-
EU: Diplomasia ichukue nafasi ya mashinikizo ya kiwango cha juu
Feb 05, 2021 08:18Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema 'diplomasia ya kiwango cha juu' inapaswa kuchukua nafasi ya 'mashinikizo ya kiwango cha juu.'
-
EU na US kufanya mkutano wa kujaribu kuinusuru JCPOA
Jan 29, 2021 04:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amesema mazungumzo baina ya nchi za Ulaya na Marekani kuhusu kurejea Washington katika makubaliano ya nyuklia ya Iran yataanza hivi karibuni.
-
Wasi wasi wa viongozi wa Ankara kuhusu kuharibika uhusiano wa Uturuki na Umoja wa Ulaya
Jan 24, 2021 22:59Licha ya kuongezeka kila siku hitilafu baina ya Uturuki na Umoja wa Ulaya lakini bado viongozi wa Ankara wanafuatilia juhudi za kupewa uanachama katika umoja huo.
-
Ulaya yazidi kulemewa na janga la maambukizi ya corona, hatua kali zashadidishwa
Jan 24, 2021 04:48Serikali za Ulaya zimeshadidisha hatua kali na vizuizi mbalimbali ili kukabiliana na kuenea maambukizi ya corona barani humo.
-
EU yaitaka serikali ya Biden isipoteze muda, iokoe JCPOA
Jan 21, 2021 01:01Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ameutaka utawala ujao nchini Marekani wa Joe Biden uokoe muda kwa kujiunga upya na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, badala ya kutaka kufanyike mazungumzo mapya juu ya mapatano hayo ya kimataifa.
-
Mwangwi wa kubwagwa Trump, wapinzani wa Venezuela wapata pigo jipya
Jan 08, 2021 03:34Baada ya Donald Trump kubwagwa katika uchaguzi wa rais wa Novemba 3, 2020 huko Marekani, sasa wafuasi, mashabiki na vibaraka wake wa nje, nao wameanza kuonja makali ya kuwa vibaraka wa Marekani.
-
Zarif: Nchi za Ulaya zimekiuka wajibu wao katika JCPOA
Dec 22, 2020 00:09Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema data za miamala ya kibiashara baina ya nchi hii na Ulaya kati ya mwaka 2014 na 2019 zinaonesha wazi kuwa nchi tatu za Ulaya washiriki wa mapatano ya nyuklia ya JCPOA zilikiuka wajibu wao wa kisheria.
-
Kupaswisha azimio dhidi ya Iran katika Bunge la Ulaya
Dec 18, 2020 03:11Wabunge wa Umoja wa Ulaya jana Alkhamisi walipasisha azimio linaloituhumu Iran kuwa inakiuka haki za binadamu
-
Madai ya kukaririwa ya Ulaya kuunga mkono JCPOA; nara tupu zisizofungamana na vitendo
Dec 03, 2020 20:45Licha ya kuwa baada ya kujitoa marekani katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia maarufu kama JCPOA, nchi za Ulaya zimekuwa na utendaji hasi na dhaifu katika kulinda na kutekeleza ahadi zao kuhusu mapatano hayo, lakini zingali zinadai kwamba zinaendelea kuyalinda.
-
Umoja wa Ulaya walaani mauaji ya mwanasayansi wa nyuklia wa Iran
Nov 28, 2020 08:14Umoja wa Ulaya umelaani mauaji ya kigaidi yaliyofanywa dhidi ya mwanasayansi wa nyuklia na masuala ya kiulinzi wa Iran na kusema kuwa huo ni uhalifu unaokinzana na msingi wa kuheshimiwa haki za binadamu.