Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Umoja wa Ulaya: Tutayalinda mapatano ya nyuklia ya Iran licha ya Marekani kujitoa + Video

    Umoja wa Ulaya: Tutayalinda mapatano ya nyuklia ya Iran licha ya Marekani kujitoa + Video

    May 28, 2018 10:58

    Mkuu wa Sera za Kigeni za Umoja wa Ulaya amesema kuwa umoja huo umeazimia kikweli kweli kuyalinda mapatano ya nyuklia yaliyofikiwa mwaka 2015 baina ya Iran na kundi la 5+1, licha ya Marekani kujitoa katika mapatano hayo ya kimataifa.

  • Kiongozi Muadhamu: Ikiwa Ulaya itazembea,  lran ina haki ya kuanzisha shughuli zake za nyuklia

    Kiongozi Muadhamu: Ikiwa Ulaya itazembea, lran ina haki ya kuanzisha shughuli zake za nyuklia

    May 24, 2018 00:21

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria uadui wa msingi, wa kina na endelevu wa Marekani dhidi ya mfumo wa Kiislamu na taifa la Iran na kusisitiza kwamba bila shaka Iran itaishinda tu Marekani iwapo viongozi wa Iran watatekeleza vilivyo majukumu yao.

  • Radiamali ya Ulaya kuhusiana na stratijia mpya ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    Radiamali ya Ulaya kuhusiana na stratijia mpya ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran

    May 23, 2018 23:38

    Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya ametoa radiamali yake kupitia tovuti rasmi ya umoja huo kufuatia stratijia mpya iliyotangazwa na Mike Pompeo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani dhidi ya Iran, akitangaza kufungamana kikimilifu EU na makubaliano ya nyuklia ya Iran maaruku kwa jina la JCPOA.

  • Kansela wa Ujerumani Merkel apoteza matumaini kuhusu Marekani

    Kansela wa Ujerumani Merkel apoteza matumaini kuhusu Marekani

    May 11, 2018 03:44

    Kansela Angela Merkel wa Ujerumani kwa mara nyingine amesema nchi za Ulaya haziwezi kuendelea kuitegemea Marekani katika masuala ya kijeshi na kujihami. Merkel amewataka waitifaki wa Ujerumani barani Ulaya wachukue hatima ya bara hilo mikononi mwao kwani Marekani haiwezi kutegemewa tena.

  • EU yapinga hatua ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran

    EU yapinga hatua ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran

    May 09, 2018 21:57

    Umoja wa Ulaya (EU) umebainisha masikitiko yake kuhusu uamuzi wa Rais Donald wa Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji , JCPOA, na kusisitiza kuhusu kuendelea kutekelezwa na kufungamana kikamilifu na mapatano hayo.

  • Rais Frank-Walter Steinmeier: Ujerumani tunaunga mkono makubaliano ya JCPOA

    Rais Frank-Walter Steinmeier: Ujerumani tunaunga mkono makubaliano ya JCPOA

    May 07, 2018 02:27

    Rais Frank-Walter Steinmeier wa Ujerumani amesisitiza kuwa, nchi yakke inaunga mkono makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na Iran na pia udharura wa kubakishwa makubaliano hayo.

  • Ukosoaji wa rais wa Romania kwa uamuzi wa kuhamishiwa ubalozi wa nchi hiyo Quds Tukufu

    Ukosoaji wa rais wa Romania kwa uamuzi wa kuhamishiwa ubalozi wa nchi hiyo Quds Tukufu

    May 06, 2018 22:26

    Rais Klaus Iohannis wa Romania amekosoa vikali uamuzi wa serikali ya nchi hiyo wa kuhamisha ubalozi wake kutoka Tel Aviv, kwenda mji wa Quds (Jerusalem) na kuitaja hatua hiyo kuwa ni kosa kubwa.

  • Azma ya kimataifa kwa ajili ya kulinda mapatano ya JCPOA

    Azma ya kimataifa kwa ajili ya kulinda mapatano ya JCPOA

    Apr 26, 2018 08:41

    Huku tarehe 12 Mei ikiwa inakaribia, ambayo ni tarehe ya mwisho iliyoainishwa na Rais Donald Trump wa Marekani kwa ajili ya kufanyiwa marekebisho makubaliano ya nyuklia kati ya Iran na nchi sita kubwa za dunia yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA, radiamali na harakati za serikali na viongozi wa kundi la 5+1 kwa ajili ya kulinda mapatano hayo zimeongezeka.

  • Umoja wa Ulaya waitaka Israel ikomeshe unyama wake dhidi ya Wapalestina

    Umoja wa Ulaya waitaka Israel ikomeshe unyama wake dhidi ya Wapalestina

    Apr 21, 2018 23:18

    Umoja wa Ulaya umeutaka utawala ghasibu wa Israel ukomeshe vitendo vyake vya utumiaji mabavu dhidi ya Wapalestina.

  • Indhari ya Ufaransa juu ya kutokea vita vya ndani barani Ulaya

    Indhari ya Ufaransa juu ya kutokea vita vya ndani barani Ulaya

    Apr 19, 2018 21:09

    Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amehutubia bunge la Ulaya na kutoa indhari juu ya kutokea vita vya ndani barani humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS