-
Madai ya James Mattis dhidi ya Iran katika kuikingia kifua Israel
Feb 12, 2018 11:01Waziri wa Ulinzi wa Marekani akiwa na lengo la kutetea uvamizi wa utawala haramu wa Israel huko Syria na dhidi ya mhimili wa muqawama amedai kwamba, Iran ndio tatizo kubwa katika Mashariki ya Kati.
-
Hizbullah: Stratijia mpya ya kupambana na uvamizi wa Israel nchini Syria imeanza rasmi
Feb 11, 2018 04:14Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya nchini Lebanon imetoa taarifa ya kupongeza kitendo cha kuangamizwa ndege ya kisasa ya kivita ya utawala haramu wa Israel ya F16 katika anga ya Syria na kusisitiza kuwa, mlingano wa nguvu wa zamani sasa umebadilika.
-
Mbunge wa Israel: Anachokifanya Netanyahu Syria, ni kupotosha tuhuma za ufisadi wake
Feb 11, 2018 03:53Mwakilishi wa bunge la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, Knesset, amesema kuwa, hatua ya Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Israel ya kuzusha mizozo ndani ya utawala huo ni kujaribu kupotosha fikra za walio wengi kuhusiana shutuma kubwa za ufisadi wa fedha zinazomkabili.
-
Iran yakanusha madai ya Israel ya kuhusika katika kuangamizwa ndege yake huko Syria
Feb 11, 2018 01:19Bahram, Qassemi, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekanusha vikali madai ya utawala khabithi wa Israel kwamba Tehran imehusika katika tukio la kuangamizwa ndege yake ya kivita katika anga ya Syria hapo jana.
-
Kamanda wa Israel: Tukiingia kwenye vita, Hizbullah itashambulia bandari zetu za Haifa na Ashdod
Feb 06, 2018 11:30Mmoja wa makamanda wa ngazi ya juu katika jeshi la utawala haramu wa Israel, amesema kuwa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon inamiliki makombora erevu ambayo yanaweza kusambaratisha vituo vya gesi vya Israel zikiwemo pia bandari za Haifa na Ashdod.
-
Rais wa Misri akosolewa vikali kufuatia kufichuliwa ushirikiano wake wa siri na utawala wa Kizayuni
Feb 05, 2018 04:19Rais wa Misri amekabiliwa na ukosoaji mkubwa kufuatia kufichuliwa ushirikiano wa siri kati ya serikali yake na utawala wa Kizayuni.
-
Njama za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuwatimua Wakristo kutoka Quds Tukufu
Feb 04, 2018 04:36Baraza la Kiislamu-Kikristo la Kuunga Mkono Quds Tukufu (Jerusalem) limetangaza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel unatekeleza njama za kuwatimua Wakristo kutoka Quds ili kubadilisha muundo wa kijamii wa mji huo uwe ni aghalabu wa Mayahudi.
-
Hizbullah yautahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel
Jan 30, 2018 23:52Harakati ya Hizbullah ya lebanon imeutahadharisha utawala wa Kizayuni wa Israel kupitia kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa Mataifa kilichopo kusini mwa Lebanon (UNIFIL) kuhusu suala la kujenga ukuta wa kibaguzi katika mipaka na Lebanon.
-
Zaidi ya wabunge 10 wa bunge la Israel kususia hotuba ya Makamu wa Rais wa Marekani
Jan 21, 2018 23:34Zaidi ya wabunge 10 wa bunge la utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Knesset wametangaza kuwa watasusia hotuba inayotazamiwa kutolewa na Makamu wa Rais wa Marekani Mike Pence.
-
Utawala wa Kizayuni wa Israel waiomba radhi rasmi Jordan
Jan 19, 2018 03:54Utawala wa Kizayuni wa Israel umeiomba radhi rasmi Jordan kutokana na tukio lililojiri mwaka uliopita la kuuliwa raia wawili wa Jordan na afisa wa jeshi wa Kizayuni.