-
Hamas yalaani hatua ya Wazayuni ya kubomoa vituo vya Wapalestina
Jun 17, 2020 22:22Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kuwa kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kubomoa vituo vya Wapalestina huko Quds inayokaliwa kwa mabavu ni jitihada za utawala huo zinazolenga kubadili utambulisho wa Quds; njama ambazo hazitafikia popote.
-
Algeria: Kutwaliwa eneo la Ukingo wa Magharibi ni mpango batili na wa kiadui
Jun 14, 2020 01:58Serikali ya Algeria imetangaza kuwa, mpango wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kulitwaa eneo la Palestina la Ukingo wa Magharibini batili na wa kiuhasama si kwa taifa la Palestina pekee bali kwa nchi zote za Waislamu.
-
Shamkhani: Kuvunjwa 'masanamu ya kibaguzi' kumewatia kiwewe Wazayuni
Jun 13, 2020 08:06Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema kitendo cha kuvunjwa nembo na masanamu yanayoashiria ubaguzi wa rangi katika nchi za Magharibi zikiongozwa na Marekani kimeutia kiwewe na wahka mkubwa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
OIC yatahadharisha matokeo mabaya ya mpango wa kughusubu eneo la Ukingo wa Magharibi
Jun 11, 2020 07:35Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetahadharisha juu ya matokeo mabaya ya uamuzi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wa kutaka kuzipora na kuzikalia kwa mabavu ardhi zaidi za Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kulaani vikali hatua hiyo.
-
Barua ya Ismail Hania kwa viongozi 40 wa nchi za Kiarabu kwa ajili ya kusambaratisha mpango wa Israel
Jun 10, 2020 03:26Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas) amewatumia barua tofauti wakuu na viongozi wa nchi za Kiarabu na Kiislamu zaidi ya 40 akiwataka kuchukua hatua za harakati kusitisha mpango wa Israel wa kutaka kuyaunganisha baadhi ya maeneo ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Wazayuni wauhujumu Msikiti wa Al Aqsa
Jun 10, 2020 00:24Makumi ya walowezi wa Kizayuni, wakiwa wanapata himaya ya wanajeshi wa utawala wa Israel wameuhujumu Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Quds (Jerusalem).
-
Kubaidishwa khatibu wa Msikiti wa al Aqsa; jinai mpya ya Wazayuni
Jun 06, 2020 07:01Polisi ya utawala wa Kizayuni imetoa amri ya kubaidishwa kwa miezi minne Sheikh Ikrima Sabri Khatibu wa Msikiti wa al Aqsa.
-
Serikali ya Palestina: Mpango wa kutwaa Ukingo wa Magharibi utazusha machafuko yasiyo na kifani
Jun 04, 2020 08:15Serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina imetangaza kuwa, mpango wa utawala haramu wa Israel wa kuyatwaa maeneo zaidi ya Ukingo wa Magharbi wa Mto Jordan utazusha machafuko ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Waziri wa Vita wa Israel atoa amri ya kutekwa ardhi zaidi za Wapalestina, Ukingo wa Magharibi
Jun 02, 2020 07:00Waziri wa Vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel amemtaka mkuu wa majeshi ya utawala huo katili na ghasibu afanyie uchunguzi njia za kutekeleza kivitendo mpango wa kuteka maeneo zaidi ya Wapalestina ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na aongeze utayari wa jeshi la Israel kwa ajili ya kutekeleza mpango huo.
-
Israel yapanga kwa siri na Saudia namna ya kuwatwisha Wapalestina "Muamala wa Karne"
Jun 01, 2020 05:21Gazeti moja la utawala wa Kizayuni limeripoti kuwa, kumefanyika mazungumzo ya siri baina ya viongozi wa Israel na Saudi Arabia kuhusu kupewa Wasaudia usimamiaji wa maeneo matukufu ya mji wa Baytul Muqaddas kama sehemu ya utekelezaji wa mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne na kukabiliana na ushawishi wa Uturuki.