-
Erdoğan: Uturuki haipiganii kumwondoa Bashar al Assad katika mfumo wa kisiasa wa Syria
Aug 20, 2022 22:13Katika mwendelezo wa kauli zinazogongana ambazo zinatolewa na viongozi wa Uturuki kuhusu Syria, rais wa nchi hiyo Recep Tayyip Erdoğan amedai kuwa Uturuki haipiganii kumwondoa katika muundo wa kisiasa Rais Bashar al Assad wa nchi hiyo.
-
Uhusiano wa Uturuki na Israel walipiga jambia kwa nyuma taifa la Palestina
Aug 20, 2022 05:26Kiongozi mmoja wa ngazi za juu wa Harakati ya Ukombozi wa Wananchi wa Palestina amelaani vikali hatua ya Uturuki ya kurejesha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Waturuki watabiri mwisho wa enzi za kisiasa za Erdogan
Aug 13, 2022 03:36Viongozi wa aghalabu ya vyama vya siasa nchini Uturuki wametabiri kuwa mgogoro wa hali mbaya ya uchumi sambamba na sera mbovu za Rais Recep Tayyip Erdoğan za kujichukulia maamuzi kivyake pamoja na kuingilia kila jambo vitahitimisha enzi za kisiasa za kiongozi huyo.
-
Kuwasilisha mashtaka Iraq dhidi ya Uturuki UN na kuongezeka hisia za chuki dhidi ya Ankara ndani ya Iraq
Jul 29, 2022 23:10Baada ya Iraq kuwasilisha mashtaka rasmi Umoja wa Mataifa dhidi ya Uturuki, Baraza la Usalama la umoja huo limeitisha kikao cha dharura, ambapo mbali na kulaani shambulio la mizinga lililolenga mkoa wa Duhok, limetangaza uungaji mkono wake pia kwa umoja wa ardhi yote, uhuru na mamlaka ya kujitawala ya Iraq.
-
Syria: Tumejiweka tayari kukabiliana na shambulio lolote litakalofanywa na Uturuki
Jul 27, 2022 03:33Wizara ya ulinzi ya Syria imetangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limejiweka tayari kikamilifu kukabiliana na shambulio lolote linaloweza kufanywa na Uturuki na makundi inayoyaunga mkono.
-
Wanamuqawama wa Iraq wataka jibu kwa shambulio la Uturuki
Jul 23, 2022 06:54Harakati ya Muqawama ya Asa’ib Ahl al-Haq ya Iraq imelitaka Bunge la nchi hiyo lichukue hatua za kivitendo kujibu mashambulizi ya anga ya Uturuki katika eneo la Kurdistan, lililoua na kujeruhi makumi ya raia.
-
Kusainiwa mkataba wa mauzo ya nafaka kutoka Ukraine, mwanzo wa kutatua mgogoro wa chakula duniani
Jul 23, 2022 06:42Jana Ijumaa, Ukraine, Uturuki na Umoja wa Mataifa zilitia saini makubaliano ya kutatua mgogoro wa nafaka duniani. Mkataba huo ulitiwa saini kati ya Oleksandr Kubrakov, Waziri wa Miundombinu wa Ukraine, Kholusi Akar Waziri wa Ulinzi wa Uturuki, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres na Waziri wa Ulinzi wa Russia Sergei Shoigu.
-
Mgogoro wa chakula ulimwenguni kupungua baada ya Russia, Ukraine kusaini mapatano ya nafaka
Jul 23, 2022 02:23Russia na Ukraine zimesaini mapatano pamoja na Umoja wa Mataifa na Uturuki kuhusu kuanza tena usafirishaji wa nafaka huku kukiwa na matumaini kuwa makubaliano hayo yatapunguza shida ya chakula ulimwenguni.
-
Uturuki yaendelea kukiuka mamlaka ya kujitawala Iraq
Jul 22, 2022 23:49Uturuki kwa mara nyingine imekiuka mamlaka ya kujitawala Iraq kwa kuvamia mikoa ya kaskazini mwa nchi hiyo. Jeshi la Uturuki lilifanya shambulio katika kituo cha utalii katika mkoa wa Zakho ulioko katika eneo la Kurdistan ya Iraq Jumatano, na kuwauwa wanawake na watoto wasiopungua 11.
-
Mustakabali mwema katika Muungano wa China, Russia na Iran
Jul 21, 2022 03:10Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Russia amesema China, Russia na Iran zitaunda muungano mkubwa katika mustakabali wa dunia.