Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Jeshi la Israel lashambulia tena Hospitali ya Al-Shifa, laua na kujeruhi kadhaa

    Jeshi la Israel lashambulia tena Hospitali ya Al-Shifa, laua na kujeruhi kadhaa

    Mar 18, 2024 08:24

    Vikosi vya jeshi la utawala wa Israel vilivyojizatiti kwa silaha nzito vimevamia hospitali ya al-Shifa katika mji wa Ghaza kwa kutumia vifaru na ndege zisizo na rubani na kuwafyatulia risasi watu waliokuwa ndani ya jengo hilo.

  • Joe Biden akiri kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu Marekani

    Joe Biden akiri kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu Marekani

    Mar 17, 2024 23:03

    Ijumaa, Februari 15, Rais Joe Biden wa Marekani huku akikiri kuongezeka chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo tangu kuanza mashambulizi ya Wazayuni huko Gaza alisema: 'Waislamu kote duniani wanapitia hali ngumu kutokana na imani yao.'

  • Mashambulio pacha ya jeshi la Kizayuni yaua Wapalestina 29 waliokuwa wakingojea msaada wa chakula Ghaza

    Mashambulio pacha ya jeshi la Kizayuni yaua Wapalestina 29 waliokuwa wakingojea msaada wa chakula Ghaza

    Mar 15, 2024 04:27

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina wapatao 29 wakati wakisubiri msaada katika mashambulizi mawili tofauti lililofanywa dhidi ya Ukanda wa Ghaza uliozingirwa.

  • Hali mbaya ya mateka wa Kipalestina katika jela za Kizayuni

    Hali mbaya ya mateka wa Kipalestina katika jela za Kizayuni

    Mar 14, 2024 03:07

    Katika taarifa yake, Klabu ya Mateka wa Palestina imetahadharisha kuhusu hali mbaya ya mateka hao wanaoshikiliwa katika jela za utawala wa kibaguzi wa Israel.

  • Kushadidi mivutano baina ya vyama vya upinzani na Baraza la Mawaziri la Israel

    Kushadidi mivutano baina ya vyama vya upinzani na Baraza la Mawaziri la Israel

    Mar 12, 2024 02:24

    Yair Lapid, kiongozi wa chama cha upinzani cha Yesh Atid amekiri juu kushadidi hitilafu na mizozo ya ndani baina ya vyama vya upinzani na Baraza la Mawaziri la utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Rabi mkuu wa Wayahudi atishia kuondoka katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    Rabi mkuu wa Wayahudi atishia kuondoka katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu

    Mar 11, 2024 22:54

    Rabi Mkuu wa Wayahudi, Ishaq Yosef, ametishia kuwa wataondoka wote Israel iwapo kabila la Lawi litalazimishwa kujiunga na jeshi la utawala wa Kizayuni.

  • Sisitizo la Rais wa Chile na Waziri Mkuu wa Uhispania la kutekelezwa usitishaji vita haraka huko Ghaza

    Sisitizo la Rais wa Chile na Waziri Mkuu wa Uhispania la kutekelezwa usitishaji vita haraka huko Ghaza

    Mar 11, 2024 04:17

    Waziri Mkuu wa Uhispania na Rais wa Chile, pamoja na kulaani mashambulizi ya jeshi la Israel huko Ghaza, wametaka kusitishwa mara moja mapigano hayo.

  • Kukosolewa propaganda za Marekani kuhusiana na misaada ya kibinadamu

    Kukosolewa propaganda za Marekani kuhusiana na misaada ya kibinadamu

    Mar 10, 2024 07:50

    Akihutubia bunge la Marekani siku ya Alkhamisi, Rais Joe Biden alisema ameliamuru jeshi la nchi hiyo kuweka bandari kwenye pwani ya Gaza katika Bahari ya Mediterania.

  • Juhudi za Afrika Kusini za mashinikizo zaidi ya kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Juhudi za Afrika Kusini za mashinikizo zaidi ya kimataifa dhidi ya utawala wa Kizayuni

    Mar 09, 2024 04:05

    Kufuatia kuendelea jinai za Israel dhidi ya Wapalestina, Afrika Kusini imewasilisha ombi la dharura katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ, ikiitaka korti hiyo ya Umoja wa Mataifa ichukue hatua zaidi za dharura dhidi ya Israel, ikisisitiza kuwa utawala huo wa Kizayuni umeendelea kupuuza amri iliyotolewa na chombo hicho cha sheria.

  • Hizbullah yaipiga komandi ya kijeshi ya Israel kwa makombora ya mizinga

    Hizbullah yaipiga komandi ya kijeshi ya Israel kwa makombora ya mizinga

    Mar 08, 2024 23:27

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imejibu jinai za utawala wa Kizayuni dhidi ya Ukanda wa Ghaza kwa kukitwanga kwa makombora kituo kilichoanzishwa karibuni tu cha komandi ya kijeshi ya Israel kaskazini mwa ardhi za Palestina zilizopachikwa jina bandia la Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS