Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Kikao kisicho na tija cha Baraza la Usalama kuhusu Quds sanjari na ukwamishaji mambo wa Marekani

    Kikao kisicho na tija cha Baraza la Usalama kuhusu Quds sanjari na ukwamishaji mambo wa Marekani

    May 11, 2021 09:47

    Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusiana na hali ya mambo huko Quds Palestina kilifanyika Jumatatu ya jana tarehe 10 Mei na kumalizika bila ya natija yoyote.

  • Profesa wa Chuo Kikuu China: Iran ni moja ya nchi chache duniani zinazothubutu kuiambia Marekani

    Profesa wa Chuo Kikuu China: Iran ni moja ya nchi chache duniani zinazothubutu kuiambia Marekani "hapana"

    May 07, 2021 10:59

    Mhadhiri wa chuo kikuu nchini China amesema, umoja na irada ya mataifa mawili ya China na Iran ya kusimama imara kukabiliana na uchu wa Marekani na utawala wa Kizayuni ni ya kupigiwa mfano.

  • Amir-Abdollahian: Chokochoko za utawala wa Kizayuni lazima zitajibiwa

    Amir-Abdollahian: Chokochoko za utawala wa Kizayuni lazima zitajibiwa

    May 02, 2021 22:46

    Katibu Mkuu wa Mkutano wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina amesisitiza kuwa, chokochoko na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel hazitoachwa vivi hivi bila ya kujibiwa.

  • Ehud Olmert: Kuna uwezekano wa kutokea Intifadha mpya ya Wapalestina

    Ehud Olmert: Kuna uwezekano wa kutokea Intifadha mpya ya Wapalestina

    May 01, 2021 03:30

    Ehud Olmert, Waziri Mkuu wa zamani wa utawala haramu wa Israel ametahadharisha juu ya uwezekano wa kutokea Intifadha mpya ya Wapalestina.

  • Iran: Chokochoko za Wazayuni haziwezi kuachwa zipite vivi hivi bila ya majibu

    Iran: Chokochoko za Wazayuni haziwezi kuachwa zipite vivi hivi bila ya majibu

    Apr 29, 2021 22:46

    Katibu Mkuu wa Mkutano wa Kimataifa wa Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina amesisitiza kuwa, chokochoko za Wazayuni haziwezi kuachwa zipite vivi hivi bila ya majibu.

  • Kukingia kifua Marekani jinai za Israel dhidi ya binadamu na ubaguzi aina ya 'Apartheid'

    Kukingia kifua Marekani jinai za Israel dhidi ya binadamu na ubaguzi aina ya 'Apartheid'

    Apr 29, 2021 22:41

    Marekani imechukua msimamo wa upande mmoja wa kupinga ripoti ya Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch ambayo inasema, utawala haramu wa Israel unatenda "jinai dhidi ya binadamu na ubaguzi aina ya apartheid na ukandamizaji" dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina.

  • Hamas: Mapambano ndiyo njia pekee ya kukabiliana na Israel

    Hamas: Mapambano ndiyo njia pekee ya kukabiliana na Israel

    Apr 27, 2021 01:41

    Mjumbe wa Idara ya Siasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa kusalimu amri utawala wa Kizayuni wa Israel mbele ya waandamanaji wa Quds inayokaliwa kwa mabavu kumeonyesha kuwa, kusimama kidete na mapambano ndiyo njia pekee ya kukabiliana na utawala huo ghasibu.

  • Makundi ya muqawama ya Palestina: Quds na msikiti wa Al Aqsa ni mstari mwekundu

    Makundi ya muqawama ya Palestina: Quds na msikiti wa Al Aqsa ni mstari mwekundu

    Apr 24, 2021 08:36

    Kitengo cha pamoja cha makundi ya muqawama ya Palestina kimetangaza kuwa, Quds na msikiti wa Al Aqsa ni mstari mwekundu; na uamuzi wa mwisho kuhusu matukufu mawili hayo utaamuliwa na muqawama.

  • Utawala wa Kizayuni waendelea kufanya wizi katika ardhi za Wapalestina

    Utawala wa Kizayuni waendelea kufanya wizi katika ardhi za Wapalestina

    Apr 24, 2021 03:01

    Chombo kimoja cha Palestina kimelalamikia vikali jinai ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuendelea kupora ardhi za Wapalestina hususan katika mji wa Quds Mashariki.

  • Ismail Hania: Quds haitasalimu amri katika vita vya utambulisho mbele ya Wazayuni

    Ismail Hania: Quds haitasalimu amri katika vita vya utambulisho mbele ya Wazayuni

    Apr 23, 2021 07:34

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, Quds haitasalimu amri katika vita vya utambulisho mbele ya utawala haramu wa Israel na siasa zake za ubaguzi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS