-
Utawala wa Saudia wamkamata mwanazuoni mkubwa wa Kishia
Jul 12, 2016 12:32Saudi Arabia imemkamata mwanazuoni mkubwa wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo, huku utawala huo wa kifalme ukiendelea kubana harakati za kidini za raia wa maeneo ya mashariki yenye utajiri mkubwa wa mafuta.
-
Baraza la Kimataifa la Ahlul Bayt (as): Hatua ya Aal Saud ni ya kufuru
May 31, 2016 11:05Baraza la Kimataifa la Ahlul Bayt (as) limetoa taarifa na kutangaza kuwa utawala wa Aal Saud umefanya kitendo cha kufuru kuwazuia mahujaji wa Kiirani wasifanye safari ya kwenda kutekeleza ibada ya Hija.
-
Shamkhani: Aal Saudi wamewazuia Wairani kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu
May 30, 2016 23:48Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ukoo wa Aal Saud ndio uliowazuia Wairani wasitekeleze amali za Hija yenye izza na heshima.
-
Kongamano la kupinga utawala wa Aal Saudi lafanyika nchini Syria
May 17, 2016 03:22Shakhsia kadhaa wa kidini na kisiasa kutoka nchi kadhaa za eneo la Mashariki ya Kati wameshiriki kongamano la kuchunguza jinai za utawala wa Aal Saudi lililofanyika katika mji mkuu wa Syria Damascus.
-
Saudi Arabia yaendelea kutenda jinai dhidi ya wananchi wa Yemen
Apr 02, 2016 00:10ndege za kijeshi za Saudi Arabia cimeendelea kufanya mashambulio katika maeneo mbalimbali ya Yemen.
-
Sisitizo la jamii ya kimataifa la kuwekewa Saudi Arabia vikwazo vya silaha
Feb 29, 2016 22:05Kutokana na kushtadi ukatili na unyama wa Saudi Arabia dhidi ya wananchi wa Yemen taasisi mbalimbali za kimataifa na shaksia wakubwa wametaka vikwazo vya silaha vipitishwe mara moja dhidi ya utawala wenye kupenda vita wa familia ya Aal Saud.