-
Utawala wa Israel umeambulia patupu katika jinai zake dhidi ya Wapalestina huko Jenin
Jul 06, 2023 23:37Oparesheni ya kikatili ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina huko Jenin katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan imemalizika baada ya siku 2, na kwa mujibu wa Wazayuni, operesheni hiyo haijafanikiwa chochote.
-
OIC:Jinai za Jenin ni mwendelezo wa ugaidi ulioratibiwa wa Israel/Baraza la Usalama linapaswa kuchukua hatua
Jul 04, 2023 01:01Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imelaani vikali jinai zinazotekelezwa na jeshi la utawala wa Kizayuni katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuzitaja kuwa ni mwendelezo wa ugaidi ulioratibiwa na utawala huo.
-
Saudi Arabia yainyima Israel kibali cha kuhudhuria mkutano wa UNESCO
Jul 01, 2023 03:24Shirika la habari la Sputnik la Russia limetangaza kuwa, Saudi Arabia imekataa kuwaruhusu wawakilishi wa utawala wa Kizayuni wa Isarel kuhudhuria mikutano ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) ambayo imepangwa kufanyika mjini Riyadh mwezi Septemba mwaka huu.
-
Mwakilishi wa UAE katika Umoja wa Mataifa: Israel inapasa kusitisha haraka ujenzi wa vitongoji
Jun 28, 2023 04:28Mwakilishi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) katika Umoja wa Mataifa ameutaka utawala wa Kizayuni kusimamisha haraka iwezekanavyo ujenzi wa vitingoji vya walowezi na mashambulizi dhidi ya Wapalestina ili kutolitumbukiza eneo katika mivutano zaidi.
-
Shtayyeh: Jamii ya kimataifa ichukue hatua za kukomesha uvamizi wa Israel huko Palestina
Jun 25, 2023 04:28Waziri Mkuu wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema: Kunahitajika hatua na uhamasishaji wa kimataifa ili kukomesha uvamizi wa Israel na kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina.
-
Wananchi wa Jordan waandamana kuunga mkono muqawama wa Palestina
Jun 24, 2023 04:28Maelfu ya wananchi wa Jordan wameandamana kwa ajili ya kuunga mkono muqawama na mapambano ya wananchi wa Palestina na wakati huo huo kulaani jinai za kila leo za utawala haramu wa Israel.
-
Wapalestina walaani hatua ya Wazayuni ya kuchoma moto nakala za Qur'ani Tukufu
Jun 23, 2023 23:30Kitendo cha walowezi wa Kiyahudi cha kuvunjia heshima Qur'ani Tukufu wakati wa mashambulizi ya askari wa Israel dhidi ya misikiti ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kimeibua wimbi kubwa la laana na malalamiko ya Waislamu hususan huko Palestina.
-
Iran: Utawala wa Kizayuni unapanda upepo, ujue utavuna kimbunga
Jun 22, 2023 06:32Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuhusu mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wasio na hatia wa Palestina kwamba, jinai za utawala huo dhalimu na uhalifu wake unazidi kuipunguzia uhai Israel katika ramani ya dunia.
-
Lieberman atoa wito wa kurejeshwa kwa sera ya mauaji ya kigaidi Ukanda wa Gaza
Jun 20, 2023 04:06Waziri wa zamani wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel amelitaka jeshi la utawala huo kutekeleza tena sera ya kuwaua kigaidi makamanda wa harakati za mapambano ya ukombozii ya Palestina katika Ukanda wa Gaza na kutekeleza operesheni kubwa za kijeshi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Wazayuni: Mapigano yalikuwa makali Jenin, tumehisi kama tunakabiliana na Hizbullah ya Lebanon
Jun 19, 2023 23:46Vyombo vya habari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vimelazimika kukiri kwamba mapambano yaliyotokea jana Jumatatu kwenye mji wa Jenin huko Palestina yalikuwa tata na ya kipekee kutoka kwa wanamapambano wa Palestina.