Jun 15, 2017 04:37
Katibu wa Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran, Mohsen Rezaee amesema kuwa, watawala wa Aal-Saud nchini Saudia walidhihirisha uadui na chuki yao dhidi ya raia wa taifa la Iran tangu miaka 40 iliyopita na kwamba, kila mara kumekuwa kukifichuliwa njama zao chafu dhidi ya taifa hili.