-
Uhalalishaji Marekani kura yake ya turufu kuhusu mauaji ya kimbari ya Wazayuni huko Gaza
Dec 11, 2023 23:09Licha ya matakwa ya kimataifa ya kusitishwa mara moja vita vya mauaji ya kimbari ya Wazayuni dhidi ya watu wa Gaza, lakini Marekani ikiwa ni mshirika wa kistratijia wa utawala wa Kizayuni, imepinga maombi hayo na inaendelea kuwasha moto wa vita hivyo vya umwagaji damu kwa kutuma silaha za kila aina huko Gaza.
-
Hamas yakanusha uongo wa Netanyahu, yasema kamwe haitaweka chini silaha
Dec 11, 2023 08:23Afisa wa ngazi za juu wa harakati ya Hamas amekadhibisha uongo wa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kuhusu eti kujisalimisha kwa wapiganaji wa harakati hiyo kwa jeshi la Israel akisema uongo huo ni kielelezo cha kufilisika na kushindwa utawala wa Kizayuni kutokana na mapambano makali ya wapigania uhuru wa Palestina.
-
Kura ya veto ya Marekani dhidi ya azimio la Baraza la Usalama kuhusu vita vya Gaza
Dec 09, 2023 07:57Marekani, ambayo ni mwanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, imepinga azimio lililopendekezwa na UAE la kuanzisha usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.
-
Hizbullah ya Lebanon yashambulia ndani ya saa moja vituo sita vya jeshi la Kizayuni
Dec 09, 2023 02:42Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza kuwa imevishambulia vituo sita vya kijeshi vya utawala wa Kizayuni wa Israel kwa "silaha mwafaka" na kuvisababishia hasara kadhaa.
-
Idadi ya mashahidi waliouawa na Israel Ukanda wa Gaza yapindukia elfu 17
Dec 07, 2023 11:40Msemaji wa Wizara ya Afya huko Gaza amesema: Watu 17,177 wameuawa shahidi Ukanda wa Gaza tangu kuanza hujuma na mashambuulizi ya kikatili ya za utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo hilo.
-
Barua isiyo ya kawaida ya Guterres kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya Gaza
Dec 07, 2023 08:28Katika hatua isiyo ya kawaida, Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametumia mamlaka aliyopewa kisheria kupitia kifungu cha 99 cha Hati ya Umoja wa Mataifa kulishinikiza Baraza la Usalama la umoja huo lianzishe haraka usitishaji vita huko katika Ukanda wa Gaza.
-
Jeshi la Kizayuni limeua kwa halaiki jamaa 22 wa familia ya ripota wa Aljazeera
Dec 07, 2023 03:36Televisheni ya Al Jazeera ya Qatar imelaani mauaji ya familia ya mmoja wa waandishi wake wa habari katika mashambulizi yaliyofanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel huko Gaza.
-
Afisa wa Yemen: Bahari Nyekundu ni marufuku kwa usafiri wa meli za utawala wa Kizayuni
Dec 07, 2023 02:45Waziri wa Ulinzi wa Serikali ya Yemen amesema, Bahari Nyekundu kutoka Ghuba ya Aqaba hadi Bab al-Mandab ni marufuku kwa safari za aina yoyote za meli za utawala wa Kizayuni.
-
Wazayuni wakiri kuwa Marekani inashiriki kivitendo katika mauaji ya watu wa Gaza
Dec 07, 2023 01:31Wizara ya Vita ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel imekiri katika taarifa kwamba utawala huo umepokea tani 10,000 za zana za kivita kutoka Marekani tangu ulipoanzisha vita dhidi ya watu wa Gaza mnamo tarehe 10 Oktoba.
-
Kan'ani Chafi: Mashambulio mapya dhidi ya Gaza ni kashfa kubwa ya kimaadili kwa Marekani
Dec 02, 2023 23:45Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran ameandika katika kujibu idhini ya Marekani kwa mashambulizi mapya yanayofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza kwamba, hii ni kashfa kubwa ya kimaadili kwa serikali ya Marekani na imeonyesha sura halisi ya haki za binadamu ya Washington kwa walimwengu.