Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

utawala wa Aal Khalifa

  • Utawala wa Aal Khalifa waendelea kuwakamata vijana wa Bahrain

    Utawala wa Aal Khalifa waendelea kuwakamata vijana wa Bahrain

    Jun 15, 2023 11:47

    Utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain unaendelea kuwakamata kiholela vijana wa kiume na kike wa nchi hiyo katika maeneo tofauti ya nchi kwa sababu za kisiasa.

  • Mfalme wa Bahrain amuuzulu waziri wake kwa kukataa kumpa mkono balozi wa Israel

    Mfalme wa Bahrain amuuzulu waziri wake kwa kukataa kumpa mkono balozi wa Israel

    Jul 24, 2022 02:22

    Mfalme wa Bahrain amemuuzulu waziri mwanamke wa nchi hiyo kwa kukataa kumpa mkono balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa mjini Manama na kwa kupinga hatua ya kuanzisha ya uhusiano wa kawaida na utawala huo haramu.

  • Uungaji mkono wa wanazuoni wa Bahrain kwa mpango wa Sheikh Isa Qassim; umoja wa wapinzani wa utawala wa Aal Khalifa

    Uungaji mkono wa wanazuoni wa Bahrain kwa mpango wa Sheikh Isa Qassim; umoja wa wapinzani wa utawala wa Aal Khalifa

    Jul 07, 2022 02:22

    Kwa kuunga mkono taarifa iliyotolewa na Sheikh Isa Qassim, kiongozi wa kidini, dhidi ya utawala wa Aal Khalifa, wanazuoni wa Bahrain wamesisitiza udharura wa kuwepo umoja miongoni mwa wapinzani wa utawala wa kidikteta wa nchi hiyo.

  • Safari ya Waziri Mkuu wa Israel Bahrain katika siku ya kumbukumbu ya mwamko wa Februari 14

    Safari ya Waziri Mkuu wa Israel Bahrain katika siku ya kumbukumbu ya mwamko wa Februari 14

    Feb 16, 2022 11:04

    Naftali Bennett Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel hivi karibuni amefanya safari huko Bahrain kwa mwaliko rasmi wa Mfalme Hamad bin Isa wa nchi hiyo, ikiwa ni katika kumbukumbu ya mwaka wa 11 wa mwamko wa watu wa nchi hiyo dhidi ya utawala wa kidikteta wa Aal Khalifa.

  • Al-Wifaq: Wananchi wa Bahrain wataendelea kudai haki zao kwa njia ya amani

    Al-Wifaq: Wananchi wa Bahrain wataendelea kudai haki zao kwa njia ya amani

    Jan 13, 2022 11:41

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Mwafaka wa Kiislamu na Kitaifa nchini Bahrain (Al Wifaq) amesema kuwa, wananchi wa nchi hiyo wataendelea kudai haki zao kwa njia ya amani na kwamba, katu hawatasalimu amri katika njia hiyo.

  • Utawala wa Aal Khalifa umewatesa na kuwasotesha jela mamia ya watoto Bahrain

    Utawala wa Aal Khalifa umewatesa na kuwasotesha jela mamia ya watoto Bahrain

    Sep 28, 2021 02:26

    Vyombo vya habari vimefichua kuwa utawala wa Aal Khalifa umetesa mamia ya watoto nchini Bahrain ili kuwalazimisha wakiri makosa katika jela za utawala huo wa kiimla.

  • Wabahrain waandamana wakipinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

    Wabahrain waandamana wakipinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na Israel

    Sep 12, 2021 07:44

    Wananchi wa Bahrain wameendelea kupinga hatua ya nchi yao ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel unaotenda jinai kila uchao dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Kupiga marufuku utawala wa Bahrain maombolezo ya Imam Hussein (a.s); mwendelezo wa kunyanyaswa Waislamu wa Kishia

    Kupiga marufuku utawala wa Bahrain maombolezo ya Imam Hussein (a.s); mwendelezo wa kunyanyaswa Waislamu wa Kishia

    Aug 18, 2021 02:42

    Kama ilivyokuwa katika miaka iliyopita, mwaka huu pia utawala wa kifamilia wa Aal Khalifa nchini Bahrain umepiga marufuku kufanya shughuli zozote zile za Waislamu wa madhehebu ya Kishia za maombolezo ya Muharram na kumbukumbu ya kifo cha Imam Hussein (a.s).

  • Al Wifaq: Utawala wa Aal Khalifa ni wa kizamani

    Al Wifaq: Utawala wa Aal Khalifa ni wa kizamani

    Jun 24, 2021 03:37

    Jumuiya ya Kiislamu ya Bahrain ya al Wifaq imesisitiza juu ya ulazima wa kutekelezwa marekebisho makubwa na mapana nchini humo na kueleza kuwa utendaji uliopitwa na wakati wa utawala wa Aal Khalifa hauwiani na mazingira ya sasa.

  • Utawala wa Al Khalifa Bahrain unatumia mbinu ya utesaji kuzima mgomo wa wafungwa wanaosusia kula

    Utawala wa Al Khalifa Bahrain unatumia mbinu ya utesaji kuzima mgomo wa wafungwa wanaosusia kula

    May 02, 2021 12:04

    Vikosi vya usalama vya utawala wa Aal Khalifa vimepanga kutumia nguvu na utesaji dhidi ya wafungwa Wabahrain sambamba na kuwapiga na kuwatusi ili kuzima mgomo wa kususia kula ulioanzishwa na wafungwa hao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS