-
Bennett aonya juu ya kusambaratika kwa ndani Israeli na kukaririwa historia ya kuporomoka serikali ya Kiyahudi
Jun 05, 2022 23:25Waziri Mkuu wa Israel ameonya juu ya kusambaratika kwa ndani utawala huo wa kibaguzi na kujirudia historia ya kuporomoka utawala wa Kiyahudi.
-
Naftali Bennett akiri: Israel inakaribia kusambaratika
Jun 04, 2022 07:06Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Naftali Bennett, ameashiria fujo na mchafukoge unaoshuhudiwa Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kukiri kuwa Israel inakaribia zaidi kusambaratika.
-
Baqeri: Wazayuni wanaweza kuwaza ndotoni tu kuishambulia kijeshi Iran
Jun 03, 2022 23:38Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema: Wazayuni wanaweza kuwaza ndotoni tu kuishambulia kijeshi Iran; na wakati wowote ule watakapoota ndoto hiyo hawataweza katu kuamka tena.
-
Wazayuni wakivamia tena Kibla cha Kwanza cha Waislamu, jamii ya kimataifa kimya!
Jun 03, 2022 06:12Licha ya kwamba taasisi mbalimbali za kimataifa zimetoa tangazo rasmi la kusisitiza kuwa Wazayuni hawahusiki kivyovyote vile na maeneo matakatifu ya Wapalestina ukiwemo Msikiti wa al Aqsa ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu, lakini kila leo Wazayuni hao wanauvamia Msikiti huo na jamii ya kimataifa imekaa kimya ikiangalia kwa macho tu.
-
Palestina: Si msikiti wa Al Aqsa pekee Palestina unaovamiwa na kuvunjiwa heshima na Wazayuni
Jun 01, 2022 03:37Wizara ya Waqfu ya Palestina imetangaza kuwa, mbali na Al Aqsa, kuna misikiti mingine mingi Palestina katika Ufukwe wa Magharibi inayovamiwa na kuvunjiwa heshima na wazayuni.
-
Hamas: Mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni yanaendelea hadi mwisho
May 31, 2022 03:04Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, mapambano dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel yataendelea hadi wavamizi hao wa ardhi za Palestina na za Waislamu watakapotimuliwa kikamilifu katika ardhi hizo.
-
Israel: Tumo mbioni kufanikisha mpango wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Saudia
May 31, 2022 03:02Waziri wa mambo ya nje wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwa Tel Aviv inaendeleza mashauriano na Marekani na nchi za Kiarabu za Ghuba ya Uajemi juu ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na Saudi Arabia.
-
Iran yalaani vikali kuvunjiwa heshima Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa
May 30, 2022 00:09Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni wa Jamhurii ya Kiislamu ya Iran amelaani vikali hatua ya Wazayuni ya kuuvunjia heshima msikiti mtakatifu wa al-Aqswa ambao ni kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
Khatibu wa Msikiti nwa al-Aqswa: "Maandamano ya Bendera" katu hayataingia Masjidul-Aqswa
May 28, 2022 22:55Khatibu wa Masjidul-Aqswa amesema kuwa, uamuzi wa Wazayuni wa kufanya "Maandamano ya Bendera" ni hatua ya kichochezi na amesisitiza juu ya udharura wa kuchukuliwa hatua ya kuwazuia Wazayuni hao kuingia katika msikiti matakatifu wa al-Aqswa.
-
HAMAS: "Maandamano ya Bendera" yasipoghairishwa yamkini tukatoa jibu kwa kombora
May 28, 2022 03:25Kiongozi mmoja mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema, "ikiwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel hautaacha uvamizi wake dhidi ya msikiti wa Al Aqsa na hautaghairisha maandamano ya bendera, katika hali hiyo tutafikisha ujumbe wetu kwa kombora."