Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Bennett aonya juu ya kusambaratika kwa ndani Israeli na kukaririwa historia ya kuporomoka serikali ya Kiyahudi

    Bennett aonya juu ya kusambaratika kwa ndani Israeli na kukaririwa historia ya kuporomoka serikali ya Kiyahudi

    Jun 05, 2022 23:25

    Waziri Mkuu wa Israel ameonya juu ya kusambaratika kwa ndani utawala huo wa kibaguzi na kujirudia historia ya kuporomoka utawala wa Kiyahudi.

  • Naftali Bennett akiri: Israel inakaribia kusambaratika

    Naftali Bennett akiri: Israel inakaribia kusambaratika

    Jun 04, 2022 07:06

    Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Naftali Bennett, ameashiria fujo na mchafukoge unaoshuhudiwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kukiri kuwa Israel inakaribia zaidi kusambaratika.

  • Baqeri: Wazayuni wanaweza kuwaza ndotoni tu kuishambulia kijeshi Iran

    Baqeri: Wazayuni wanaweza kuwaza ndotoni tu kuishambulia kijeshi Iran

    Jun 03, 2022 23:38

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema: Wazayuni wanaweza kuwaza ndotoni tu kuishambulia kijeshi Iran; na wakati wowote ule watakapoota ndoto hiyo hawataweza katu kuamka tena.

  • Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu, jamii ya kimataifa kimya!

    Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu, jamii ya kimataifa kimya!

    Jun 03, 2022 06:12

    Licha ya kwamba taasisi mbalimbali za kimataifa zimetoa tangazo rasmi la kusisitiza kuwa Wazayuni hawahusiki kivyovyote vile na maeneo matakatifu ya Wapalestina ukiwemo Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu, lakini kila leo Wazayuni hao wanauvamia Msikiti huo na jamii ya kimataifa imekaa kimya ikiangalia kwa macho tu.

  • Palestina: Si msikiti wa Al Aqsa pekee Palestina unaovamiwa na kuvunjiwa heshima na Wazayuni

    Palestina: Si msikiti wa Al Aqsa pekee Palestina unaovamiwa na kuvunjiwa heshima na Wazayuni

    Jun 01, 2022 03:37

    Wizara ya Waqfu ya Palestina imetangaza kuwa, mbali na Al Aqsa, kuna misikiti mingine mingi Palestina katika Ufukwe wa Magharibi inayovamiwa na kuvunjiwa heshima na wazayuni.

  • Hamas: Mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni yanaendelea hadi mwisho

    Hamas: Mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni yanaendelea hadi mwisho

    May 31, 2022 03:04

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel yataendelea hadi wavamizi hao wa ardhi za Palestina na za Waislamu watakapotimuliwa kikamilifu katika ardhi hizo.

  • Israel: Tumo mbioni kufanikisha mpango wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Saudia

    Israel: Tumo mbioni kufanikisha mpango wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Saudia

    May 31, 2022 03:02

    Waziri wa mambo ya nje wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa Tel Aviv inaendeleza mashauriano na Marekani na nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi juu ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na Saudi Arabia.

  • Iran yalaani vikali kuvunjiwa heshima Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    Iran yalaani vikali kuvunjiwa heshima Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa

    May 30, 2022 00:09

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhurii ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali hatua ya Wazayuni ya kuuvunjia heshima msikiti mtakatifu wa al-Aqswa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Khatibu wa Msikiti nwa al-Aqswa:

    Khatibu wa Msikiti nwa al-Aqswa: "Maandamano ya Bendera" katu hayataingia Masjidul-Aqswa

    May 28, 2022 22:55

    Khatibu wa Masjidul-Aqswa amesema kuwa, uamuzi wa Wazayuni wa kufanya "Maandamano ya Bendera" ni hatua ya kichochezi na amesisitiza juu ya udharura wa kuchukuliwa hatua ya kuwazuia Wazayuni hao kuingia katika msikiti matakatifu wa al-Aqswa.

  • HAMAS:

    HAMAS: "Maandamano ya Bendera" yasipoghairishwa yamkini tukatoa jibu kwa kombora

    May 28, 2022 03:25

    Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, "ikiwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel hautaacha uvamizi wake dhidi ya msikiti wa Al Aqsa na hautaghairisha maandamano ya bendera, katika hali hiyo tutafikisha ujumbe wetu kwa kombora."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS