-
Wazayuni: Tumeshindwa kuisambaratisha Intifadha ya Quds
Mar 09, 2016 23:17Duru za Wazayuni zinaripoti kwamba, utawala ghasibu wa Israel umeshindwa kukabiliana na Intifadha ya Quds inayoendeshwa na wanamapambano wa Kipalestina.
-
Isaac Herzog: Baraza la Mawaziri la Benjamin Netanyahu limeshindwa kukabiliana na muqawama wa Palestina
Mar 09, 2016 11:56Viongozi wa ngazi za juu wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamelikosoa vikali Baraza la Mawaziri la Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kutokana na kushindwa kukabiliana na operesheni za wanamapambano wa Kipalestina.
-
Zarif: Inaaibisha nchi za Kiislamu kuwa na ukuruba na utawala wa Kizayuni
Mar 07, 2016 12:51Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema "inaaibisha" nchi za Kiislamu kuwa na ukuruba na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Zarif: Inaaibisha nchi za Kiislamu kuwa na ukuruba na utawala wa Kizayuni
Mar 07, 2016 12:50Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema "inaaibisha" nchi za Kiislamu kuwa na ukuruba na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kuitangaza Hizbullah kundi la kigaidi, zawadi bora ya kuutunukia utawala wa Kizayuni
Mar 05, 2016 03:52Harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon imelaani taarifa iliyotolewa karibuni na Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi (P)GCC ya kuliweka jina la harakati hiyo kwenye orodha ya "mashirika ya kigaidi" na kueleza kwamba hatua hiyo imechukuliwa katika muelekeo wa pamoja wa Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Israel yakiri kuhusu nguvu ya Hizbullah ya Lebanon
Mar 04, 2016 23:35Utawala wa Kizayuni wa Israel umekiri kuhusu uwezo wa kijeshi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon.
-
Abdulahiyan: Kuiita Hizbullah kuwa ni kundi la kigaidi hakuna maskahi kwa M. ya Kati
Mar 03, 2016 03:18Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa hatua ya kuiweka harakati ya Huzbullah ya Lebanon katika orodha ya makundi ya kigaidi ni sawa na kufumbia macho jinai zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel suala ambalo halina faida kwa usalama na amani na eneo la Mashariki ya Kati.
-
Al Azhar: Hakuna vita baina ya Shia na Suni nchini Syria
Feb 24, 2016 22:30Licha ya njama zinazofanywa na Saudi Arabia na utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ajili ya kuuhusisha mgogoro wa Syria na masuala ya kimadhehebu, Sheikh Mkuu wa al Azhar nchini Misri amesema kuwa vita vinavyoendelea nchini Syria si vita baina ya Shia na Suni.
-
Kuongezeka ukosoaji wa siasa za kijuba za Benjamin Netanyahu Mashariki ya Kati
Feb 23, 2016 04:14Wimbi jipya la ukosoaji wa siasa zilizofeli na za kijuba za Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu limeanza kushuhudiwa katika eneo zima la Mashariki ya Kati.
-
Wanasiasa wa Marekani ni watumishi wa utawala wa Kizayuni
Feb 22, 2016 00:08Mchambuzi mmoja maarufu wa nchini Marekani amesema kuwa, wanasiasa wa Marekani wapo kwa ajili ya kuutumikia utawala wa Kizayuni wa Israel.