Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

utawala wa Aal Saud

  • Hizbullah: Kuvunjiwa heshima Quds ni matunda ya mchezo wa kudansi na upanga wa Trump na Salman

    Hizbullah: Kuvunjiwa heshima Quds ni matunda ya mchezo wa kudansi na upanga wa Trump na Salman

    Jan 06, 2018 13:19

    Mjumbe wa Baraza Kuu la Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Nabil Qaouk amezitaja siasa za Saudia kuwa za maafa na kuongeza kuwa, kitendo cha kuvunjiwa heshima mji wa Quds na msikiti wake kinatokana na mchezo wa kudansi na upanga wa Rais Donald Trump wa Marekani na Mfalme Salman bin Abdulaziz Al Saud wa Saudia.

  • Mwanamfalme: Haki za binadamu zinakanyagwa sana Saudia

    Mwanamfalme: Haki za binadamu zinakanyagwa sana Saudia

    Nov 08, 2017 11:53

    Khalid bin Farhan Al Saud, Mwanamfalme ambaye amejitenga na utawala wa Aal-Saud, amesema kuwa kabla ya kuomba hifadhi ya kisiasa nchini Ujerumani, kwa muda mrefu alikuwa akiishi kwa wasiwasi na mashaka mengi nchini Saudia.

  • Harakati ya Septemba 15 yautia kiwewe utawala wa Aal Saud; wamwomba Mufti wake aitolee fatua

    Harakati ya Septemba 15 yautia kiwewe utawala wa Aal Saud; wamwomba Mufti wake aitolee fatua

    Sep 15, 2017 03:26

    Utawala wa Aal Saud nchini Saudi Arabia umekimbilia kwa Mufti Mkuu wa nchi hiyo katika hatua ya kuzuia maandamano ya amani ya upinzani yaliyoitishwa na Harakati ya Septemba 15 kufanyika nchini humo hii leo.

  • Muungano wa Februari 14: Mahakama za Saudia hazina tofauti na utendaji wa Daesh

    Muungano wa Februari 14: Mahakama za Saudia hazina tofauti na utendaji wa Daesh

    Aug 12, 2017 23:25

    Muungano wa Februari 14 nchini Bahrain umelaani hukumu za kidhalimu zinazotolewa na mahakama za utawala wa Saudia dhidi ya wasomi wa kidini na kutangaza kuwa, hazina tofauti yoyote na mahakama za kundi la kigaidi la Daesh.

  • Israel: Wakati wa kuwekwa wazi mahusiano yetu na Saudia, umewadia

    Israel: Wakati wa kuwekwa wazi mahusiano yetu na Saudia, umewadia

    Jul 25, 2017 03:47

    Gazeti la utawala haramu wa Israel limezungumzia mahusiano yaliyopo baina ya Israel na Saudi Arabia na kuandika kuwa sasa umewadia wakati wa kutangazwa wazi mahusiano ya pande mbili hizo.

  • Kuongezeka changamoto za Saudia Arabia kutokana na siasa zake mbovu

    Kuongezeka changamoto za Saudia Arabia kutokana na siasa zake mbovu

    Jun 28, 2017 23:40

    Habari zinaeleza kuongezeka kwa changamoto zinazoikabili Saudi Arabia kutokana na siasa mbovu na za kichokozi zinazotekelezwa na watawala wa nchi hiyo katika eneo.

  • Mohsen Rezaee: Ni miaka 40 sasa ambapo Aal-Saud wanaendesha njama chafu dhidi ya Iran

    Mohsen Rezaee: Ni miaka 40 sasa ambapo Aal-Saud wanaendesha njama chafu dhidi ya Iran

    Jun 15, 2017 00:07

    Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran, Mohsen Rezaee amesema kuwa, watawala wa Aal-Saud nchini Saudia walidhihirisha uadui na chuki yao dhidi ya raia wa taifa la Iran tangu miaka 40 iliyopita na kwamba, kila mara kumekuwa kukifichuliwa njama zao chafu dhidi ya taifa hili.

  • Utumiaji wa dini kwa malengo ya kisiasa, sura ya pamoja ya utawala wa Aal Saud na Israel

    Utumiaji wa dini kwa malengo ya kisiasa, sura ya pamoja ya utawala wa Aal Saud na Israel

    Jun 13, 2017 03:26

    Moja kati ya mambo yanayozikutanisha pamoja tawala za Aal Saudi huko Saudi Arabia na ule wa Kizayuni wa Israel ni kutumia dini, ibada na maeneo ya kidini kwa ajili ya kufikia malengo ya kisiasa.

  • Ansarullah Yemen: Saudia inataka kuwa polisi wa Marekani katika Mashariki ya Kati

    Ansarullah Yemen: Saudia inataka kuwa polisi wa Marekani katika Mashariki ya Kati

    Jun 07, 2017 21:56

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kuwa, utawala wa Aal Saud wa Saudi Arabia umekuwa ukifanya kila uwezalo ili uwe polisi ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati na uwe ukizichukulia maamuzi tawala zote za Kiarabu.

  • Kushadidi ukandamizaji na utumiaji mabavu wa utawala wa Aal Saud nchini Saudi Arabia

    Kushadidi ukandamizaji na utumiaji mabavu wa utawala wa Aal Saud nchini Saudi Arabia

    Jun 04, 2017 03:01

    Ripoti kutoka Saudi Arabia zinaonyesha juu ya kuanza duru mpya ya mashambulio na hujuma za utawala wa Aal Saud dhidi ya wananchi wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS