Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Palestina yaitaka UN ichukue hatua kukomesha ughusubu wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Palestina yaitaka UN ichukue hatua kukomesha ughusubu wa utawala wa Kizayuni wa Israel

    Aug 29, 2017 10:26

    Waziri Mkuu wa Palestina ameutaka Umoja wa Mataifa utekeleze jukumu lake kukomesha ughusubu na ukaliaji wa mabavu wa ardhi za Palestina unaoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa

    Wanazuoni wa Kiislamu Quds Tukufu wataka Waislamu wajitokeze kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa

    Aug 28, 2017 23:53

    Wanazuoni wa Kiislamu katika mji mtakatifu wa Quds wametoa wito kwa Waislamu Wapalestina kujitokeza kwa wingi katika Msikiti wa al Aqsa mjini humo.

  • Maulamaa Sudan wataka kufutwa kazi waziri anayetaka uhusiano na Wazayuni

    Maulamaa Sudan wataka kufutwa kazi waziri anayetaka uhusiano na Wazayuni

    Aug 26, 2017 22:10

    Jopo la Maulamaa wa Sudan limetaka kufutwa kazi waziri wa uwekezaji wa nchi hiyo kutokana na kutoa mwito wa kuweko uhusiano wa kawaida kati ya Sudan na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Ahmad Bilal: Serikali ya Sudan inapinga kuwa na uhusiano na Israel

    Ahmad Bilal: Serikali ya Sudan inapinga kuwa na uhusiano na Israel

    Aug 24, 2017 03:14

    Waziri wa Habari wa Sudan ametangaza kuwa, serikali ya Khartoum inapinga kuanzishwa uhusiano baina yake na utawala wa Kizayuini wa Israel.

  • Jitihada za utawala wa Kizayuni za kuwa na ushawishi mkubwa barani Afrika

    Jitihada za utawala wa Kizayuni za kuwa na ushawishi mkubwa barani Afrika

    Aug 16, 2017 22:07

    Utawala wa Kizayuni wa Israel unafanya jitihada ili uwe na ushawishi kwa kuimarisha uhusiano wake na nchi za bara la Afrika kwa lengo la kujiondoa katika hali ya kutengwa. Katika uga huo, viongozi wa Tel Aviv wamepanga kuitisha mkutano mwezi Oktoba nchini Togo chini ya anuani "Kikao cha Viongozi wa Kiafrika na Israel."

  • Ripoti: Watoto wa Kipalestina wanateswa vibaya katika magereza ya kutisha ya Israel

    Ripoti: Watoto wa Kipalestina wanateswa vibaya katika magereza ya kutisha ya Israel

    Aug 06, 2017 23:13

    Kituo cha Uchunguzi wa Mateka wa Kipalestina kimetangaza kuwa, watoto wa Kipalestina wanaoshikiliwa katika magereza ya utawala haramu wa Israel wamekuwa wakiadhibiwa na kuteswa vibaya.

  • Mwanahistoria wa Israel afichua namna MOSSAD ilivyowaua Mayahudi wa Morocco

    Mwanahistoria wa Israel afichua namna MOSSAD ilivyowaua Mayahudi wa Morocco

    Aug 01, 2017 22:14

    Mwanahistori mmoja wa Israel ametangaza kuwa, shirika la ujasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel MOSSAD llilifanya jinai kubwa kuwalenga Mayahudi wa Morocco kwa lengo la kuwashawishi Mayahudi hao waelekee huko katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Israel imepora nyaraka muhimu zaidi za msikiti wa al-Aqsa kipindi hiki

    Israel imepora nyaraka muhimu zaidi za msikiti wa al-Aqsa kipindi hiki

    Jul 31, 2017 03:48

    Mkuu wa kituo cha kimataifa cha Quds amesema kuwa, hadi sasa nyaraka muhimu za idara ya waqfu wa Kiislamu mjini Qudsi zilizokuwa katika milango ya msikiti wa al-Aqsa zimeporwa kikamilifu na Wazayuni.

  • Ayatullah Araki: Hujuma dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa hazitaachwa bila majibu

    Ayatullah Araki: Hujuma dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa hazitaachwa bila majibu

    Jul 29, 2017 09:18

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Pamoja Madhehebu za Kiislamu amesema kuwa, mashambulio ya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina na Msikiti wa al-Aqswa ni hujuma dhidi ya ubinadamu na kwamba, mashambulio hayo hayatabikia hivi hivi bila majibu.

  • Makumi ya Wapalestina watiwa nguvuni katika Msikiti wa Al-Aqsa

    Makumi ya Wapalestina watiwa nguvuni katika Msikiti wa Al-Aqsa

    Jul 28, 2017 03:05

    Askari wa utawala wa Kizayuni wa israel wamewavamia Wapalestina waliofanya mgomo wa kukaa kitako katika msikiti wa Al-Aqsa na kuwatia nguvuni zaidi ya watu mia moja.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS