Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Taasisi za kimataifa zaelezea wasiwasi wao kuhusu hali mbaya ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza

    Taasisi za kimataifa zaelezea wasiwasi wao kuhusu hali mbaya ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza

    Dec 29, 2023 22:59

    Kuendelea vita vya kikatili na jinai zinazotekelezwa na utawala wa kibaguzi wa Israel dhidi ya raia wa Ukanda wa Gaza kumeamsha hasira na wasiwasi wa tasisis za kimataifa kuhusiana hali mbaya na ya kusikitisha ya kibinadamu katika ukanda huo.

  • Uhispania yapinga kushiriki vikosi maalumu vya wanamaji vya Ulaya katika Muungano wa Baharini wa Marekani

    Uhispania yapinga kushiriki vikosi maalumu vya wanamaji vya Ulaya katika Muungano wa Baharini wa Marekani

    Dec 28, 2023 23:00

    Pedro Sanchez Waziri Mkuu wa Uhispania amepinga uamuzi wa Umoja wa Ulaya wa kuunga mkono Muungano wa Baharini wa Marekani katika Bahari Nyekundu. Sanchyez amesisitiza kuwa: 'Tunapinga kutumiwa vikosi vya baharini vya Ulaya dhidi ya maharamia kwa jina la oparesheni ya "Atalanta" kwa ajili ya kulinda meli za kibiashara katika Bahari Nyekundu mkabala wa mashambulizi ya Yemen.'

  • Kukamatwa majasusi wa utawala wa Kizayuni na Wanamuqawama

    Kukamatwa majasusi wa utawala wa Kizayuni na Wanamuqawama

    Dec 25, 2023 02:37

    Makamanda wa muqawama wamewatia mbaroni majasusi wa utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza baada ya kuchunguza nyaraka za usalama zilizopatikana wakati wa operesheni ya kimbunga cha Al-Aqsa.

  • Kuvunjika muungano wa baharini wa Marekani kwa kujiondoa Ufaransa, Uhispania na Italia

    Kuvunjika muungano wa baharini wa Marekani kwa kujiondoa Ufaransa, Uhispania na Italia

    Dec 25, 2023 02:22

    Marekani imetangaza kuunda Muungano wa Baharini ikiwa ni katika jitihada zake za kuendelea kuutetea kwa hali na mali utawala ghasibu wa Israel katika hujuma yake ya kinyama dhidi ya watu wa Ukanda wa Gaza na kukabiliana na mashambulizi ya Yemen katika Bahari Nyekundu dhidi ya meli zinazoelekea katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Israel huko Palestina.

  • Ebrahim Raisi: Wanaodai kuwa wafuasi wa Nabii Issa (as) hawapaswi kuiunga mkono Israel na mauaji yake dhidi ya watoto

    Ebrahim Raisi: Wanaodai kuwa wafuasi wa Nabii Issa (as) hawapaswi kuiunga mkono Israel na mauaji yake dhidi ya watoto

    Dec 25, 2023 00:57

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, kuwa, wale wote wanaodai kwamba ni wafuasi wa Nabii Issa Masih (as) hawapaswi kuiunga mkono Israel na mauaji yake dhidi ya watoto huko katika Ukanda wa Gaza.

  • Mwakilishi wa Jihadul Islami: Iran ni muungaji mkono pekee wa wananchi wa Gaza na wanaodhulumiwa duniani

    Mwakilishi wa Jihadul Islami: Iran ni muungaji mkono pekee wa wananchi wa Gaza na wanaodhulumiwa duniani

    Dec 24, 2023 23:12

    Mwakilishi wa Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina nchini Iran amekosoa kimya cha nchi za Magharibi mkabala wa vita vya utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza na kusema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni muungaji mkono pekee wa wanaodhulumiwa duniani.

  • Amir-Abdollahian: Kuna haja ya kuimarishwa harakati za kidiplomasia ili kukabiliana na jinai za Wazayuni

    Amir-Abdollahian: Kuna haja ya kuimarishwa harakati za kidiplomasia ili kukabiliana na jinai za Wazayuni

    Dec 25, 2023 03:41

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza juu ya kuimarishwa juhudi za kidiplomasia kwa shabaha ya kukabiliana na jinai za Wazayuni katika Ukanda wa Gaza.

  • Mbali na kuua watoto wachanga, Wazayuni wanafanya uporaji pia Ghaza

    Mbali na kuua watoto wachanga, Wazayuni wanafanya uporaji pia Ghaza

    Dec 23, 2023 23:09

    Mkuu wa Ofisi ya Upashaji Habari ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa mbali na jinai zao nyingine nyingine kama za kuua watoto wachanga, wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wanafanya uporaji pia wa mali za Wapalestina wakati wanapoingia kwenye nyumba walizozivunja kwa mashambulizi ya kikatili na kinyama huko Ghaza.

  • Wanajeshi wa Israel walioangamizwa na wanamuqawa wakaribia 500

    Wanajeshi wa Israel walioangamizwa na wanamuqawa wakaribia 500

    Dec 23, 2023 08:40

    Idadi ya wanajeshi wa utawala haramu wa Israel walioangamizwa na wanamuqawama wa Palestina inazidi kuongezeka sambamba na wanajeshi wa jeshi hilo kuingiwa na kiwewe kutokana na operesheni za kijeshi dhidi yao katika Ukanda wa Gaza.

  • Azimio la Baraza la Usalama kuhusu Gaza: Ni hatua ya lazima lakini haitoshi

    Azimio la Baraza la Usalama kuhusu Gaza: Ni hatua ya lazima lakini haitoshi

    Dec 23, 2023 04:48

    Ijumaa ya jana, Desemba 22, Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipitisha azimio la kuongeza misaada ya kibinadamu kwa watu wa Ukanda wa Gaza bila kutoa wito wa kusitishwa mapigano. Marekani na Russia, wanachama wawili wa kudumu wa Baraza la Usalama, hazikulipigia kura azimio hilo. Wajumbe wengine 13 wamelipigia kura ya ndiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS