Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Utawala wa Kizayuni

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Sep 18, 2023 23:01

    Sambamba na maadhimisho ya sikukuu za Kiyahudi, makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wameuvamia msikiti mtakatifu wa al-Aqswa na kufanya vitendo vya kichochezi.

  • Iran: Mauaji ya kinyama ya Sabra na Shatila ni doa la aibu kwa waungaji mkono wa utawala wa Kizayuni

    Iran: Mauaji ya kinyama ya Sabra na Shatila ni doa la aibu kwa waungaji mkono wa utawala wa Kizayuni

    Sep 16, 2023 08:46

    Kwa mnasaba wa kumbukumbu ya mauaji ya Wapalestina wa Sabra na Shatila yaliyofanywa na askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameandika ujumbe usemao: Sabra na Shatila daima litabaki kuwa doa la aibu kwenye vipaji vya waungaji mkono wa utawala wa Israel na watetezi wa kizandiki wa haki za binadamu hususan Marekani na Uingereza.

  • Msikiti wa al-Aqswa waendelea kuvamiwa na walowezi wa Kizayuni

    Msikiti wa al-Aqswa waendelea kuvamiwa na walowezi wa Kizayuni

    Sep 13, 2023 07:42

    Walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia msikiti wa al-Aqswa huko Palestina na kuuvunjia heshima.

  • Zaidi ya asilimia 70 ya Wazayuni wanampinga Netanyahu

    Zaidi ya asilimia 70 ya Wazayuni wanampinga Netanyahu

    Sep 10, 2023 03:59

    Matokeo ya uchunguzi wa hivi karibuni zaidi uliofanywa na vyombo vya habari vya Kizayuni yanaonyesha kuwa, asilimia 75 ya Wazayuni hawaridhishwi na utendaji kazi wa Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni na baraza lake la mawaziri.

  • Kwa mara ya tatu, marubani wa Israel wakataa kuendesha ndege itakayombeba Netanyahu

    Kwa mara ya tatu, marubani wa Israel wakataa kuendesha ndege itakayombeba Netanyahu

    Sep 08, 2023 22:58

    Kwa mara ya tatu, marubani wa shirika kubwa zaidi la ndege la utawala wa Kizayuni wa Israel wametangaza kuwa hawataendesha ndege itakayompeleka Benjamin Netanyahu New York kulalamikia mageuzi ya mahakama yaliyofanywa na waziri mkuu huyo wa utawala huo haramu.

  • Wazayuni waendeleza unyama kwa kubomoa nyumba za Wapalestina

    Wazayuni waendeleza unyama kwa kubomoa nyumba za Wapalestina

    Sep 06, 2023 23:08

    Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameendelea na hatua zao za kinyama za kubomoa nyumba za wananchi wa Palestina huko Quds inayokaliwa kkwa mabavu.

  • Kupinga Waziri Mkuu wa Libya kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Kupinga Waziri Mkuu wa Libya kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel

    Sep 02, 2023 07:15

    Baada ya maandamano makubwa ya wananchi wa Libya ya kulaaniwa kukutana na kufanya mazungumzo Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo na mwenzake wa utawala wa Kizayuni, kwa mara nyingine tena Waziri Mkuu wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya, Abdel-Hamid al-Dbeibeh, alisisitiza siku ya Alkhamisi juu ya uungaji mkono wa nchi hiyo kwa kwa malengo matukufu ya Palestina na mapambano ya Palestina dhidi ya ya utawala haramu wa Israel.

  • Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa na kuuvunjia heshima

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa na kuuvunjia heshima

    Aug 30, 2023 22:59

    Katika hatua zao zisizokoma, makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia tena msikiti wa al-Aqswa na kuuvunjia heshima.

  • Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia msikiti wa al-Aqswa na kuuvunjia heshima

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wavamia msikiti wa al-Aqswa na kuuvunjia heshima

    Aug 28, 2023 23:16

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia msikiti wa al-Aqswa na kuuvunjia heshima.

  • Muqawama wa Palestina wawapongeza wananchi wa Libya

    Muqawama wa Palestina wawapongeza wananchi wa Libya

    Aug 28, 2023 23:15

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imetoa shukrani rasmi kwa wananchi wa LIbya kwa hatua yao ya kuonesha msimamo imara wa kulaani hatua ya waziri wa mambo ya nje wa Libya ya kuonana na waziri wa mambo ya nje wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS