Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Televisheni nyingine ya Israel nayo yaifanyia istihzai na kejeli Imarati

    Televisheni nyingine ya Israel nayo yaifanyia istihzai na kejeli Imarati

    Nov 27, 2020 03:22

    Kanali moja ya televisheni ya utawala wa Kizayuni imerusha hewani mchezo wa kuigiza wa vichekesho ambao unaukejeli na kuufanyia istihzai Umoja wa Falme za Kiarabu yaani Imarati.

  • Serikali ya Sudan: Hatukuwa na taarifa kuhusu safari ya ujumbe wa Kizayuni Khartoum

    Serikali ya Sudan: Hatukuwa na taarifa kuhusu safari ya ujumbe wa Kizayuni Khartoum

    Nov 26, 2020 01:19

    Msemaji wa serikali ya Sudan amedai kuwa baraza la mawaziri la nchi hiyo halina taarifa kuhusu safari ya ujumbe wa Kizayuni huko Khartoum mji mkuu wa Sudan.

  • Kambi ya kukabiliana na usaliti wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel yaasisiwa Lebanon

    Kambi ya kukabiliana na usaliti wa kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel yaasisiwa Lebanon

    Nov 22, 2020 08:59

    Shakhsia kadhaa wa Kiislamu, kisiasa na wa vyombo vya habari nchini Lebanon wametangaza kuwa wameanzisha kambi ya kukabiliana na hatua ya kihaini ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Utayari wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina wa kuzungumza na kushirikiana na Israel

    Utayari wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina wa kuzungumza na kushirikiana na Israel

    Nov 20, 2020 23:04

    Mohammad Shtayyeh, Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa mamlaka hiyo uko tayari kuanzisha tena mazungumzo na ushirikiano wa masuala ya usalama na utawala haramu wa Israel.

  • Iran: Utawala wa Kizayuni ujiunge haraka na mkataba wa nyuklia wa NPT

    Iran: Utawala wa Kizayuni ujiunge haraka na mkataba wa nyuklia wa NPT

    Nov 20, 2020 09:08

    Mjumbe na mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika taasisi za kimataifa zenye makao yao mjini Vienna, Austria ameutaka utawala wa Kizayuni wa Israel ujiunge haraka na Mkataba za Kuzuia Uzalishaji na Usambazaji wa Silaha za Nyuklia NPT, tena bila ya masharti yoyote.

  • Madai ya Pompeo dhidi ya harakati ya kuususia utawala wa Israel BDS, na radiamali yake

    Madai ya Pompeo dhidi ya harakati ya kuususia utawala wa Israel BDS, na radiamali yake

    Nov 20, 2020 05:36

    Marekani ambaye ni muungaji mkono mkubwa wa Utawala haramu wa Israel, si tu kwamba imeuhudumia pakubwa utawala huo katika kipindi cha utawala Rais Donald Trump, bali inaendelea kufanya juhudi za kudhoofisha na kuyawekea vikwazo na mashinikizo makundi na harakati ambazo zinaonekana kuwa dhidi ya siasa za ukandamizaji na jinai za utawala huo wa kibaguzi.

  • Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa: Israel ni dola vamizi

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa: Israel ni dola vamizi

    Nov 19, 2020 02:50

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio linaloutaja utawala wa Kizayuni wa Israel kuwa ni dola vamizi na ghasibu.

  • Huduma kubwa ya Trump kwa Wazayuni; kuongezeka mara mbili na nusu ujenzi haramu  wa vitongoji katika kipindi cha miaka minne

    Huduma kubwa ya Trump kwa Wazayuni; kuongezeka mara mbili na nusu ujenzi haramu wa vitongoji katika kipindi cha miaka minne

    Nov 12, 2020 03:56

    Kundi linalojulikana kwa jina la "Amani Sasa" lililoko katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopachikwa jina la Israel limetangaza kuwa, ujenzi haramu wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina katika kipindi cha miaka minne ya urais wa Donald Trump nchini Marekani umeongezeka mara mbili na nusu.

  • Ujenzi haramu wa vitongoji Palestina umeongezeka maradufu katika utawala wa Trump

    Ujenzi haramu wa vitongoji Palestina umeongezeka maradufu katika utawala wa Trump

    Nov 11, 2020 00:43

    Kundi liitwalo "Amani Sasa" lililoko katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu zilizopewa jina la Israel limetangaza kuwa, ujenzi haramu wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni katika ardhi za Palestina katika kipindi cha miaka minne ya urais wa Donald Trump nchini Marekani umeongezeka maradufu.

  • OIC yalaani bomoa bomoa ya nyumba za raia wa Palestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    OIC yalaani bomoa bomoa ya nyumba za raia wa Palestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    Nov 10, 2020 06:16

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa taarifa ikilaani uhalifu unaoendelea kufanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel wa kubomoa nyumba na taasisi za Wapalestina katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS