Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • EU: Uchaguzi wa Kenya ulizungukwa na ufisadi na vitisho

    EU: Uchaguzi wa Kenya ulizungukwa na ufisadi na vitisho

    Jan 10, 2018 12:43

    Mkuu wa timu ya waangalizi wa Umoja wa Ulaya katika uchaguzi mkuu wa mwezi Agosti na Oktoba mwaka uliomalizika 2017 nchini Kenya amesema kampeni zilizotangulia zoezi hilo ziligubikwa na rushwa, utumiaji wa mali za umma na vitisho.

  • Watu 15,000 wanakuwa wakimbizi kila siku barani Afrika

    Watu 15,000 wanakuwa wakimbizi kila siku barani Afrika

    Jan 07, 2018 00:26

    Taasisi moja ya barani Ulaya inayoshughulikia masuala ya wakimbizi imetangaza kuwa, katika kipindi cha kuanzia mwezi Januari hadi Juni mwaka jana 2017, kila siku watu 15,000 walikuwa wakikimbia makazi yao barani Afrika.

  • Erdogan: Uturuki imechoka kusubiri kujumuishwa EU

    Erdogan: Uturuki imechoka kusubiri kujumuishwa EU

    Jan 06, 2018 04:13

    Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amesema Waturuki wamechoka kusubiri kujua iwapo nchi yao itajumuishwa kuwa mwanachama wa Umoja wa Ulaya au la.

  • Umoja wa Ulaya wakosoa ukandamizaji wa serikali ya Congo DR dhidi ya wapinzani

    Umoja wa Ulaya wakosoa ukandamizaji wa serikali ya Congo DR dhidi ya wapinzani

    Jan 03, 2018 23:43

    Umoja wa Ulaya umewatuhumu maafisa wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kuwa wanakabiliana kwa mabavu na matakwa ya wananchi wanaosisitiza udharura wa kuondoka madarakani rais wa sasa wa nchi hiyo.

  • EU: Tumeandaa mpango maalumu wa kuwaondoa wahajiri 15 elfu nchini Libya

    EU: Tumeandaa mpango maalumu wa kuwaondoa wahajiri 15 elfu nchini Libya

    Dec 15, 2017 00:48

    Mkuu wa Siasa za Kigeni za Umoja wa Ulaya amesema kuwa umoja huo umeandaa mpango maalumu wa kuwaondoa wahajiri 15 wa Kiafrika kutoka katika ardhi ya Libya.

  • Amnesty yasema EU inashiriki katika kuteswa wahajiri Libya

    Amnesty yasema EU inashiriki katika kuteswa wahajiri Libya

    Dec 12, 2017 04:45

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limezituhumu nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya kuwa zinashiriki katika kuteswa, kukandamizwa na kudhalilishwa wahajiri wanaozuiliwa nchini Libya.

  • Radiamali ya Umoja wa Ulaya kuhusu hatua ya Trump dhidi ya Quds Tukufu

    Radiamali ya Umoja wa Ulaya kuhusu hatua ya Trump dhidi ya Quds Tukufu

    Dec 08, 2017 01:18

    Federica Mogherini, Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amelaani hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kutambua rasmi mji wa Beitul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala haramu wa Israel na kuongeza kuwa hatua hiyo ya upande mmoja bila shaka itavuruga utulivu wa ulimwengu na juhudi zote zilizofanywa kwa ajili ya kutatua mzozo wa Palestina.

  • Azma ya Ulaya na Afrika ya kukabiliana na mgogoro wa wahajiri

    Azma ya Ulaya na Afrika ya kukabiliana na mgogoro wa wahajiri

    Dec 02, 2017 08:59

    Viongozi wa Ulaya na Afrika wametoa taarifa ya pamoja katika Mkutano wa Tano wa Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya huko Ivory Coast kuhusu mgogoro wa wahajiri barani Afrika na kusistiza udharura wa kupatiwa suluhisho la msingi suala hilo ikiwa ni pamoja na kupatikana ufumbuzi wa kisiasa wa mgogoro uliopo hivi sasa huko Libya.

  • AU na EU zataka kutatuliwa mgogoro wa wahajiri wa Kiafrika

    AU na EU zataka kutatuliwa mgogoro wa wahajiri wa Kiafrika

    Dec 02, 2017 05:00

    Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya zimetilia mkazo udharura wa kutafutwa ufumbuzi wa kimsingi wa hali mbaya ya wakimbizi na wahajiri wa Kiafrika.

  • EU: Hali ya Sheikh Issa Qassim wa Bahrain inatutia wasiwasi

    EU: Hali ya Sheikh Issa Qassim wa Bahrain inatutia wasiwasi

    Dec 02, 2017 00:42

    Umoja wa Ulaya umeelezea wasiwasi wake kutokana na hali mbaya ya kiafya Ayatullah Sheikh Issa Qassim, mwanachuoni mkubwa wa Bahrain aliyezingirwa kila upande na askari wa utawala wa Aal Khalifa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS