Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Wallace: Vikwazo vya EU dhidi ya Russia vinahudumia maslahi ya Marekani

    Wallace: Vikwazo vya EU dhidi ya Russia vinahudumia maslahi ya Marekani

    Feb 24, 2023 23:12

    Mbunge wa Bunge la Ulaya amevitaja vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia kuwa huduma kwa maslahi ya Marekani na uwendawazimu usio na kifani kwa niaba ya watu wa Ulaya.

  • Iran inajiandaa kujibu mapigo ya kuwekewa vikwazo na Umoja wa Ulaya

    Iran inajiandaa kujibu mapigo ya kuwekewa vikwazo na Umoja wa Ulaya

    Feb 21, 2023 00:09

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema ndani ya siku chache zijazo itatoa jibu la vikwazo vya hivi karibuni vilivyowekwa na Umoja wa Ulaya dhidi ya shakhsia 32 na taasisi mbili za Jamhuri ya Kiislamu.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Mienendo ya Umoja wa Ulaya ni mwendelezo wa sera iliyofeli ya Trump

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Mienendo ya Umoja wa Ulaya ni mwendelezo wa sera iliyofeli ya Trump

    Feb 20, 2023 04:17

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuwa, mienendo ya Umoja wa Ulaya katika miezi ya hivi karibuni ni mwendelezo wa sera zisizo na tija na zilizofeli za rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump.

  • Jibu la Iran kwa vikwazo vya Umoja wa Ulaya

    Jibu la Iran kwa vikwazo vya Umoja wa Ulaya

    Jan 27, 2023 23:02

    Katika kukabiliana na vikwazo vya hivi karibuni vya Umoja wa Ulaya, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imechapisha orodha mpya ya shakhsia na taasisi za Ulaya ambazo zimewekewa vikwazo na serikali ya Tehran.

  • Iran yajibu mapigo, yatangaza vikwazo dhidi ya EU, Uingereza

    Iran yajibu mapigo, yatangaza vikwazo dhidi ya EU, Uingereza

    Jan 26, 2023 00:32

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imejibu hatua ya Umoja wa Ulaya na Uingereza ya kuwawekea vikwazo baadhi ya shakhsia binafsi na wa kiserikali wa Jamhuri ya Kiislamu, kwa kutangaza vikwazo dhidi ya shakhsia na taasisi za EU na Uingereza.

  • EU yaendeleza msimamo wa uhasama dhidi ya Iran

    EU yaendeleza msimamo wa uhasama dhidi ya Iran

    Jan 23, 2023 23:15

    Umoja wa Ulaya umeendeleza misimamo yake ya uhasama kwa Iran kwa kuiwekea vikwazo vipya.

  • Umoja wa Ulaya washadidisha uingiliaji katika masuala ya ndani ya Iran

    Umoja wa Ulaya washadidisha uingiliaji katika masuala ya ndani ya Iran

    Jan 19, 2023 23:13

    Katika muendelezo wa uingiliaji wa Umoja wa Ulaya katika masuala ya ndani ya Iran, Bunge la Ulaya linatafakari na kujadili suala la kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) katika kile kinachoitwa orodha ya mashirika ya kigaidi.

  • Iran: EU imefanya kosa kubwa kuiweka IRGC katika orodha ya ugaidi

    Iran: EU imefanya kosa kubwa kuiweka IRGC katika orodha ya ugaidi

    Jan 19, 2023 07:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Bunge la Ulaya limefanya kosa kubwa kwa kupiga kura ya kuutaka Umoja wa Ulaya na nchi wanachama wa EU kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) katika orodha ya makundi ya kigaidi.

  • Umoja wa Ulaya washindwa kulaani uchochezi wa waziri mwenye itikadi za kibaguzi wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Msikiti wa al-Aqsa.

    Umoja wa Ulaya washindwa kulaani uchochezi wa waziri mwenye itikadi za kibaguzi wa utawala wa Kizayuni dhidi ya Msikiti wa al-Aqsa.

    Jan 05, 2023 04:29

    Kitendo cha uchochezi cha waziri mwenye itikadi kali na za kibaguzi wa baraza la mawaziri la utawala haramu wa Israel katika kuuvunjia heshima Msikiti wa al-Aqsa hakijakabiliwa na hatua yoyote ya maana kutoka kwa Umoja wa Ulaya.

  • Kampuni kubwa ya mafuta ya Marekani yaushtaki Umoja wa Ulaya; kuongezeka hitilafu kati ya pande mbili.

    Kampuni kubwa ya mafuta ya Marekani yaushtaki Umoja wa Ulaya; kuongezeka hitilafu kati ya pande mbili.

    Dec 30, 2022 05:26

    Kampuni kubwa ya mafuta ya Marekani Exxon, ikiwa ni moja ya wauzaji wakubwa wa mafuta katika bara Ulaya, imushtaki Umoja wa Ulaya kwa kuyatoza makampuni ya mafuta ushuru mpya unaojulikana kama "kodi ya malipo kwa mapatano yanayopatikana bila kutoa jasho."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS