-
Ethiopia yahamakishwa na EU kuiwekea vizuizi katika upokeaji wa viza
May 10, 2024 07:23Ethiopia imeeleza kughadhabishwa na hatua ya Baraza la Umoja wa Ulaya ya kuwawekea raia wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika vikwazo na vizingiti katika upokeaji wa viza.
-
Borrell: EU na Jamii ya Kimataifa zinapaswa kuzuia uvamizi na mashambulio ya Israel Rafah
May 07, 2024 06:36Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya amesema, amri iliyotolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuwataka wakazi wa mashariki ya Rafah kusini mwa Ukanda wa Ghaza wahame katika eneo hilo haikubaliki.
-
Borrell: Marekani imepoteza nafasi yake katika Nidhamu ya Dunia ya pande kadhaa
May 06, 2024 02:32Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Josep Borrell amesema, Marekani imepoteza nafasi yake katika Nidhamu ya Dunia ya pande kadhaa.
-
Bunge la EU ladhihirisha tena unafiki wa Magharibi kwa kulaani shambulio la kujibu mapigo la Iran dhidi ya Israel
Apr 26, 2024 11:07Bunge la Ulaya limedhihirisha tena sera za undumilakuwili za Magharibi kwa kupitisha azimio la kulaani shambulio la hivi karibuni la kujibu mapigo lililofanywa na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel na kuzitolea wito nchi wanachama za umoja huo ziiwekee Tehran vikwazo vingine vipya na vikali zaidi.
-
Kuiwekea vikwazo sekta ya ulinzi ya Iran, zawadi mpya iliyotunukiwa Israel na Magharibi
Apr 25, 2024 02:35Katika hatua uliyochukua ili kuufurahisha utawala wa Kizayuni wa Israel, Umoja wa Ulaya umetangaza kuwa utapanua wigo wa vikwazo ulivyoiwekea sekta ya ulinzi ya Iran.
-
Onyo jipya kuhusu kuingia NATO katika vita vya Ukraine
Apr 23, 2024 04:25Viktor Orbán, Waziri Mkuu wa Hungary amesema katika taarifa kwamba viongozi wa Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Kujihami ya Kijeshi ya Magharibi (NATO) wanauchukulia mzozo wa Moscow na Kyiv kuwa ni wao na wala hawazingatii hatari ya kujihusisha na mzozo huo. Ameonya kuwa NATO inakaribia kutuma askari wake huko Ukraine.
-
Moscow: EU imekiri kuwa inahudumia ubeberu wa Marekani
Mar 27, 2024 02:07Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema matamshi ya karibuni ya Josep Borrell, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ni ungamo la Magharibi kwamba inajihusisha na mgogoro wa Ukraine ili kuisaidia Marekani kudumisha nafasi yake ya ubeberu duniani.
-
Viongozi wa EU waionya Israel dhidi ya kuishambulia Rafah
Mar 22, 2024 10:57Viongozi wa Umoja wa Ulaya wameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ufute mpango wake wa kuuvamia na kuushambulia kijeshi kupitia ardhini mji wa Rafah ulioko kusini ya Ukanda wa Gaza.
-
Borrell: Gaza limegeuka kaburi kubwa zaidi la wazi duniani
Mar 19, 2024 03:29Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya huku akieleza wasiwasi mkubwa alionao kuhusu mgogoro wa kibinadamu katika Ukanda wa Gaza amesema kuwa, eneo hilo la Wapalestina lililozingirwa limegeuka na kuwa kaburi kubwa zaidi la wazi duniani.
-
Borrell: Israel inafanya mauaji ya halaiki dhidi ya watu wa Gaza
Mar 16, 2024 02:23Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ambaye katika siku za hivi karibuni ameutuhumu utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa unatumia "njaa kama silaha" katika vita vya Gaza, ameonya kuwa utawala huo unawaua watu wa Gaza kwa umati.