Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

utawala wa Aal Saud

  • Kuendelea mauaji dhidi ya Waislamu wa Kishia nchini Saudi Arabia

    Kuendelea mauaji dhidi ya Waislamu wa Kishia nchini Saudi Arabia

    May 19, 2017 03:08

    Vyombo vya habari vimeripoti habari ya kuuawa kijana mmoja nchini Saudi Arabia kufuatia hujuma ya jeshi la utawala wa Aal Saud katika kijiji cha al-Awamiyah mashariki mwa nchi hiyo.

  • Askari wa Saudia waendeleza ukandamizaji katika maeneo ya Waislamu wa Shia, mashariki mwa nchi

    Askari wa Saudia waendeleza ukandamizaji katika maeneo ya Waislamu wa Shia, mashariki mwa nchi

    May 12, 2017 22:03

    Askari wa utawala wa Saudia wameendeleza ukandamizaji na jinai mbalimbali katika eneo la Al-Awamia, mashariki mwa nchi, ikiwa ni pamoja na kuyatia moto makazi ya raia na kushadidisha mzingiro katika eneo hilo.

  • UN yaionya Saudia dhidi ya kushambulia kwa mabomu bandari ya Yemen

    UN yaionya Saudia dhidi ya kushambulia kwa mabomu bandari ya Yemen

    Apr 20, 2017 09:43

    Umoja wa Mataifa umeutaka muungano wa kijeshi wa Saudi Arabia usishambulie kwa mabomu bandari ya kistaratejia ya Yemen.

  • Yemen: Tumeorodhesha jinai zote za Saudia ili kuziwasilisha mahakama za kimataifa

    Yemen: Tumeorodhesha jinai zote za Saudia ili kuziwasilisha mahakama za kimataifa

    Apr 14, 2017 21:59

    Mwendesha mashtaka mkuu nchini Yemen amesema kuwa, jinai za Aal Saud inazozifanya nchini humo kupitia mashambulizi yake ya kila upande, zimeorodheshwa kwa ajili ya kuwasilishwa katika mahakama za kimataifa.

  • Kugharamika kijeshi Aal Saud na kubebeshwa raia mzigo wa kubana gharama za kiuchumi

    Kugharamika kijeshi Aal Saud na kubebeshwa raia mzigo wa kubana gharama za kiuchumi

    Nov 10, 2016 03:36

    Saudi Arabia inaendelea kutumia gharama kubwa za fedha kwa ajili ya sera za kijeshi huku ikiamua kutekeleza sera ya kubana matumizi kiuchumi katika sekta za ujenzi na ushughulikiaji hali za maisha ya raia.

  • Wanaharakati wa haki za binadamu waandamana Ubelgiji dhidi ya Aal Saud

    Wanaharakati wa haki za binadamu waandamana Ubelgiji dhidi ya Aal Saud

    Oct 31, 2016 00:55

    Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wameandamana mbelel ya ubalozi wa Saudi Arabia huko Brussels mji mkuu wa Ubelgiji kulalamikia na kupinga jinai za utawala wa Aal Saud.

  • Qazi-Askari aukosoa Umoja wa Mataifa kwa kunyamazia jinai za Saudia

    Qazi-Askari aukosoa Umoja wa Mataifa kwa kunyamazia jinai za Saudia

    Sep 23, 2016 04:47

    Mwakilishi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika masuala ya Hija ameukosoa vikali Umoja wa Mataifa kutokana na kufumbia kwake macho jinai za utawala wa Saudi Arabia.

  • Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mnasaba wa Hija; ukumbusho wa jinai za Aal Saud

    Ujumbe wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa mnasaba wa Hija; ukumbusho wa jinai za Aal Saud

    Sep 06, 2016 02:14

    Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu jana Jumatatu alituma ujumbe maalumu kwa mnasaba wa ibada adhimu ya Hija na kueleza kwamba msimu wa Hija kwa Waislamu ni msimu wa kujivunia na wa adhama mbele ya macho ya viumbe; na ni msimu wa kunawirisha nyoyo na kudhihirisha khushuu na unyenyekevu mbele ya Muumba.

  • Sheikh Nabil Qaouk: Saudi Arabia haina ubavu wa kukabiliana na Hizbullah

    Sheikh Nabil Qaouk: Saudi Arabia haina ubavu wa kukabiliana na Hizbullah

    Aug 08, 2016 23:58

    Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Hizbullah ya Lebanon kwa mara nyingine tena amekosoa vikali siasa za kuharibu mambo za utawala wa Saudi Arabia katika Mashariki ya Kati.

  • Ayatullah Kashani: Marekani, Saudia na Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi

    Ayatullah Kashani: Marekani, Saudia na Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi

    Jul 15, 2016 11:37

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa hapa Tehran amesema kuwa Marekani, Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel ni waungaji mkono wakubwa wa ugaidi duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS