-
UNRWA: Wapalestina 16,000 wanaishi katika 'hali mbaya' kwenye skuli moja katikati ya Ghaza
May 31, 2024 06:44Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNWRA) limesema, zaidi ya Wapalestina 16,000 waliolazimika kuyahama makazi yao wanaishi katika hali mbaya kwenye skuli moja ya shirika hilo iliyoko katika mji wa Deir al-Balah katikati mwa Ukanda wa Ghaza.
-
Barua ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa wanachuo wa Marekani wanaotetea Palestina
May 31, 2024 03:58Ayatullah Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika barua aliyowaandikia wanachuo wenye utu wanaotetea wananchi wa Palestina katika vyuo vikuu vya Marekani, ameonyesha mshikamano wake na maandamano ya wanachuo hao dhidi ya uzayuni na kuwataja kuwa sehemu ya mrengo wa muqawama.
-
Tal al Sultan; Hospitali pekee inayofanya kazi katika mji wa Rafah
May 29, 2024 05:48Wizara ya Afya ya Gaza imetangaza kuwa ni hospitali moja tu ambayo imebaki inayotoa huduma katika mji wa Rafah kufuatia mashambulizi ya jeshi la utawala wa Kizayuni.
-
Donald Trump akiri juu ya udhaifu wa utawala wa Kizayuni
May 29, 2024 05:27Donald Trump, Rais wa zamani wa Marekani amesema katika mkusanyiko wa Wayahudi wa Marekani kwamba utawala wa Israel umepoteza uwezo wake.
-
Harakati za muqawama wa Palestina: Hatutashiriki katika mazungumzo yoyote na utawala wa Kizayuni
May 28, 2024 04:37Harakati za Mapambano za Palestina za Hamas na Jihadul Islami zimetangaza kuwa hazitashiriki tena kwenye mazungumzo yoyote baada ya utawala wa Kizayuni kushambulia kambi ya wakimbizi wa Kiaplestina katika mji wa Rafah.
-
MSF wawasilisha kesi mpya ICC dhidi ya utawala wa Kizayuni kwa mauaji ya waandishi habari Gaza
May 27, 2024 23:14Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF) imewasilisha mashtaka mapya katika mahakama ya kKimataifa ya Jinai (ICC) kufuatia jinai za kivita za utawala wa Kizayuni dhidi ya waandishi wa habari katika Ukanda wa Gaza.
-
Amnesty International yaitaka mahakama ya ICC kuchunguza jinai za Israel Rafah
May 27, 2024 08:27Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeitaka Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) kuchunguza jinai zinazofanywa na utawala wa Kizayuni katika mji wa Rafah katika Ukanda wa Gaza.
-
Wapalestina 35 wachomwa moto wakiwa hai katika shambulio la kinyama la Israel Rafah
May 26, 2024 23:50Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limeshambulia kwa makombora kambi ya watu waliolazimika kuhama makazi yao na kuhamia eneo lililotengwa kuwa na usalama huko Rafah, na kuwaua shahidi Wapalestina 35, wengi wao wakiwa ni wanawake na watoto.
-
Uamuzi wa Mahakama ya Hague kuhusu Rafah: Kushindwa kwingine kwa utawala wa Kizayuni
May 26, 2024 22:49Mahakama ya Kimataifa ya Haki iliyo na makao makuu yake mjini The Hague, Uholanzi , ambacho ni chombo cha juu zaidi cha mahakama cha Umoja wa Mataifa, iliamua Ijumaa, Mei 24, kwamba Israel lazima isimamishe "mara moja" mashambulizi yake ya kijeshi huko Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.
-
Jeshi katili la Kizayuni linaziteketeza makusudi hospitali na vituo vya tiba vya Ghaza
May 26, 2024 01:10Msemaji a Wizara ya Afya ya Ukanda wa Ghaza amesema jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel linazibomoa na kuziteketeza kwa makusudi hospitali na vituo vya tiba vya ukanda huo.