Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Balozi wa Palestina Tehran: Mapambano ya kuuangamiza utawala wa Kizayuni wa Israel yanaendelea

    Balozi wa Palestina Tehran: Mapambano ya kuuangamiza utawala wa Kizayuni wa Israel yanaendelea

    Jul 26, 2017 09:14

    Balozi wa Palestina mjini Tehran amesema kuwa, mapambano dhidi ya utawala ghasibu wa Israel yataendelea hadi pale utawala huo haramu utakapoangamizwa na kufutwa katika ramani ya dunia.

  • Israel: Wakati wa kuwekwa wazi mahusiano yetu na Saudia, umewadia

    Israel: Wakati wa kuwekwa wazi mahusiano yetu na Saudia, umewadia

    Jul 25, 2017 03:47

    Gazeti la utawala haramu wa Israel limezungumzia mahusiano yaliyopo baina ya Israel na Saudi Arabia na kuandika kuwa sasa umewadia wakati wa kutangazwa wazi mahusiano ya pande mbili hizo.

  • Israel kujenga hospitali itakayotoa matibabu kwa magaidi wa Syria

    Israel kujenga hospitali itakayotoa matibabu kwa magaidi wa Syria

    Jul 20, 2017 09:15

    Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umekusudia kujenga hospitali katika miinuko ya Golan inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo nchini Syria, ambayo itakuwa na jukumu la kutoa matibabu kwa magaidi wanaopigana dhidi ya serikali ya Syria, ikiwa ni katika mwendelezo wa misaada ya utawala huo kwa magaidi hao.

  • Baada ya Saudia, Imarati nayo yazusha balaa, yataka HAMAS ipinduliwe Ghaza

    Baada ya Saudia, Imarati nayo yazusha balaa, yataka HAMAS ipinduliwe Ghaza

    Jul 20, 2017 03:26

    Katika kile kinachoonekana wazi ni kuunga mkono jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel na kuwasahulisha walimwengu jinai hizo, Umoja wa Falme za Kiarabu nao umetaka Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS ipinduliwe katika Ukanda wa Ghaza.

  • Dahlan: Vitendo vya Israel Masjidul Aqswa ni ugaidi ulio wazi

    Dahlan: Vitendo vya Israel Masjidul Aqswa ni ugaidi ulio wazi

    Jul 20, 2017 03:24

    Mjumbe wa zamani wa Kamati Kuu ya harakati ya Fat'h ya Palestina amesema kuwa, vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji mtakatifu wa Quds na Msikiti wa al Aqsa ni ugaidi ulio wazi.

  • Iran yalaani utawala wa Kizayuni kwa kuufunga Msikiti wa Al Aqsa

    Iran yalaani utawala wa Kizayuni kwa kuufunga Msikiti wa Al Aqsa

    Jul 16, 2017 02:09

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kuufunga Msikiti wa Al Aqsa na kuzuia sala ya Ijumaa msikitini hapo na kuonya kuwa, hatua hizo zitakuwa na matokeo hatari sana.

  • Jeshi la Iraq laanzisha operesheni kali katika mji wa Samarra kusaka mabaki ya Daesh

    Jeshi la Iraq laanzisha operesheni kali katika mji wa Samarra kusaka mabaki ya Daesh

    Jul 15, 2017 02:43

    Jeshi la Iraq limeanzisha operesheni kali katika viunga vya mji wa Samarra katika mkoa wa Salah ad Din nchini humo.

  • Wanajeshi Wazayuni wamkamata Mufti wa Quds

    Wanajeshi Wazayuni wamkamata Mufti wa Quds

    Jul 14, 2017 22:00

    Wanajeshi dhalimu wa utawala wa Kizayuni unaoikalia kwa mabavu Quds tukufu jana walimkamata Mufti wa mji huyo, Sheikh Muhammad Hussein mara baada ya Sala ya Ijumaa nje ya Masjidul Aqswa.

  • Kamanda katika  Jeshi la Israel akiri  jeshi hilo linashirikiana na magaidi  Syria

    Kamanda katika Jeshi la Israel akiri jeshi hilo linashirikiana na magaidi Syria

    Jul 10, 2017 22:37

    Naibu Mkuu wa Kamandi Kuu ya Majeshi ya Utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwepo ushirikiano wa karibu baina ya jeshi la utawala huo na magaidi walioko nchini Syria.

  • Wanachama UNESCO wakataa wito wa kukaa kimya dakika moja kwa sababu ya Holocaust

    Wanachama UNESCO wakataa wito wa kukaa kimya dakika moja kwa sababu ya Holocaust

    Jul 07, 2017 22:22

    Wito uliotolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika kikao cha Shirika la Elimu, Syansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) wa kunyamaza kimya dakika moja ili kuonesha heshima kwa eti wahanga wa mauaji ya Holocaust umekabiliwa na upinzani mkali wa mwakilishi wa Cuba katika kikao hicho.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS