-
Hamas yatoa radiamali kwa uchaguzi wa utawala wa Kizayuni
Sep 18, 2019 20:54Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kuwa kufanyika uchaguzi wa bunge la Israel hakutaleta mabadiliko yoyote katika mwenendo wa muqawama wa Wapalestina.
-
Mgombea urais nchini Tunisia apinga uhusiano wa aina yoyote na Israel
Sep 17, 2019 07:51Watumiaji wa mitandao ya kijamii nchini Tunisia, wameeneza video ya mgombea urais katika uchaguzi wa sasa nchini humo ambaye ameelezea kupinga kuboreshwa uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Wazayuni watishia kuushambulia Ukanda wa Ghaza kabla ya uchaguzi wa bunge
Sep 15, 2019 22:08Waziri wa Usalama wa Ndani wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameitishia kuwa eneo la Ghaza litashambuliwa kabla ya kufanyika uchaguzi wa bunge la utawala huo siku ya Jumanne.
-
Wabunge Uingereza: Boris Johnson atoe jibu kali kwa ahadi za kivamizi za Netanyahu
Sep 14, 2019 22:05Jumla ya wabunge 108 nchini Uingereza wamemwandikia barua Boris Johnson, Waziri Mkuu wa nchi hiyo wakiitaka serikali yake itoe jibu kali kwa kauli aliyotoa Waziri Mkuu wa Utawala Haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu ya kuyaunganisha baadhi ya maeneo ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu.
-
Netanyahu atimua mbio kuelekea mafichoni akikwepa makombora ya wanamuqawama
Sep 11, 2019 07:53Vyombo vya habari vya utawala haramu wa Kizayuni, vimeripoti habari ya kutimua mbio Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala huo, kufuatia kuvurumishwa na wanamuqawama wa Ukanda wa Gaza makombora yaliyovilenga vitongoji vya walowezi wa utawala huo.
-
Nguvu za Muqawama katika maneno na vitendo
Sep 11, 2019 02:39Mikwaruzano baina ya kambi ya muqawama na utawala wa Kizayuni wa Israel imezidi kuwa mikubwa katika miezi ya hivi karibuni huku makundi ya muqawama yakizidi kuonesha nguvu zao kupitia maneno na vitendo dhidi ya utawala huo pandikizi.
-
Israel yakiri, Hizbullah imetungua ndege yake isiyo na rubani
Sep 09, 2019 06:56Duru zenye mfungamano na utawala wa Kizayuni wa Israel zimethibitisha kuwa, wapiganaji wa Hizbullah ya Lebanon wametungua ndege isiyo na rubani ya utawala huo.
-
Sisitizo la Corbyn la kukabiliana na muungano wa Netanyahu na Trump dhidi ya JCPOA
Sep 07, 2019 01:50Tangu yalipofikiwa makubaliano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mwaka 2015, Marekani na utawala wa Kizayuni zimekuwa zikisisitiza kila mara kuwa zinayapinga makubaliano hayo na kutaka yavunjwe. Na katika hatua iliyolenga kufikia lengo hilo, mwezi Mei 2018, Rais Donald Trump wa Marekani alitangza kujitoa nchi yake kwenye makubaliano hayo na kuanza kutekeleza vikwazo vikali ambavyo havijawahi kushuhudiwa dhidi ya Iran.
-
Malengo ya safari ya waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni huko Al Khalil
Sep 06, 2019 01:34Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel Septemba Nne, kwa mara ya kwanza alifika katika mji wa Al Khalil (Hebron) katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kisha akaingia katika msikiti maarufu wa Masjid Ibrahimi katika mji huo. Kabla ya safari hiyo ya Netanyahu, rais wa utawala wa Kizayuni Reuven Rivlin naye pia alifika katika mji wa Al Khalil na kutembelea Masjid Ibrahimi.
-
EuroMed Rights yatoa wito wa kukabiliana na jinai za Israel
Sep 05, 2019 06:38Jumuiya ya Kutetea Haki za Binadamu Ulaya na Miditerania (EuroMed Rights) imelitaka Bunge la Uswisi lisisalimu amri mbele ya mashinikizo ya utawala wa Kizayuni wa Israel yanayolitaka lisipasishe sheria ya kuwakamata maafisa waliohusishwa na jinai za kivita dhidi ya Wapalestina.