-
Rais wa Argentina apewa tuzo kwa kuunga mkono mauaji ya kimbari ya Israel huko Gaza!
Jan 15, 2025 23:06Rais wa Argentina amepewa tuzo maalumu ya Wazayuni, "Tuzo ya Nobel ya Kiyahudi," kutokana na "uungaji mkono wake usio na mipaka kwa Israel" katika uhalifu na mauaji ya kimbari yanayofanyika huko Gaza.
-
Yemen yazishambulia Tel Aviv na bandari ya Eilat kwa droni na makombora
Jan 15, 2025 04:10Msemaji wa jeshi la Yemen amesema kuwa jeshi hilo limetekeleza oparesheni mbili za ndege zisizo na rubani na makombora dhidi ya shahaba zilizokusudiwa huko Tel Aviv na katika bandari ya Eilat katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni.
-
Wapalestina wengine 19 wauawa shahidi
Jan 13, 2025 23:40Wapalestina wengine 19 wameuawa shahidi katika muendelezo wa jinai za utawala haramu wa Israel katika Ukanda wa Gaza.
-
Makamanda wengi wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel wameangamizwa Ghaza
Jan 13, 2025 00:00Brigedia Jenerali mstaafu wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel amefichua kuwa asilimia 80 ya makamanda wa Brigedi ya Givati wameuawa au kujeruhiwa katika vita dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
-
Watoto wa Gaza; shabaha ya mauaji ya kimbari ya utawala wa Israel
Jan 11, 2025 23:09Sambamba na kuendelea mashambulizi ya jeshi la Israel dhidi ya watu wa Gaza, baridi kali pia imezidisha idadi ya watoto wanaoaga dunia hasa watoto wachanga katika ukanda huo.
-
UNRWA: Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni kuundwa nchi huru ya Palestina
Jan 09, 2025 22:58Kamishna Mkuu wa Shirika la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) amesema, kuundwa kwa taifa huru la Palestina ndio suluhisho la matatizo ya eneo hilo.
-
Gazeti la Kizayuni lakiri, makombora ya Wayemeni ni hatari
Jan 06, 2025 23:13Gazeti la Kizayuni la Jerusalem Post limekiri kuwa makombora ya Yemen yana uwezo wa hali ya juu.
-
Wazayuni 3 waangamizwa katika oparesheni ya Ukingo wa Magharibi
Jan 06, 2025 09:44Duru za habari zimearifu kuwa Wazayuni watatu wameangamizwa katika oparesheni iliyofanywa dhidi ya wavamiizi wa Kizayuni katika Ukingo wa Magharibi wa mto Jordan.
-
Yemen yawaonya Waisrael: Rudini mlikotoka kwenye nchi zenu za asili; hatutaiacha Ghaza peke yake
Jan 06, 2025 03:39Mwanachama mwandamizi wa Harakati ya Muqawama ya Ansarullah ya Yemen amewashauri walowezi haramu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu waondoke katika maeneo hayo kurejea walikotoka kwa sababu Yemen haitasitisha oparesheni zake za kulipiza kisasi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Reuters ladai HAMAS imeafiki kuwaachia huru mateka 34 wa utawala wa Kizayuni
Jan 06, 2025 03:09Shirika la habari la Reuters limedai kuwa, Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imekubali kuwaachia huru mateka 34 wa Kizayuni ambao orodha yao imetolewa na utawala wa Kizayuni wa Israel.