Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Uturuki

  • Watu wanane wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Uturuki kaskazini mwa Iraq

    Watu wanane wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Uturuki kaskazini mwa Iraq

    Feb 02, 2022 07:57

    Vyombo vya habari vimetangaza kuwa watu wasiopungua wanane wameuawa na kujeruhiwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Uturuki katika mji wa Sinjar kaskazini mwa Iraq.

  • Pakistan, Uturuki na Malaysia kuasisi televisheni ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu

    Pakistan, Uturuki na Malaysia kuasisi televisheni ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu

    Dec 20, 2021 09:12

    Waziri wa Habari na Turathi za Taifa wa Pakistan amesema, nchi hiyo kwa kushirikiana na Uturuki na Malaysia zitaanzisha chaneli ya televisheni kwa lengo la kukabiliana na kampeni za uenezaji chuki dhidi ya Uislamu duniani.

  • Raisi: Uhusiano wa Iran na Uturuki utaingia katika marhala mpya

    Raisi: Uhusiano wa Iran na Uturuki utaingia katika marhala mpya

    Dec 09, 2021 04:30

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria umuhimu wa uhusiano wa kiuchumi na kibiashara wa Tehran na Ankara na kusema kuwa, kustawi kwa ushirikiano wa pande mbili kutaingia katika hatua mpya karibuni hivi, kwa kufanyika kongamano hapa Tehran.

  • Safari ya mrithi wa ufalme wa Imarati nchini Uturuki; sababu na malengo yake

    Safari ya mrithi wa ufalme wa Imarati nchini Uturuki; sababu na malengo yake

    Nov 25, 2021 07:37

    Mohammed Bin Zayed Al Nayhan, mrithi wa ufalme wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) jana Jumatano tarehe 24 Novemba aliwasili mjini Ankara, Uturuki ambapo alikutana na kufanya mazungumzo na Rais Recep Tayyip Erdoğan wa nchi hiyo.

  • Niger kununua silaha na zana za kijeshi kutoka Uturuki

    Niger kununua silaha na zana za kijeshi kutoka Uturuki

    Nov 21, 2021 03:02

    Niger na Uturuki zimetangaza kufikia makubaliano ambayo yanajumuisha kuiuzia Niger silaha mbalimbali zikiwemo ndege zisizo na rubani (droni) na magari ya kivita ili kuongeza uwezo wake wa kijeshi katika kukabiliana na makundi ya kigaidi.

  • Amir-Abdolahian: Iran na Uturuki ni nchi mbili kubwa katika eneo na mchango wao haupingiki

    Amir-Abdolahian: Iran na Uturuki ni nchi mbili kubwa katika eneo na mchango wao haupingiki

    Nov 17, 2021 03:02

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa ripoti kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram kuhusu mazungumzo yake na waziri mwenzake wa Uturuki hapa Tehran na kusema kuwa, Iran na Uturuki ni nchi mbili kubwa katika eneo la Asia Magharibi na mchango wa nchi hizo mbili katika eneo hilo haukanushiki.

  • Raisi: Iran na Uturuki zinapasa kujiandaa kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa pande zote

    Raisi: Iran na Uturuki zinapasa kujiandaa kuimarisha uhusiano na ushirikiano wa pande zote

    Nov 15, 2021 16:05

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekutana na kufanya mazungumzo hapa Tehran na Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki na kusisitiza kuwa: Iran na Uturuki zinapasa kujiandaa kuimarisha uhusiano wa sasa kuelekea kwenye ushirikiano wa pande zote.

  • Kuendelea mashauriano kati ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya na viongozi wa Uturuki

    Kuendelea mashauriano kati ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa ya Libya na viongozi wa Uturuki

    Nov 07, 2021 03:42

    Viongozi wa serikali ya Rais Recep Tayyep Erdogan wa Uturuki wanaendeleza siasa zao makhsusi licha ya kukabiliwa na changamoto za ndani, kieneo na kimataifa, huku vyama mbalimbali huko Uturuki vikipinga siasa za serikali ya Ankara.

  • Kukosoa Uturuki utendaji wa Umoja wa Ulaya ulio dhidi ya Uislamu

    Kukosoa Uturuki utendaji wa Umoja wa Ulaya ulio dhidi ya Uislamu

    Nov 04, 2021 23:53

    Ukosoaji mtawalia wa viongozi wa Uturuki dhidi ya Umoja wa Ulaya hususan sera za chuki dhidi ya Uislamu za umoja huo, zinapaswa kutathminiwa kama juhudi za Ankara za kukabiliana na sera za madola ya Magharibi dhidi ya serikali ya Rais Recep Tayyip Erdogan na kuimarisha wenzo wa kuishinikiza jumuiya hiyo ya Ulaya.

  • Wasyria waandamana kushinikizi kuondoka vikosi vamizi vya Uturuki

    Wasyria waandamana kushinikizi kuondoka vikosi vamizi vya Uturuki

    Oct 26, 2021 08:03

    Mamia ya wananchi wa Syria wamefanya maandamano katika mkoa wa Aleppo (Halab), kaskazini magharibi mwa nchi kulaani uwepo wa wanajeshi vamizi wa Uturuki katika ardhi ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS