-
Taarifa ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran; mwendelezo wa misimamo ya kindumakuwili kuhusu haki za binadamu
Sep 26, 2020 06:50Nchi za Magharibi zimekariri tena madai yao ya ukiukwaji wa haki za binadamu nchini Iran wakati idadi kubwa ya nchi hizo, kama Ufaransa na Uingereza, zimewekwa kwenye orodha ya wakiukaji wa haki hizo za binadamu.
-
Kupasishwa muswada wa kuitia mkono Brexit katika Bunge la Uingereza na kiza kinene mbele ya uhusiano wa London na Brussels
Sep 16, 2020 08:20Hatua ya Uingereza kujitoa katika Umoja wa Ulaya maarufu kwa jina la Brexit na sasa kuzusha mambo mapya, kunazidi kuingiza utata utekelezaji wa jambo hilo siku baada ya siku. Hivi sasa London imezusha mzozo mpya juu ya utekelezaji wa Brexit na kusababisha mgogoro mkubwa baina yake na Umoja wa Ulaya.
-
EU yatahadharisha: Kuna hatari kubwa ya kutokea vita na mapigano mashariki ya Mediterania
Sep 15, 2020 22:08Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametahadharisha kuwa, kuna hatari kubwa ya kutokea vita na mapigano katika eneo la mashariki ya Mediterania.
-
Onyo la Johnson kwa Umoja wa Ulaya kuhusu hatari ya kutoweka umoja wa Uingereza
Sep 14, 2020 01:45Suala la kujitoa Uingereza katika Umoja wa Ulaya ambalo lilianza kutekelezwa tarehe 31 Januari 2020 limekumbwa na malalamiko mengi katika maeneo yanayopigania kujitenga na nchi hiyo ya Ulaya yakiwemo ya Scotland na Ireland Kaskazini.
-
Mchakato wa kuwapokonya silaha waasi wa FRPI huko DRC wakwama
Sep 12, 2020 21:53Wakazi wa mkoa wa Ituri, kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wameendelea kuwa na wasiwasi na hali inayojiri katika mkoa huo, baada ya kukwama kwa mchakato wa kuwarejesha waasi wa FRPI katika maisha ya kiraia.
-
Suu Kyi apokonywa tuzo nyingine ya kifakhari, mara hii na Bunge la EU
Sep 11, 2020 00:14Bunge la Umoja wa Ulaya limefuta jina la Aung San Suu Kyi, kiongozi wa chama tawala nchini Myanmar ambaye pia ni Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo katika orodha ya tuzo ya kifakhari ya taasisi hiyo ya kutunga sheria ya Ulaya.
-
Indhari ya Umoja wa Ulaya kwa Serbia na Kosovo kuhusu kuhamishia na kufungua balozi zao Quds
Sep 08, 2020 06:36Moja ya hatua zilizochukuliwa na Rais Donald Trump wa Marekani katika kutoa huduma kwa utawala wa Kizayuni wa Israel ni kuutambua mji wa Baytul-Muqaddas kama mji mkuu wa utawala huo ghasibu na kuhamishia ubalozi wake katika mji huo Mei mwaka 2018, hatua ambayo ilikabiliwa na upinzani wa walimwengu.
-
Tahadhari ya Josep Borrell kwa Uturuki na kushadidi mivutano baina ya EU na Ankara
Sep 07, 2020 22:04Kushadidi hitilafu baina ya Ugiriki na Uturuki juu ya suala la kutafuta mafuta na gesi katika Bahari ya Aegean ambako kumeziweka nchi hizo mbili katika ncha ya kutumbukia kwenye vita, kumefuatiwa na ukosoaji wa Umoja wa Ulaya ambao umetoa tahadahri kali kwa serikali ya Uturuki.
-
Madai ya kupewa sumu Navalny, kisingizio kipya cha Magharibi kwa ajili ya kuishinikiza Russia
Sep 04, 2020 02:52Umoja wa Ulaya na Marekani zimekuwa zikiishinikiza Russia kupitia njia ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo kwa kuwaunga mkono wapinzani wa serikali ya Moscow na kutumia madai ya kutetea haki za binadamu.
-
Josep Borell ataka kuchukuliwa hatua za pamoja kimataifa kukabiliana na corona
Sep 01, 2020 08:01Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa kuna udharura wa kuchukuliwa hatua za pamoja kimataifa kwa ajili ya kupambana na virusi vya corona na kuzisaidia jamii zilizoathirika khususan nchi zinazoendelea na maeneo yaliyokumbwa na vita.