Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Mogherini asisitiza kuhusu kulindwa mapatano ya nyuklia ya Iran huku undumakuwili wa EU ukiendelea

    Mogherini asisitiza kuhusu kulindwa mapatano ya nyuklia ya Iran huku undumakuwili wa EU ukiendelea

    Apr 17, 2018 03:48

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesistiza kuhusu kulindwa mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA.

  • Iran yajibu ripoti ya uongo ya nchi nne za Kiarabu dhidi yake

    Iran yajibu ripoti ya uongo ya nchi nne za Kiarabu dhidi yake

    Apr 13, 2018 03:18

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Bahram Qassemi amekosoa ripoti ya pamoja ya nchi nne za Kiarabu iliyotolewa mbele ya Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, Ahmed Aboul-Gheit na kusema ni ya uongo na isiyo na ithibati yoyote.

  • EU yataka kukomeshwa mzingiro wa Ghaza

    EU yataka kukomeshwa mzingiro wa Ghaza

    Mar 31, 2018 23:42

    Mkuu wa Siasa za Nje wa Umoja wa Ulaya ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ukomeshe mara moja kuzikalia kwa mabavu ardhi za Palestina na pia uache kuuzingira Ukanda wa Ghaza.

  • Jibu madhubuti la Russia kwa hatua ya nchi za Umoja wa Ulaya

    Jibu madhubuti la Russia kwa hatua ya nchi za Umoja wa Ulaya

    Mar 31, 2018 10:14

    Serikali ya Russia ilitangaza jana Ijumaa kuwa itawafukuza wanadiplomasia 59 wa nchi 23 tofauti walioko nchini humo. Uamuzi huo wa Moscow umechukuliwa kujibu hatua ya nchi hizo ya kuwafukuza kwa mpigo wanadiplomasia wa Russia. Katika jibu na radiamali yake kwa hatua ya kufukuzwa wanadiplomasia wake, serikali ya Moscow imechukua uamuzi wa kuwafukuza wanadiplomasia 41 wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya.

  • EU yabainisha wasiwasi wake kuhusu hali ya kibinadamu nchini Kongo

    EU yabainisha wasiwasi wake kuhusu hali ya kibinadamu nchini Kongo

    Mar 25, 2018 23:53

    Umoja wa Ulaya umeeleza wasiwasi wake kuhusu kuzidi kuwa mbaya hali ya kibinadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

  • Msimamo wa viongozi wa EU dhidi ya Russia; kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Uingereza

    Msimamo wa viongozi wa EU dhidi ya Russia; kufuata mdundo wa ngoma inayopigwa na Uingereza

    Mar 24, 2018 02:43

    Viongozi wa nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya wameamua katika kikao chao walichofanya kwenye makao makuu ya umoja huo yaliyoko mjini Brussels kuchukua msimamo mmoja wa kuiunga mkono Uingereza dhidi ya Russia.

  • Iran haifanyi mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Iran haifanyi mazungumzo tena kuhusu mapatano ya nyuklia ya JCPOA

    Mar 16, 2018 03:20

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesisitiza kuwa katu haitakubali kufanyika mazungumzo mapya kuhusu mapatano ya nyuklia baina yake na mdola sita makubwa duniani.

  • Mbunge wa UK: EU imefanya duru 14 za mazungumzo ya siri na Korea Kaskazini

    Mbunge wa UK: EU imefanya duru 14 za mazungumzo ya siri na Korea Kaskazini

    Mar 15, 2018 03:16

    Mbunge wa chama cha Wahafidhina cha Uingereza katika bunge la Umoja wa Ulaya amesema mazungumzo ya siri yaliyofanywa katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita na ujumbe wa wabunge wa bunge la EU na maafisa wa Korea Kaskazini ndiyo yaliyoifanya nchi hiyo ishawishike kuachana na shughuli zake za nyuklia.

  • Iran: Hatufanyi mazungumzo na EU kuhusu kuimarika ushawishi wetu M/Kati

    Iran: Hatufanyi mazungumzo na EU kuhusu kuimarika ushawishi wetu M/Kati

    Mar 04, 2018 00:02

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekadhibisha ripoti zilizodai kuwa Tehran na nchi kadhaa za Umoja wa Ulaya EU zimeanza kufanya mazungumzo kuhusu nafasi ya taifa hili katika eneo la Mashariki ya Kati.

  • EU: Vitongoji vyote vya walowezi wa Kiyahudi ni haramu

    EU: Vitongoji vyote vya walowezi wa Kiyahudi ni haramu

    Feb 27, 2018 10:44

    Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema vitongoji vyote vya walowezi wa Kiyahudi katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu ni haramu na vizingiti vya kupatikana amani Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS