-
Kukosolewa madola ya Magharibi kwa kufanya njama za kuzusha machafuko Russia na Belarus
Nov 27, 2020 23:55Sergey Lavrov, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Russia ameyatuhumu madola ya Magharibi mwamba, yanaingilia masuala ya ndani ya Russia na Belarus na kuyalaumu pia kwa kutekeleza vikwazo vya upande mmoja na kuwachochea wananchi wa mataifa hayo ili waanzishe vurugu na machafuko.
-
Umoja wa Ulaya wapinga ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi huko Palestina
Nov 16, 2020 07:35Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ametoa taarifa akipinga vikali ujenzi wa vitongoji vipya vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina zilizobandikwa jina la Israel.
-
Sisitizo la Putin la kumuunga mkono Lukashenko mkabala na vikwazo vipya vya nchi za Magharibi
Nov 06, 2020 03:17Maandamano makubwa yaliyofanyika hivi karibuni nchini Belarus kufuatia uchaguzi uliomrejesha tena madarakani Rais Alexander Lukashenko, kilikuwa kisingizio kizuri kwa nchi za Magharibi kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo na kuanza kutekeleza vikwazo na siasa za uhasama dhidi ya serikali yake.
-
Uingereza yasema iko tayari kujitoa Umoja wa Ulaya bila kufikia makubaliano
Oct 18, 2020 11:16Waziri wa Uingereza anayesimamia mchakato wa nchi hiyo kujitoa Umoja wa Ulaya unaojulikana kama BREXIT ametangaza kuwa nchi yake iko tayari kujitoa katika umoja huo bila kufikiwa mwafaka kamili.
-
EU yaikosoa Israel kwa kuendelea kupora ardhi za Wapalestina
Oct 16, 2020 04:12Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amekosoa uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuendeleza ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Wapalestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya Rusia na Belarus
Oct 14, 2020 03:00Ikiwa ni muendelezo wa uingiliaji wa nchi za Magharibi wa masuala ya ndani ya mataifa mengine, sasa hivi Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Umoja wa Ulaya wamekubaliana kutekeleza kivitendo vikwazo dhidi ya Russia na Belarus.
-
Borell akiri udharura wa Iran kunufaika na mkataba wa JCPOA
Oct 09, 2020 03:43Licha ya kuwa Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya ambayo inajumuisha nchi za Ujerumani, Ufaransa na Uingereza zilikuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama JCPOA, lakini baada ya Marekani kujitoa katika mapatano hayo, pande hizo zimekuwa na utendaji mbaya usioweza kutetewa kutokana na kuwa zimeshindwa kuyalinda na pia kutotekeleza ahadi zao, na hasa kuhusu kutofanikisha mfumo wa mabadilishano ya kifedha na kibiashara unaojulikana kama Instex.
-
EU yaishurutisha Palestina kulipa kodi kwa Israel ili iendelee kuisaidia kifedha
Oct 08, 2020 10:35Umoja wa Ulaya umesema utaipatia Palestina msaada wa fedha kwa sharti la kulipa kodi kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hatua za kisheria za Umoja wa Ulaya dhidi ya Uingereza kuhusu Brexit
Oct 03, 2020 01:10Kadhia ya Brexit, yaani mchakato wa Uingereza kujiondoa katika Umoja wa Ulaya, ni changamoto kubwa zaidi ya nchi hiyo baada ya Vita Vikuu vya Pili vya Dunia. Pamoja na kuwa kumeshatiwa saini mapatano baina ya Uingereza na Umoja wa Ulaya lakini serikali ya chama cha kihafidhina yaani Conservative ya Waziri Mkuu Boris Johnson haijakubali baadhi ya vipengee vya mapatano hayo na imepitisha muswada wa kutaka vifanyiwe marekebisho.
-
Madai ya Ulaya kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Iran; hayana uhalali wowote wa kisheria
Sep 29, 2020 08:49Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje katika Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran imeyataja madai yasiyo na msingi ya nchi za Ulaya kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Iran kuwa hayana uhalali wowote wa kisheria.