-
Ahadi za misaada ya Ulaya kwa bara la Afrika
Feb 24, 2018 08:51Mkutano wa Kimataifa wa kulisaidia eneo la Sahel barani Afrika umefanyika huko Brussels mji mkuu wa Ubelgiji ukihudhuriwa na wakuu wa zaidi ya nchi 30 za Ulaya na Kiafrika kwa kusomwa ujumbe wa Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa.
-
EU, HRW na Amnesty zaitaka Bahrain imuachie huru mwanaharakati aliyeikosoa Saudia
Feb 23, 2018 04:05Umoja wa Ulaya umeitaka serikali ya Bahrain imuachie huru Nabeel Rajab, mwanaharakati mashuhuri wa masuala ya haki za binadamu nchini humo, ambaye siku ya Jumatano alihukumiwa kifungo cha miaka mitano jela kwa kile kilichoelezwa kwamba, ni kupatikana na hatia ya uchochezi na kutoa jumbe za kukosoa utawala wa nchi hiyo na utawala wa Aal-Saud nchini Saudi Arabia.
-
Hofu ya kumiminika magaidi Ulaya yaishajiisha EU izidi kuisaidia kifedha Afrika kupambana na ugaidi
Feb 22, 2018 10:56Umoja wa Ulaya (EU) umetangaza kuwa utazidisha kiwango cha ushiriki wake kifedha katika kupambana na ugaidi kwenye eneo la Sahel barani Afrika kutokana na hofu ya kurejea magaidi barani Ulaya.
-
Israel yabomoa shule za EU huko Palestina inyaokaliwa kwa mabavu
Feb 09, 2018 11:00Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa, Wapalestina na Mabedui wanaoishi katika kitongoji cha Area C katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina wapo katika hatari ya kufurushwa kwenye makazi yao na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
IAEA na EU zatetea tena makubaliano ya nyuklia ya JCPOA
Feb 09, 2018 00:00Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) na Umoja wa Ulaya (EU) zimetetea tena makubaliano ya nyuklia ya JCPOA baina ya Iran na nchi za kundi la 5+1.
-
Sisitizo la Umoja wa Ulaya la kupatiwa suluhisho mgogoro wa Mashariki ya Kati
Feb 01, 2018 07:50Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya Federica Mogherini amesema suluhisho la kuundwa nchi mbili kwa ajili ya mgogoro wa Mashariki ya Kati halina chaguo jengine mbadala la kisiasa lenye itibari na la kudumu.
-
Boroujerdi: Hizbullah imechangia pakubwa kusambaratishwa ISIS
Jan 26, 2018 04:17Mkuu wa Kamisheni ya Usalama wa Taifa na Siasa za Nje ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetoa mchango mkubwa sana katika jitihada za kuangamizwa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS).
-
Sisitizo kwa Umoja wa Ulaya la kujitoa katika makucha ya Marekani
Jan 26, 2018 00:29Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel, amesema mbele ya Baraza la Kimataifa la Uchumi mjini Davos Uswisi kwamba nchi za Ulaya zinapaswa kubadilisha siasa zao za kuitegemea Marekani katika masuala ya ndani na nje ya bara hilo.
-
Mogherini: Umoja wa Ulaya utaendelea kuheshimu maafikiano ya nyuklia ya JCPOA
Jan 11, 2018 12:56Mkuu wa Siasa za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa, umoja huo umeamua kuheshimu maafikiano ya nyuklia ya JCPOA.
-
EU kufanya mkutano wa dharura wa wafadhili wa Palestina
Jan 11, 2018 04:21Umoja wa Ulaya na Norway zinatazamiwa kufanya kikao cha dharura cha nchi wafadhili wa Palestina karibuni hivi, baada ya Marekani kutishia kuikatia misaada taasisi ya Umoja wa Mataifa inayoshuughulikia wakimbizi wa Kipalestina.