Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Umoja wa Ulaya

  • Bunge la EU lataka Saudia iwekewe vikwazo vya silaha

    Bunge la EU lataka Saudia iwekewe vikwazo vya silaha

    Dec 01, 2017 04:21

    Wabunge wa Umoja wa Ulaya wamepiga kura kwa kishindo kuunga mkono azimio linalotaka EU iiwekee vikwazo vya silaha Saudi Arabia, inayoongoza katika mauaji na hujuma za kijeshi dhidi ya Yemen.

  • Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya nchini Ivory Coast

    Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya nchini Ivory Coast

    Nov 30, 2017 08:10

    Kikao cha tano cha Umoja wa Afrika (AU) na Umoja wa Ulaya (EU) kilianza hapo jana na kuendelea hadi leo katika mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan.

  • Kikao cha tano cha pamoja cha AU na EU chafanyika nchini Ivory Coast

    Kikao cha tano cha pamoja cha AU na EU chafanyika nchini Ivory Coast

    Nov 30, 2017 04:38

    Kikao cha tano cha pamoja cha Umoja wa Afrika na Umoja wa Ulaya kilianza rasmi hapo jana katika mji mkuu wa Ivory Coast, Abidjan.

  • Umoja wa Ulaya walalamikia jinai za Israel

    Umoja wa Ulaya walalamikia jinai za Israel

    Nov 27, 2017 12:03

    Umoja wa Ulaya umeutaka utawala ghasibu wa Kizayuni ukomeshe kuvunja nyumba za Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • EU yaipa Uingereza siku 10 kuamua kuhusu kujitoa katika umoja huo

    EU yaipa Uingereza siku 10 kuamua kuhusu kujitoa katika umoja huo

    Nov 25, 2017 00:51

    Donald Tusk, mkuu wa Baraza la Umoja wa Ulaya ameipa Uingereza muda wa siku 10 kuhakikisha kunapatikana maendeleo ya kuridhisha katika mjadala wa kujitoa nchi hiyo kwenye Umoja wa Ulaya.

  • Mogherini aunga mkono makubaliano ya Bangladesh na Myanmar ya kurejea Waislamu Warohingya

    Mogherini aunga mkono makubaliano ya Bangladesh na Myanmar ya kurejea Waislamu Warohingya

    Nov 24, 2017 03:42

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa umoja huo unaunga mkono makubaliano yaliyofikiwa kati ya Bangladesh na Myanmar ya kurejea nyumbani wakimbizi wa Kiislamu wa jamii ya Rohingya.

  • AU: Ulaya unahusika katika matatizo yanayolikumba bara la Afrika

    AU: Ulaya unahusika katika matatizo yanayolikumba bara la Afrika

    Nov 24, 2017 00:49

    Mwenyekiti wa hivi sasa wa Umoja wa Afrika, Rais Alpha Condé wa Guinea Conakry amesema kuwa, Umoja wa Ulaya unahusika katika sehemu ya matatizo yanayolikabili bara la Afrika.

  • EU: Hakuna uwezekano wa kujadiliwa upya makubaliano ya nyuklia ya Iran

    EU: Hakuna uwezekano wa kujadiliwa upya makubaliano ya nyuklia ya Iran

    Nov 21, 2017 10:48

    Afisa mwandamizi wa taasisi moja ya Umoja wa Ulaya amesema hakuna uwezekano wala mpango wowote wa kuyadili upya makubaliano ya nyuklia ya Iran.

  • Nchi kadhaa za Ulaya zakubali kupokea wakimbizi

    Nchi kadhaa za Ulaya zakubali kupokea wakimbizi

    Nov 18, 2017 03:30

    Nchi kadhaa za Umoja wa Ulaya zimeafiki kupokea wakimbizi wapya baada ya tahadhari iliyotolewa na Umoja wa Mataifa.

  • UN: Kitendo cha EU kuisaidia Libya kuwazuilia wakimbizi sio cha kibinadamu

    UN: Kitendo cha EU kuisaidia Libya kuwazuilia wakimbizi sio cha kibinadamu

    Nov 15, 2017 03:53

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema sera ya Umoja wa Ulaya ya kuwasaidia maafisa wa serikali ya Libya kuwazuilia wakimbizi wanaotaka kwenda Ulaya kupitia safari hatari za baharini ni kitendo kisicho cha ubinadamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS