-
Utoshelevu wa chakula; Afrika yatakiwa iongeze bajeti kwenye kilimo
May 21, 2025 05:54Serikali za nchi za Afrika zimehimizwa kuongeza uwekezaji katika sekta ya kilimo ili kuimarisha usalama wa chakula na kufungua mustakbali wa maendeleo endelevu ya kiuchumi.
-
Shirika la kimataifa la usalama wa chakula: Sudan inahitaji hatua za haraka kukabiliana na njaa
Mar 30, 2024 07:21Shirika la usalama wa chakula duniani linaloungwa mkono na Umoja wa Mataifa (IPC) lilionya jana Ijumaa kuhusu haja ya kuchukuliwa hatua za haraka "kuzuia kushamiri vifo, kuporomoka kabisa kwa njia za kujipatia riziki na kuepusha janga la njaa nchini Sudan."
-
FAO: Nchi 33 za Afrika zinahitaji msaada wa chakula kutoka nje
Mar 16, 2024 07:20Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limesema katika ripoti yake mpya kwamba, nchi 45 duniani, zikiwemo 33 za Afrika zinahitaji msaada wa dharura wa chakula kutoka nje.
-
Bei ya mchele duniani imeongezeka, hofu yatanda
Aug 13, 2023 02:46Bei ya mchele imefikia viwango vyake vya juu zaidi kuwahi kushuhudiwa katika takriban kipindi miaka 15 iliyopita huku kukiwa na wasiwasi juu ya ugavi wa kimataifa wa bidhaa hiyo baada ya muuzaji mkuu, India, kuweka vizingiti katika uuzaji nje zao hilo muhimu. Hali mbaya ya hewa katika eneo la Kusini-Mashariki mwa Asia imeathiri zaidi uzalishaji mpunga.
-
Waingereza wafakamia chakula cha mifugo kutokana na kupanda gharama za maisha
Dec 03, 2022 02:20Mgogoro wa gharama kubwa za maisha nchini Uingereza umekuwa sababu ya Waingereza katika baadhi ya miji kula chakula cha wanyama wa kufuga majumbani.
-
Marekani yaongoza orodha ya nchi zinazofanya israfu ya chakula duniani
Nov 15, 2022 07:07Umoja wa Mataifa umesema jamii ya kimataifa haijachukua hatua za maana za kukomesha utupaji wa chakula majaani, huku Marekani, Australia na New Zealand zikiongoza orodha ya nchi zinazofanya israfu kubwa ya chakula duniani.
-
Wakenya waipongeza serikali kwa kupunguza bei ya unga wa ugali
Jul 19, 2022 12:31Wakenya wamefurahia hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi. Baadhi ya Wakenya wamejitokeza kwenye mitandao ya kijamii kushukuru hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi.
-
UN: Watu bilioni 2.3 walikumbwa na uhaba wa chakula 2021
Jul 07, 2022 07:52Taasisi za Umoja wa Mataifa zimeonya kuwa, kupanda kwa bei za chakula, fueli na mbolea kote duniani kulikosababishwa na vita vya Ukraine kunaiweka dunia katika hatari ya kutumbukia kwenye mgogoro mkubwa wa chakula na baa la njaa.
-
Mkuu wa Benki ya Maendeleo Afrika: Vita vya Ukraine vinaweza kusababisha mgogoro wa chakula Afrika
Mar 30, 2022 03:00Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AFDB) ambayo ni mkopeshaji mkubwa barani humo anafanya kila awezalo kuzuia bara la Afrika lisikabiliwa na mgogoro wa chakula kutokana na athari mbaya za vita vya Rusia na Ukraine.
-
Bei ya chakula duniani imepanda kwa kiwango cha kutisha
Oct 08, 2021 00:42Shirika la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) limesema bei ya chakula duniani imepanda kwa kiwango ambacho hakijawahi kushuhudiwa katika kipindi cha muongo mmoja uliopita.