Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Hamas: Israel imeshambulia tena Ghaza ili kunyanyua mori wa wanajeshi wake

    Hamas: Israel imeshambulia tena Ghaza ili kunyanyua mori wa wanajeshi wake

    Jun 18, 2021 08:01

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema kuwa, shambulio la jana la ndege za utawala wa Kizayuni dhidi ya kambi za muqawama katika Ukanda wa Ghaza ni chokochoko mpya za Israel zilizolenga kunyanyua mori wa wanajeshi wake waliopata kipigo katika mapigano ya hivi karibuni ya siku 12 ya Ukanda wa Ghaza maarufu kwa jina la vita vya "Upanga wa Quds."

  • Jihad Islami yaonya kuhusu hatua ya kichochezi ya Wazayuni ya 'Maandamano ya Bendera'

    Jihad Islami yaonya kuhusu hatua ya kichochezi ya Wazayuni ya 'Maandamano ya Bendera'

    Jun 14, 2021 08:36

    Harakati ya Jihad Islami ya kupigania ukombozi wa Palestina imesema mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kuandaa 'maandamano ya bendera' ni hatari na wa kichochezi.

  • Kifungo cha miaka 10 jela kinamsubiri Benjamin Netanyahu

    Kifungo cha miaka 10 jela kinamsubiri Benjamin Netanyahu

    Jun 13, 2021 02:33

    Wakili wa Katiba ya utawala wa Kizayuni kutoka kituo cha uchunguzi wa demokrasia cha utawala huo amesema kuwa, waziri mkuu wa Israel, Benjamin Netnyahu lazima atapandishwa kizimbani baada ya kung'olewa madarakani na kwa uchache basi hawezi kukwepa kifungo cha miaka 10 jela kwa makosa yake ya ufisadi.

  • HAMAS: Umma wa Kiislamu unapaswa kuungana kukomesha ugaidi wa Israel + Video

    HAMAS: Umma wa Kiislamu unapaswa kuungana kukomesha ugaidi wa Israel + Video

    Jun 10, 2021 02:22

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Umma wa Kiislamu una jukumu la kuungana na kuwa kitu kimoja kama unataka kweli kukikomboa Kibla chao cha Kwanza yaani Msikiti wa al Aqsa na kukomesha jinai na ugaidi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mwakilishi wa Hamas nchini Iran: Utawala wa Kizayuni hauaminiki kwa ahadi yoyote

    Mwakilishi wa Hamas nchini Iran: Utawala wa Kizayuni hauaminiki kwa ahadi yoyote

    Jun 09, 2021 21:58

    Mwakilishi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) nchini Iran amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni si wa kuaminiwa kwa ahadi yoyote lakini katika vita vya siku 12 utawala huo umelazimika kukubali masharti ya wanamapambano wa Palestina.

  • Hamas yaonya kuhusu hujuma yoyote ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Msikiti wa al Aqsa

    Hamas yaonya kuhusu hujuma yoyote ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Msikiti wa al Aqsa

    Jun 06, 2021 21:59

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) katika Ukanda wa Ghaza ametoa tamko baada ya kubainika kuwa Wazayuni wanapanga kufanya shambulio jingine dhidi ya Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds ambao ni Kibla cha Kwanza cha Waislamu.

  • Algeria yapinga tena kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni

    Algeria yapinga tena kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni

    Jun 03, 2021 03:41

    Rais wa Algeria jana usiku kwa mara nyingine amesisitiza kuwa, nchi yake abadan haitaanzisha uhusiano na utawala ghasibu wa Israel.

  • Misri yauonya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu Ukanda wa Ghaza

    Misri yauonya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu Ukanda wa Ghaza

    May 31, 2021 02:52

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri, usiku wa kuamkia leo ameuonya utawala wa Kizayuni wa Israel kuhusu hatari za kuvunja makubaliano ya kusimamisha vita ya Ghaza.

  • Ripoti ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN kuhusu jinai za Israel katika vita vya Gaza

    Ripoti ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa UN kuhusu jinai za Israel katika vita vya Gaza

    May 28, 2021 22:32

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Alkhamisi wiki hii alitoa ripoti yake kuhusu vita vya siku 12 vya Israel na mashambulizi ya kikatili ya utawala huo dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • Leo Wapalestina wanafanya maandamano makubwa ya kupinga Uzayuni

    Leo Wapalestina wanafanya maandamano makubwa ya kupinga Uzayuni

    May 27, 2021 22:11

    Vijana wa Palestina wametangaza kuwa, leo Ijumaa watafanya maandamano makubwa katika kona zote za Palestina, maandamano ambayo yatapewa jina la "Mapambazuko."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS