi mbili za Jamhuri ya Kiislamu.
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Mienendo ya Umoja wa Ulaya ni mwendelezo wa sera iliyofeli ya Trump
Feb 20, 2023 04:17Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa, mienendo ya Umoja wa Ulaya katika miezi ya hivi karibuni ni mwendelezo wa sera zisizo na tija na zilizofeli za rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump.
-
Jibu la Iran kwa vikwazo vya Umoja wa Ulaya
Jan 27, 2023 23:02Katika kukabiliana na vikwazo vya hivi karibuni vya Umoja wa Ulaya, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imechapisha orodha mpya ya shakhsia na taasisi za Ulaya ambazo zimewekewa vikwazo na serikali ya Tehran.
-
Iran yajibu mapigo, yatangaza vikwazo dhidi ya EU, Uingereza
Jan 26, 2023 00:32Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imejibu hatua ya Umoja wa Ulaya na Uingereza ya kuwawekea vikwazo baadhi ya shakhsia binafsi na wa kiserikali wa Jamhuri ya Kiislamu, kwa kutangaza vikwazo dhidi ya shakhsia na taasisi za EU na Uingereza.